Kila Siku tunamsifia Kipa Djigui Diara kuwa ana Footwork nzuri Jana mbona hakuitumia ili zile Gongo Mbili zisiingie Nyavuni mwake?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hakika Ivorry Coast wamenipa Furaha Kubwa jana kwa Kutinga Kibabe Semi Final ya AFCON kwa Kuwatoa / Kuwafurumusha rasmi Mashindanoni Timu ya Taifa ya Mali yenye Mchezaji Mmoja kutoka Klabu Moja NISIYOIPENDA Tanzania.

Haupendi UTANI achana na huu Uzi!
 
Unapenda kujishtukia sanaa
Huo mstari wa mwisho ndo nini..
 
unaweza usipende ila ikakushughulisha na kua energy vampire wako
 
Diarra karibu Dar bana achana na ya huko imetoshas.....
 
Oya mzee baba kipa yeyote angefungwa zile goli...

Goli la kwanza, ule ulikuwa ni mchomo wa papo kwa papo na kumbuka mpira uligonga gonga watu kabla ya mfungaji kuendelea na movement yake kudeal na mpira tu...

Goli la pili ndio kipa angejifanya mbishi labda angeteguka, sababu mfungaji alibadilisha direction ya mpira uliopigwa na Fofana, kipa kadance kulia kwake, ngoma ikabadilishwa kwenda kushoto kwake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…