Kilaza ni wimbo utakaowafungua wazazi wenye vipato vya kawaida, wanaohangaika kulipa mamilioni ili kusomesha watoto Shule ya Kiingereza

Kilaza ni wimbo utakaowafungua wazazi wenye vipato vya kawaida, wanaohangaika kulipa mamilioni ili kusomesha watoto Shule ya Kiingereza

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Is it coincidence? Au dunia imeamua KUNIKUTANISHA na watu wenye mtazamo kama wangu?

Au dunia imeamua kuni - prove right kuhusu mtazamo wangu kuhusu English Mediums za Tanzania?

Only God knows, hivyo ndivyo unavyoweza kusema but all in all, watu wameanza kuamka sasa.


Back to the topic πŸ‘‡πŸ‘‡


Jana nimepita kwenye studio moja( jina kapuni) nilimpeleka artist wangu mpya "ninaemsimamia" kwenye kazi zake( Binti wa mwaka 2006, mwanafunzi wa chuo cha kati)

Nikiwa studio nikakuta kuna wimbo unafanyiwa mixing.

Nilikuwa so much excited na utunzi wa msanii kwa sababu ya wazo lake, uhalisia wa anacho kisema pamoja na melody aliyo ichagua.

STORY YA WIMBO KILAZA:

BACK GROUND : πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

To cut it short, rejea wimbo uitwao Malebo.

Kwenye wimbo Malebo, muimbaji ambae alikuwa mtenda dhambi na sasa ameokoka, anaelezea kuhuzunishwa kwake na rafiki yake wa tangu utotoni aitwae Malebo ambae amekataa kuokoka na badala yake ameamua kuendelea kuishi maisha ya kidunia licha ya kumhubiri kila siku aokoke.

WIMBO WENYEWE SASAπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Jamaa ameimba kwa kufuatisha beat na melody ya wimbo wa Malebo vile vile isipokuwa kwenye jina " Malebo" yeye ameweka jina " Kilaza" na pia amebadilisha baadhi ya maneno.


BAADHI YA MASHAIRI YA WIMBO WENYEWE SASA πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Nna huzuni rohoni Mimi siimbi nalia, namlilia KILAZA amekataa KUHAMISHA.

Nilizo imba ni nyingi nikimuonya KILAZA bado HAJAWAHAMISHA sasa siimbi nalia.

Ye ni wangu rafiki tulie SOTA pamoja/

Kwenye ada za watoto TULITESEKA pamoja.

Mwenzake nikaamua kuwahamisha watoto, bado HAJAWAHAMISHA sasa siimbi nalia.

Si yeye peke yake ninao wengi rafiki, Mimi niliwashauri tuwahamishe watoto, tuwapeleke kwa shule hizi zetu za Kayumba, wote wakawahamisha amebakia KILAZA.

Mara kwa mara huwa akanitafuta, nimkopeshe laki 2 akamalizie ada, nikimwambia KILAZA si wahamishe watoto, matusi tanitukana melalia masikio.

Hii ni wiki ya 6 watoto wapo nyumbani, sababu wamefukuzwa jalipa ada shuleni,
wenzao wapo Kayumba wanafurahi pamoja, KILAZA nikimwambia ye anaruka Kimanga.

Wakumbuke vizuri Pili na 3 pamoja walipouza nyumba zao ili wakalipe ada. Walipofika la 5 nayo pesa ikakata, watoto wakafukuzwa wakawaleta Kayumba...


WIMBO unaendelea....
..................................
PUBLIC REACTION AND ACCEPTANCE ( my prediction)

1. First of all , Wimbo utakuwa published kwenye social media something which means that, utawafikia mamilioni ya watu ndani ya muda mfupi sana.

2. Utazua mijadala kwenye media .

3. Utawafungua " vilaza" wengi sana. Na wengi wao watawarejesha watoto wao kwenye shule za Kayumba..

.......

