FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #81
MJERUMANI
1. Reli ya Kati
2. Ikulu ya Dar Es Salaam
3. Bandari
Mjerumani nakubali alituwachia reli ya kati ambayo mpaka leo ipo.
Bandari na Ikulu alizikuta, hakuziwacha yeye.
Ikulu ndipo lilipoanzia jina Dar Es Salaam. Tazama uzi huu:
Rais Magufuli, ni wakati muafaka "Ikulu" irudishwe kwa wenyewe, Waislam
Mheshimiwa Rais Magufuli, Asalaam Alaikum (Salama na Amani iwe juu yako). Tunafahamu kuwa wewe ni Rais wa wanyonge na ni mpenda haki usiyependa yeyote adhulumiwe. Sisi Waislam, mkoloni Mjerumani alitudhulumu majengo yetu mengi hapo jijini Dar Es Salaam, jina ambalo limetokana na jengo ambalo...