Kila Rais wa Tanzania alipoondoka aliacha nini kwa awamu iliyomfatia?

Kila Rais wa Tanzania alipoondoka aliacha nini kwa awamu iliyomfatia?

Kichwa cha habari kimeeleweka.

Kwa faida ya wengi, waliokuwepo na wasiokuwepo awamu zilizopita. kila mmoja wetu ana mtazamo wake tofauti na wa mwengine, tujadili mafanikio na madudu ya awamu zilizopita.

Binafsi nashukuru, nimeziishi awamu kadhaa za Tanganyika kuanzia tupo utawala wa Muingereza chini ya Umoja wa Mataifa.

Naikumbuka Tanganyika ya Muingereza kwa mbali, naikumbuka Tanganyika ya utawala wa Nyerere kwa ukaribu zaidi.

Kwa kuwa viongozi waliotuongoza ni wanaadam kama sisi, hawakosi mema yao na mapungufu yao, tuyajadili waliotuwachia.

Hata kama hukuwepo na umeyasoma au umehadithiwa tu, rukhsa kuyaleta ili tuchekeche na tuchambuwe mchele, chenga na chuya.

Bila kufahamu wapi tulipotoka na wapi tupo itakuwa vigumu kuelewa wapi tunaelekea.

Tujadili.
1.Nyerere alituachia:-
a.Umoja na Mshikamano
b.Uhuru wa kweli
c.Lugha ya Kiswahili
d.Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
e.Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977

2.Mwinyi alituachia
a.Uhuru wa kweli
b.Mfumo wa Vyama vingi vya siasa
c.Deni kubwa la Taifa
d.Ndiyo wakati Watanzania wengi walijenga sana
e.Mitumba na Biashara ya Minada

3.Mkapa alituachia:-
a.Barabara safi zinazounganisha mikoa yote
b.Taasisi mbalimbali imara kama vile TRA,TCRA,TAKUKURU,TASAF nk.
c.Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pale Dodoma
d.Uwanja mkubwa wa mpira Afrika Mashariki na Kati
e.Alifuta kodi ya Kichwa na kodi mbali mbali za Halmashauri zisizoeleweka.

4.Kikwete alituachia:-
a.Barabara safi zinazounganisha mikoa yote ya Tanzania
b.Vyuo vikuu mbalimbali Tanzania
c.Gharama za maisha zikiwa katika hali nzuri Tanzania kuliko wakati wowote ule.
d.Nidhamu mbovu za Watumishi na viongozi mbalimbali Serikali
e.Bunge lenye nguvu na mvuto

5.Magufuri alituachia:-
a.Ndege
b.Madaraja makubwa kama vile Kigamboni na Busisi
c.Ujenzi wa SGR
d.Ukabila na ukanda
e.Watu wasiojulikana

6.Mama Samiah ametuletea:-
a.Umoja na mshikamano uliopotea awamu ya tano
b.Uzanzibar na Utanganyika
c.DP World
d.Udini
e.Utegemezi
 
Mtazamo wangu...

Nyerere
Positive: uzalendo, utaifa na diplomasia kimataifa
Negative: uchumi dhaifu

Mwinyi
Positive: uhuru na demokrasia
Negative: ufisadi na uuzwaji wa maliasili za nchi, udini

Mkapa
Positive: uchumi imara na diplomasia kimataifa
Negative: ufisadi

Kikwete
Positive: demokrasia na diplomasia kimataifa
Negative: rushwa na ufisadi

Magufuli
Positive: uchumi imara na miundombinu bora, uzalendo
Negative: demokrasia na diplomasia dhaifu, ukanda na ukabila

Samia
Positive: diplomasia kimataifa na demokrasia
Negative: ufisadi na uuzaji wa rasilimali za nchi, udini na uzanzibari
Asante sana mtu wa Mungu uko sahihi kabisa.
 
Hapana, si kweli nilikuwepo.

Nyerere aliiacha Tanzania ikiwa ni nchi ya mwisho kwa umasikini duniani. Aliiwacha hata chakula inabidi tukae foleni, wakati yeye aliipokea kwa Mkoloni ikiwa ni nchi ya kwanza katika Afrika inayosfirisha mazao ya kilimo.

Unajuwa kuwa Tanzania Nyerere alituwacha chakula hatuna, mafuta hatuna, akiba benki hatuna.

Umri wa kutenegemea kuishi mtanzania(life expectancy) wakati wa nyerere ulikuwa haufiki miaka 45.

Yule mzee usisikie anavyopambwa, alituwachia na mabalaa ya kila kitu Kawacha nchi foleni kila kitu foleni.