Kwa wale mlio soma somo la History mlipokuwa Advance, kuna topic inaitwa " The rise of capitalism in Europe"

Capitalism/ ubepari una fundisha kwamba there is no expansionism without an equal exchange. Hakuna mafanikio/ utajiri bila mabadilishano ya rasilimali yasiyo na usawa ama dhulma kwa lugha nyepesi.

Ndio maana kanuni yao kuu katika uzalishaji ni :πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Minimize cost to maximize profit.

Kwao biashara ni pale unaponunua dhahabu kwa shilingi elfu moja kisha unaenda kuiuza kwa shilingi milioni mia moja.


Bepari anapokwambia mfano gari fulani bei yake ni shilingi milioni mia5. Haimaanishi kwamba gharama zilizo tumika kuitengeneza gari hiyo ni shilingi milioni mia5 isipokuwa ina maanisha kwamba bepari amefanikiwa kukushawishi wewe uamini kwamba hiyo gari thamani yake ni shilingi milioni mia 5. It is all about ushawishi.

Unaponunua iphone15 kwa sh. Milioni 4 haimaanishi kwamba gharama iliyo tumika kutengeneza iPhone hiyo ni shilingi milioni 4. Usikute gharama iliyo tumika kutengeneza iPhone 15 haifiki hata elfu 10. Ila imekuwa branded na kupewa thamani ya shilingi milioni 4.

Vivyo hivyo hata hawa Wamiliki wa shule za EM. Anapokwambia ada ni milioni 4 kwa mwaka haimaanishi kwamba thamani ya elimu inayo tolewa hapo shuleni ni shilingi milioni 4. Ina maanisha kwamba mwekezaji wa shule amekuaminisha wewe uone kwamba elimu anayo ipata mwanao hapo shuleni thamani yake ni sh. Milioni 4 kwa mwaka.



FUNZO KUU KWENYE WIMBO HUU:

Kama uwezo wako ni wa kawaida, usijitese kuhangaika kutafuta pesa huko na huko ili eti uwalipie watoto wako ada kwenye shule za English Mediums ( ambazo walimu wao walisoma Kayumba, mmiliki alisoma Kayumba, na wao wenyewe English sio lugha mama yao wala sio lugha yao ya kwanza, wala hawa communicate kwa kutumia English on daily basis)

Wapeleke watoto wako Kayumba. Wasimamie. Wawekee miundo mbinu mizuri huko huko Kayumba watasoma watafaulu vizuri, secondary watafaulu vizuri na watafika chuo bila wewe kuwa na stress ambazo hazina ulazima wowote.

Shule za English Medium sio muhimu . Umuhimu umetengenezwa na Wamiliki wa shule hizo. Unapolipa mamilioni yako kwenye shule hizo , unalipia huo " umuhimu wa kutengenezwa" na sio elimu.

There is no value for money.

Hiyo pesa unayo ipoteza kizembe ni bora uende ukanunue the real assets. The tangible assets kama vile ardh, nyumba, mashamba, uwekezaji etc kuliko kununua hiyo intangible asset ( aseti hewa) ambayo ndo huo πŸ‘‰ umuhimu ulio tengenezwa na wamiliki wa shule za kiingereza kuhusu shule zao.

Stuka, usiwe Mampara Mgaiza kama Armando Guebuza.
 
Is it coincidence? Au dunia imeamua KUNIKUTANISHA na watu wenye mtazamo kama wangu?

Au dunia imeamua kuni - prove right kuhusu mtazamo wangu kuhusu English Mediums za Tanzania?

Only God knows, hivyo ndivyo unavyoweza kusema but all in all, watu wameanza kuamka sasa.


Back to the topic πŸ‘‡πŸ‘‡


Jana nimepita kwenye studio moja( jina kapuni) nilimpeleka artist wangu mpya "ninaemsimamia" kwenye kazi zake( Binti wa mwaka 2006, mwanafunzi wa chuo cha kati)

Nikiwa studio nikakuta kuna wimbo unafanyiwa mixing.

Nilikuwa so much excited na utunzi wa msanii kwa sababu ya wazo lake, uhalisia wa anacho kisema pamoja na melody aliyo ichagua.

