Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Na hazina wakaachikwa madolali kibao. Ukiuliza ziko wapi ni aibuTumeachiwa mindege na bwawa la umeme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hazina wakaachikwa madolali kibao. Ukiuliza ziko wapi ni aibuTumeachiwa mindege na bwawa la umeme
Hata wakati Mwinyi anakabidhiwa nchi 1985 dola ilikuwa haijafikia sh 60.Umasikini,madeni,na ongezeko la deni la taifa.
Kumbuka wakati wa Uhuru Dola moja ilikua sawa na sh 60 Leo ni 2500.Jibu unalo
Ikiwa na mifumo ya uongozi ambayo hatujabadili mpaka Leo zaidi ya kubadili rangi tu kwenye hizo nafasiMuingereza alituwachia nchi ikiwa vipi?
Hilo nalo neno, kuna mjadala tuliujadili sana zamani, enzi za jambo forums, uligusia kuwa tuliwahi sana kudai uhuru?Hawajatufikisha popote. Hata ikulu ingekuwa hamna mtu hapa tulipo tungefika. Tungeendelea kutawaliwa tungekuwa zaidi ya hapa. Kwa kifupi hawajatuachia kitu bali kuna vitu wametuchukulia.
Unafahamu kuwa kwa miaka yote aliyokuwepo Nyerere ikulu kulikuwa kuna pandikizi la Kingereza, Joan Wicken, ambalo Nyerere alikuwa hafanyi kitu bila kupitia kwake?Ikiwa na mifumo ya uongozi ambayo hatujabadili mpaka Leo zaidi ya kubadili rangi tu kwenye hizo nafasi
Hivi Mswahili anakuwaje na Mjomba Muarabu?Samia ataacha rasilimali zote za nchi zikiwa zinamilikiwa na wajomba zake Waarabu wa Dubai na Oman!
Mwalimu Nyerere aliwahi kutawala nchi hii kwenye kipindi kigumu zaidi kuliko maRais wote waliowahi na watakaowahi kuitawala Tanzania; usisahau hilo. Alichukua nchi kutoka kwenye mikono ya wakoloni, na ambao walikuwa hawataki atawale yeye, bali walikuwa wanataka mtawala kutoka kwenye Kabila kubwa ambalo ni wasukumaHapana, si kweli nilikuwepo.
Nyerere aliiacha Tanzania ikiwa ni nchi ya mwisho kwa umasikini duniani. Aliiwacha hata chakula inabidi tukae foleni, wakati yeye aliipokea kwa Mkoloni ikiwa ni nchi ya kwanza katika Afrika inayosfirisha mazao ya kilimo.
Unajuwa kuwa Tanzania Nyerere alituwacha chakula hatuna, mafuta hatuna, akiba benki hatuna.
Umri wa kutenegemea kuishi mtanzania(life expectancy) wakati wa nyerere ulikuwa haufiki miaka 45.
Yule mzee usisikie anavyopambwa, alituwachia na mabalaa ya kila kitu Kawacha nchi foleni kila kitu foleni.
Kwa mtazamo wangu, Nyerere hakuwa na baraka za Mwenyezi Mungu kabisa katika kipindi chake. Majanga mwanzo mwisho.
Naamini huwezi kudhulumu watu Mwenyezi Mungu akakubariki.
Mwalimu Nyerere aliwahi kutawala nchi hii kwenye kipindi kigumu zaidi kuliko maRais wote waliowahi na watakaowahi kuitawala Tanzania; usisahau hilo. Alichukua nchi kutoka kwenye mikono ya wakoloni, na ambao walikuwa hawataki atawale yeye, bali walikuwa wanataka mtawala kutoka kwenye Kabila kubwa ambalo ni wasukuma
Kwani sasa Wana aminiwa? Mi naona tupo vile vile ila means zimebadilika, badala ya mapandikizo physical yapo mapandikizo invisibleUnafahamu kuwa kwa miaka yote aliyokuwepo Nyerere ikulu kulikuwa kuna padikizi la Kingereza, Joan Wicken, ambalo Nyerere alikuwa hafanyi kitu bila kupitia kwake?
View attachment 2735405
Hakuaminiwa hata alipokuja Malkia, ilibidi pandikizi linaloaminika liwepo hapo hapo:
View attachment 2735412
Weka udini pembeni kwanza ndiyo tujadiliNijuavyo, miundo mbinu alituwachia Kikwete, hakuna awamu iliyojikita kwenye miundombinu zaidi ya awamu ya Kikwete.
Magufuli aliikuta miradi yote, nijuavyo miundombinu ya barabara za mwendazake ni ile ya moroccco - Mwenge, au kuna nyingine?
Samia bafonyupo na anaendelea na RRRR .Samia katuachia DPW, waje kujitawala ndani ya nchi yetu.
Samahani bibi, hivi ni kuacha au kuwacha?Mwingereza alituwachia madeni?
Mmhh kumbe we ni bibi kabisa!Kichwa cha habari kimeeleweka.
Kwa faida ya wengi, waliokuwepo na wasiokuwepo awamu zilizopita. kila mmoja wetu ana mtazamo wake tofauti na wa mwengine, tujadili mafanikio na madudu ya awamu zilizopita.
Binafsi nashukuru, nimeziishi awamu kadhaa za Tanganyika kuanzia tupo utawala wa Muingereza chini ya Umoja wa Mataifa.
Naikumbuka Tanganyika ya Muingereza kwa mbali, naikumbuka Tanganyika ya utawala wa Nyerere kwa ukaribu zaidi.
Kwa kuwa viongozi waliotuongoza ni wanaadam kama sisi, hawakosi mema yao na mapungufu yao, tuyajadili waliotuwachia.
Hata kama hukuwepo na umeyasoma au umehadithiwa tu, rukhsa kuyaleta ili tuchekeche na tuchambuwe mchele, chenga na chuya.
Bila kufahamu wapi tulipotoka na wapi tupo itakuwa vigumu kuelewa wapi tunaelekea.
Tujadili.
Samia ana hoja ya kujibu hapa!Hivi Mswahili anakuwaje na Mjomba Muarabu?
Hili ni moja ya Ajabu la Dunia.
Sijawahi kusikia Mwarabu anamwita Mjomba mtu mweusi.
Yaani Mwarabu anaonekana kama Mungu kwa hawa watu.
Unaongelea nani na rasilimali ipi?
Andika ueleweke, unaongelea nini, usiongee kimkato mkato ukafikiri wote tuna fikra kama zako.Wote kasoro Magufuli , mpaka sasa mmoja ndo kakiri na kitabu kaandika.