Kwa mtazamo wangu, Nyerere hakuwa na baraka za Mwenyezi Mungu kabisa katika kipindi chake. Majanga mwanzo mwisho.

Naamini huwezi kudhulumu watu Mwenyezi Mungu akakubariki.
Wewe ni mbumbumbu na mpumbavu.
 
1. Aliuza rasilimali.
2. Alijijenga kwao.
3. Marafiki zake aliwaacha serikalin.
4. Alikua tajiri wa kutupwa.
5. Matabaka.

Aliacha:

1. Hakuba hela hazina.
2. Maumivu kwa vyama vya upinzani.
3. Makovu kwa wa Tanzania.
4. Maadui wake jela.

Anakoelekea:

1. Kuishi maisha kitajiri.
2. Kutokuwa na amani.
3. Kujuta.
Nani huyo aliyefanya hayo yote?
 
Hii ni propaganda inayotumika sana.

Nyerere hakuikuta nchi hii ikiwa haina umoja wa kitaifa. Hata yeye alipotoka kwao kwenda Tabora alikuta watu wa kila mkoa na kabila wanaishi kwa amani, hata alipokuja Dar lipokelewa na wenyeji wa Dar, ukoo wa Sykes, namely, Abdul Wahid Sykes alimpokea kwa heshima na taadhima na akamtambulisha mjini, bila tatizo lolote.

Hiyo pekee inaonesha kuwa hii nchi haikuwa na tatizo la umoja wa Kitaifa hata kabla ya uhuru. Matatizo yetu yallikuwa mengine kabisa, hilo hapana.
Bila shaka Nyerere alikuacha mjane bila kukurithisha chochote na watoto wako wakaishi kwa shida.
 
Hilo nalo neno, kuna mjadala tuliujadili sana zamani, enzi za jmabo forums, uligusia kuwa tuliwahi sana kudai uhuru?

Binafsi naamini hatukuwahi, tulichelewa, sema aliyetufikisha hapa ni Nyerere, aliweka misingi mibovu ya kiutawala na kiuchumi. Aliwategemea sana Waingereza na waznngu wa vatikano akidhani ni watu wa maana kwa kuwa walimpa scholarship, kumbe wanamuingiza kichwa kichwa.

Naaamini nyerere alikuwa ni msemaji mzuri na ni mtu wa "literature", hekaya na porojo ndiyo mwenyewe, lakini sayansi za uongozi na uchumi zilimpiga chenga sana tena sana.

Nyerere angekuwa ni "salesman" anagefanya vizuri sana.
Afrika kuna:
1.NKWAME NKRUMAH
2.JULIUS NYERERE
na si vinginevyo.
 
Kichwa cha habari kimeeleweka.

Kwa faida ya wengi, waliokuwepo na wasiokuwepo awamu zilizopita. kila mmoja wetu ana mtazamo wake tofauti na wa mwengine, tujadili mafanikio na madudu ya awamu zilizopita.

Binafsi nashukuru, nimeziishi awamu kadhaa za Tanganyika kuanzia tupo utawala wa Muingereza chini ya Umoja wa Mataifa.

Naikumbuka Tanganyika ya Muingereza kwa mbali, naikumbuka Tanganyika ya utawala wa Nyerere kwa ukaribu zaidi.

Kwa kuwa viongozi waliotuongoza ni wanaadam kama sisi, hawakosi mema yao na mapungufu yao, tuyajadili waliotuwachia.

Hata kama hukuwepo na umeyasoma au umehadithiwa tu, rukhsa kuyaleta ili tuchekeche na tuchambuwe mchele, chenga na chuya.

Bila kufahamu wapi tulipotoka na wapi tupo itakuwa vigumu kuelewa wapi tunaelekea.

Tujadili.
Pamoja na kuleta mageuzi makubwa ya kimaendeleo nchini,
Magufuli aliacha alama kwa kujenga misikiti kwa waislamu tulioshindwa kujijengea miskiti yetu wenyewe na kusubiri hisani.
 
Nimeanza kushuhudia awamu kuanzia kwa Jakaya Kikwete, Hizo za Nyerere na Mwinyi sina cha kusema,

Ila Kikwete kwangu ni bora [emoji123]

Kwa Magufuli nadhani ukiwa kama mtumishi ilikuwa ni machungu tu, labda sekta ya ulinzi

Kwa mama Samia sina cha kusema
 
Kichwa cha habari kimeeleweka.

Kwa faida ya wengi, waliokuwepo na wasiokuwepo awamu zilizopita. kila mmoja wetu ana mtazamo wake tofauti na wa mwengine, tujadili mafanikio na madudu ya awamu zilizopita.