STORY YA WIMBO KILAZA:

BACK GROUND : πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

To cut it short, rejea wimbo uitwao Malebo.

Kwenye wimbo Malebo, muimbaji ambae alikuwa mtenda dhambi na sasa ameokoka, anaelezea kuhuzunishwa kwake na rafiki yake wa tangu utotoni aitwae Malebo ambae amekataa kuokoka na badala yake ameamua kuendelea kuishi maisha ya kidunia licha ya kumhubiri kila siku aokoke.

WIMBO WENYEWE SASAπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Jamaa ameimba kwa kufuatisha beat na melody ya wimbo wa Malebo vile vile isipokuwa kwenye jina " Malebo" yeye ameweka jina " Kilaza" na pia amebadilisha baadhi ya maneno.


BAADHI YA MASHAIRI YA WIMBO WENYEWE SASA πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Nna huzuni rohoni Mimi siimbi nalia, namlilia KILAZA amekataa KUHAMISHA.

Nilizo imba ni nyingi nikimuonya KILAZA bado HAJAWAHAMISHA sasa siimbi nalia.

Ye ni wangu rafiki tulie SOTA pamoja/

Kwenye ada za watoto TULITESEKA pamoja.

Mwenzake nikaamua kuwahamisha watoto, bado HAJAWAHAMISHA sasa siimbi nalia.

Si yeye peke yake ninao wengi rafiki, Mimi niliwashauri tuwahamishe watoto, tuwapeleke kwa shule hizi zetu za Kayumba, wote wakawahamisha amebakia KILAZA.

Mara kwa mara huwa akanitafuta, nimkopeshe laki 2 akamalizie ada, nikimwambia KILAZA si wahamishe watoto, matusi tanitukana melalia masikio.

Hii ni wiki ya 6 watoto wapo nyumbani, sababu wamefukuzwa jalipa ada shuleni,
wenzao wapo Kayumba wanafurahi pamoja, KILAZA nikimwambia ye anaruka Kimanga.

Wakumbuke vizuri Pili na 3 pamoja walipouza nyumba zao ili wakalipe ada. Walipofika la 5 nayo pesa ikakata, watoto wakafukuzwa wakawaleta Kayumba...


WIMBO unaendelea....
..................................
PUBLIC REACTION AND ACCEPTANCE ( my prediction)

1. First of all , Wimbo utakuwa published kwenye social media something which means that, utawafikia mamilioni ya watu ndani ya muda mfupi sana.

2. Utazua mijadala kwenye media .

3. Utawafungua " vilaza" wengi sana. Na wengi wao watawarejesha watoto wao kwenye shule za Kayumba..

.......

Kwa wale mlio soma somo la History mlipokuwa Advance, kuna topic inaitwa " The rise of capitalism in Europe"

Capitalism/ ubepari una fundisha kwamba there is no expansionism withoutban equal exchange. Hakuna mafanikio/ utajiri bila mabadilishano ya rasilimali yasiyo na usawa ama dhulma kwa lugha nyepesi.

Ndio maana kanuni yako kuu katika uzalishaji ni :πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Minimize cost to maximize profit.

Kwao biashara ni pale unaponunua dhahabu kwa shilingi elfu moja kisha unaenda kuiuza kwa shilingi milioni mia moja.


Bepari anapokwambia mfano gari fulani bei yake ni shilingi milioni mia5. Haimaanishi kwamba gharama zilizo tumika kuitengeneza gari hiyo ni shilingi milioni mia5 isipokuwa ina maanisha kwamba bepari amefanikiwa kukushawishi wewe uamini kwamba hiyo gari thamani yake ni shilingi milioni mia 5. It is all about ushawishi.

Unaponunua iphone15 kwa sh. Milioni 4 haimaanishi kwamba gharama iliyo tumika kutengeneza iPhone hiyo ni shilingi milioni 4. Usikute gharama iliyo tumika kutengeneza iPhone 15 haifiki hata elfu 10. Ila imekuwa branded na kupewa thamani ya shilingi milioni 4.