Binafsi nashukuru, nimeziishi awamu kadhaa za Tanganyika kuanzia tupo utawala wa Muingereza chini ya Umoja wa Mataifa.

Naikumbuka Tanganyika ya Muingereza kwa mbali, naikumbuka Tanganyika ya utawala wa Nyerere kwa ukaribu zaidi.

Kwa kuwa viongozi waliotuongoza ni wanaadam kama sisi, hawakosi mema yao na mapungufu yao, tuyajadili waliotuwachia.

Hata kama hukuwepo na umeyasoma au umehadithiwa tu, rukhsa kuyaleta ili tuchekeche na tuchambuwe mchele, chenga na chuya.

Bila kufahamu wapi tulipotoka na wapi tupo itakuwa vigumu kuelewa wapi tunaelekea.

Tujadili.
Bibie, " the agony of a dark continent" kwa tafsiri yangu mimi inahusu ukoloni mamboleo wa uongozi wetu wenyewe, weusi na madhila yake yafuatayo katika:
1. Kufeli kwenye utumishi walopewa awamu zote kupunguza makali ya ujinga, umaskini na maradhi ..
aha, kwa njia za KUJITEGEMEA!
2. UFISADI
3. ANASA na GHARAMA zisizofaa kuongoza nchi msikini - midege, migari ya kitajiri kama vitendea kazi, ubadhirifu wa mali za umna n.k
4. Kutokua na SERA zisizo za kitapeli
...... et cetera! bila kusahau
i. Siasa CHAFU
j. UONGOZI usio bora

Tutake pia maendeleo ya watu!
 
Kichwa cha habari kimeeleweka.

Kwa faida ya wengi, waliokuwepo na wasiokuwepo awamu zilizopita. kila mmoja wetu ana mtazamo wake tofauti na wa mwengine, tujadili mafanikio na madudu ya awamu zilizopita.

Binafsi nashukuru, nimeziishi awamu kadhaa za Tanganyika kuanzia tupo utawala wa Muingereza chini ya Umoja wa Mataifa.

Naikumbuka Tanganyika ya Muingereza kwa mbali, naikumbuka Tanganyika ya utawala wa Nyerere kwa ukaribu zaidi.

Kwa kuwa viongozi waliotuongoza ni wanaadam kama sisi, hawakosi mema yao na mapungufu yao, tuyajadili waliotuwachia.

Hata kama hukuwepo na umeyasoma au umehadithiwa tu, rukhsa kuyaleta ili tuchekeche na tuchambuwe mchele, chenga na chuya.

Bila kufahamu wapi tulipotoka na wapi tupo itakuwa vigumu kuelewa wapi tunaelekea.

Tujadili.
Nyerere alituachia Umoja miongoni mwetu ambao upo mpaka leo ila tumeanza kuuwekea upupu !!

Pia alituachia Viwanda visivyopungua 400, nivitaje vichache vilivyokuwa maarufu zaidi
1- Mwatex kiwanda cha nguo za aina tofauti kama vile vitenge khanga nk.
2 - Mutex kiwanda cha nguo pia
3 - Urafiki
4 general Tyre kiwanda cha Matairi
5- Canvas kiwanda cha magunia
6- minjingu Stamico kiwanda cha mbolea
7- Tancut kiwanda cha kukata Almasi
Machine tools Moshi
8- viwanda kibao vya kukamua mafuta huko kanda ya Ziwa
9 - kiwanda cha kutengeneza Sigara
10- Tanganyika Packers viwanda vya kusindika nyama
11 - viwanda vya vileo bia nk,
Bata kiwanda cha viatu
12- huko jeshini vilikuwepo viwanda vikitengeneza baadhi ya silaha
13 - viwanda vya Sukari na sukari guru pia
14 - kiwanda cha Ngozi ,
15- viwanda vya Kahawa
And so on and so on
Wengine wataongezea !!
 
Nyerere alituachia Umoja miongoni mwetu ambao upo mpaka leo ila tumeanza kuuwekea upupu !!

Pia alituachia Viwanda visivyopungua 400, nivitaje vichache vilivyokuwa maarufu zaidi
1- Mwatex kiwanda cha nguo za aina tofauti kama vile vitenge khanga nk.
2 - Mutex kiwanda cha nguo pia
3 - Urafiki
4 general Tyre kiwanda cha Matairi
5- Canvas kiwanda cha magunia
6- minjingu Stamico kiwanda cha mbolea
7- Tancut kiwanda cha kukata Almasi
Machine tools Moshi
8- viwanda kibao vya kukamua mafuta huko kanda ya Ziwa
9 - kiwanda cha kutengeneza Sigara
10- Tanganyika Packers viwanda vya kusindika nyama
11 - viwanda vya vileo bia nk,
Bata kiwanda cha viatu
12- huko jeshini vilikuwepo viwanda vikitengeneza baadhi ya silaha
13 - viwanda vya Sukari na sukari guru pia
14 - kiwanda cha Ngozi ,
15- viwanda vya Kahawa
And so on and so on
Wengine wataongezea !!
National millings mikoa yote !
 