Vivyo hivyo hata hawa Wamiliki wa shule za EM. Anapokwambia ada ni milioni 4 kwa mwaka haimaanishi kwamba thamani ya elimu inayo tolewa hapo shuleni ni shilingi milioni 4. Ina maanisha kwamba mwekezaji wa shule amekuaminisha wewe uone kwamba elimu anayo ipata mwanao hapo shuleni thamani yake ni sh. Milioni 4 kwa mwaka.



FUNZO KUU KWENYE WIMBO HUU:

Kama uwezo wako ni wa kawaida, usijitese kuhangaika kutafuta pesa huko na huko ili eti uwalipie watoto wako ada kwenye shule za English Mediums ( ambazo walimu wao walisoma Kayumba, mmiliki alisoma Kayumba, na wao wenyewe English sio lugha mama yao wala sio lugha yao ya kwanza, wala hawa communicate kwa kutumia English on daily basis)

Wapeleke watoto wako Kayumba. Wasimamie. Wawekee miundo mbinu mizuri huko huko Kayumba watasoma watafaulu vizuri, secondary watafaulu vizuri na watafika chuo bila wewe kuwa na stress ambazo hazina ulazima wowote.

Shule English Mediums sio muhimu . Umuhimu umetengenezwa na Wamiliki wa shule hizo. Unapolipa mamilioni yako kwenye shule hizo , unalipia huo umuhimu na sio elimu. There is no value for money.

Hiyo pesa unayo ipoteza kizembe ni bora uende ukanunue the real assets. The tangible assets kama vile radhi, nyumba, mashamba, uwekezaji etc kuliko kununua hiyo intangible asset ( aseti hewa) πŸ‘‰ umuhimu ulio tengenezwa na wamiliki wa shule za kiingereza.
hii ni kweli
 
Is it coincidence? Au dunia imeamua KUNIKUTANISHA na watu wenye mtazamo kama wangu?

Au dunia imeamua kuni - prove right kuhusu mtazamo wangu kuhusu English Mediums za Tanzania?

Only God knows, hivyo ndivyo unavyoweza kusema but all in all, watu wameanza kuamka sasa.


Back to the topic πŸ‘‡πŸ‘‡


Jana nimepita kwenye studio moja( jina kapuni) nilimpeleka artist wangu mpya "ninaemsimamia" kwenye kazi zake( Binti wa mwaka 2006, mwanafunzi wa chuo cha kati)

Nikiwa studio nikakuta kuna wimbo unafanyiwa mixing.

Nilikuwa so much excited na utunzi wa msanii kwa sababu ya wazo lake, uhalisia wa anacho kisema pamoja na melody aliyo ichagua.

STORY YA WIMBO KILAZA:

BACK GROUND : πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

To cut it short, rejea wimbo uitwao Malebo.

Kwenye wimbo Malebo, muimbaji ambae alikuwa mtenda dhambi na sasa ameokoka, anaelezea kuhuzunishwa kwake na rafiki yake wa tangu utotoni aitwae Malebo ambae amekataa kuokoka na badala yake ameamua kuendelea kuishi maisha ya kidunia licha ya kumhubiri kila siku aokoke.

WIMBO WENYEWE SASAπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Jamaa ameimba kwa kufuatisha beat na melody ya wimbo wa Malebo vile vile isipokuwa kwenye jina " Malebo" yeye ameweka jina " Kilaza" na pia amebadilisha baadhi ya maneno.


BAADHI YA MASHAIRI YA WIMBO WENYEWE SASA πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Nna huzuni rohoni Mimi siimbi nalia, namlilia KILAZA amekataa KUHAMISHA.

Nilizo imba ni nyingi nikimuonya KILAZA bado HAJAWAHAMISHA sasa siimbi nalia.

Ye ni wangu rafiki tulie SOTA pamoja/

Kwenye ada za watoto TULITESEKA pamoja.

Mwenzake nikaamua kuwahamisha watoto, bado HAJAWAHAMISHA sasa siimbi nalia.

Si yeye peke yake ninao wengi rafiki, Mimi niliwashauri tuwahamishe watoto, tuwapeleke kwa shule hizi zetu za Kayumba, wote wakawahamisha amebakia KILAZA.