Kichwa cha habari kimeeleweka.

Kwa faida ya wengi, waliokuwepo na wasiokuwepo awamu zilizopita. kila mmoja wetu ana mtazamo wake tofauti na wa mwengine, tujadili mafanikio na madudu ya awamu zilizopita.

Binafsi nashukuru, nimeziishi awamu kadhaa za Tanganyika kuanzia tupo utawala wa Muingereza chini ya Umoja wa Mataifa.

Naikumbuka Tanganyika ya Muingereza kwa mbali, naikumbuka Tanganyika ya utawala wa Nyerere kwa ukaribu zaidi.

Kwa kuwa viongozi waliotuongoza ni wanaadam kama sisi, hawakosi mema yao na mapungufu yao, tuyajadili waliotuwachia.

Hata kama hukuwepo na umeyasoma au umehadithiwa tu, rukhsa kuyaleta ili tuchekeche na tuchambuwe mchele, chenga na chuya.

Bila kufahamu wapi tulipotoka na wapi tupo itakuwa vigumu kuelewa wapi tunaelekea.

Tujadili.
MJERUMANI
1. Reli ya Kati
2. Ikulu ya Dar Es Salaam
3. Bandari

MWINGEREZA
1. Lugha ya Malkia
2. Mfumo wa Mahakama
3. Mfumo wa Utawala

NYERERE
1. Ujamaa
2. Kiswahili
3. Utanzania

MWINYI
1. Vyama vingi
2. Sekta binafsi
3. "Ruksa"

MKAPA
1.Utandawazi
2. Wawekezaji
3. Hotuba za kila mwezi
4. Mfumo imara wa utawala

KIKWETE
1. Uhuru wa kuongea
2. Barabara nyingi za lami
3. Mchakato wa Katiba mpya
4. Uvumulivu kwa wapinzani
5. Ongezeko la Vyuo Vikuu

MAGUFULI
1. Nidhamu kwenye ofisi za Umma
2. Ndege
3. Jiji la Dodoma
4. Bwawa la Nyerere
5. Daraja la Busisi

SAMIA
Sina uhakika kwa sababu bado hajahitimisha safari yake, lakini huenda akatuachia
1. Katiba ya wananchi
2. Demokrasia ya kupigiwa mfano barani Afrika
3. Tanganyika na Zanzibar zinazoheshimiana
4. Daraja la Dar - Zanzibar
5. Uhuru wa kutoa maoni.
 
MJERUMANI
1. Reli ya Kati
2. Ikulu ya Dar Es Salaam
3. Bandari

MWINGEREZA
1. Lugha ya Malkia
2. Mfumo wa Mahakama
3. Mfumo wa Utawala

NYERERE
1. Ujamaa
2. Kiswahili
3. Utanzania

MWINYI
1. Vyama vingi
2. Sekta binafsi
3. "Ruksa"

MKAPA
1.Utandawazi
2. Wawekezaji
3. Hotuba za kila mwezi
4. Mfumo imara wa utawala

KIKWETE
1. Uhuru wa kuongea
2. Barabara nyingi za lami
3. Mchakato wa Katiba mpya
4. Uvumulivu kwa wapinzani
5. Ongezeko la Vyuo Vikuu

MAGUFULI
1. Nidhamu kwenye ofisi za Umma
2. Ndege
3. Jiji la Dodoma
4. Bwawa la Nyerere
5. Daraja la Busisi

SAMIA
Sina uhakika kwa sababu bado hajahitimisha safari yake, lakini huenda akatuachia
1. Katiba ya wananchi
2. Demokrasia ya kupigiwa mfano barani Afrika
3. Tanganyika na Zanzibar zinazoheshimiana
4. Daraja la Dar - Zanzibar
5. Uhuru wa kutoa maoni.
Uchambuzi mzuri huu.
 
Mmii Mswahili anakuwaje na Mjomba Muarabu?
I
Hili ni moja ya Ajabu la Dunia.

Sijawahi kusikia Mwarabu anamwita Mjomba mtu mweusi.

Yaani Mwarabu anaonekana kama Mungu kwa hawa watu.
Mimi mweusi tii,lakini babu yangu mmojawapo ni mwarabu pure,nenda tabora na shinyanga ukajifunze
 
Back
Top Bottom