Mara kwa mara huwa akanitafuta, nimkopeshe laki 2 akamalizie ada, nikimwambia KILAZA si wahamishe watoto, matusi tanitukana melalia masikio.

Hii ni wiki ya 6 watoto wapo nyumbani, sababu wamefukuzwa jalipa ada shuleni,
wenzao wapo Kayumba wanafurahi pamoja, KILAZA nikimwambia ye anaruka Kimanga.

Wakumbuke vizuri Pili na 3 pamoja walipouza nyumba zao ili wakalipe ada. Walipofika la 5 nayo pesa ikakata, watoto wakafukuzwa wakawaleta Kayumba...


WIMBO unaendelea....
..................................
PUBLIC REACTION AND ACCEPTANCE ( my prediction)

1. First of all , Wimbo utakuwa published kwenye social media something which means that, utawafikia mamilioni ya watu ndani ya muda mfupi sana.

2. Utazua mijadala kwenye media .

3. Utawafungua " vilaza" wengi sana. Na wengi wao watawarejesha watoto wao kwenye shule za Kayumba..

.......

Kwa wale mlio soma somo la History mlipokuwa Advance, kuna topic inaitwa " The rise of capitalism in Europe"

Capitalism/ ubepari una fundisha kwamba there is no expansionism without an equal exchange. Hakuna mafanikio/ utajiri bila mabadilishano ya rasilimali yasiyo na usawa ama dhulma kwa lugha nyepesi.

Ndio maana kanuni yao kuu katika uzalishaji ni :πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Minimize cost to maximize profit.

Kwao biashara ni pale unaponunua dhahabu kwa shilingi elfu moja kisha unaenda kuiuza kwa shilingi milioni mia moja.


Bepari anapokwambia mfano gari fulani bei yake ni shilingi milioni mia5. Haimaanishi kwamba gharama zilizo tumika kuitengeneza gari hiyo ni shilingi milioni mia5 isipokuwa ina maanisha kwamba bepari amefanikiwa kukushawishi wewe uamini kwamba hiyo gari thamani yake ni shilingi milioni mia 5. It is all about ushawishi.

Unaponunua iphone15 kwa sh. Milioni 4 haimaanishi kwamba gharama iliyo tumika kutengeneza iPhone hiyo ni shilingi milioni 4. Usikute gharama iliyo tumika kutengeneza iPhone 15 haifiki hata elfu 10. Ila imekuwa branded na kupewa thamani ya shilingi milioni 4.

Vivyo hivyo hata hawa Wamiliki wa shule za EM. Anapokwambia ada ni milioni 4 kwa mwaka haimaanishi kwamba thamani ya elimu inayo tolewa hapo shuleni ni shilingi milioni 4. Ina maanisha kwamba mwekezaji wa shule amekuaminisha wewe uone kwamba elimu anayo ipata mwanao hapo shuleni thamani yake ni sh. Milioni 4 kwa mwaka.



FUNZO KUU KWENYE WIMBO HUU:

Kama uwezo wako ni wa kawaida, usijitese kuhangaika kutafuta pesa huko na huko ili eti uwalipie watoto wako ada kwenye shule za English Mediums ( ambazo walimu wao walisoma Kayumba, mmiliki alisoma Kayumba, na wao wenyewe English sio lugha mama yao wala sio lugha yao ya kwanza, wala hawa communicate kwa kutumia English on daily basis)

Wapeleke watoto wako Kayumba. Wasimamie. Wawekee miundo mbinu mizuri huko huko Kayumba watasoma watafaulu vizuri, secondary watafaulu vizuri na watafika chuo bila wewe kuwa na stress ambazo hazina ulazima wowote.

Shule za English Medium sio muhimu . Umuhimu umetengenezwa na Wamiliki wa shule hizo. Unapolipa mamilioni yako kwenye shule hizo , unalipia huo " umuhimu wa kutengenezwa" na sio elimu.

There is no value for money.

Hiyo pesa unayo ipoteza kizembe ni bora uende ukanunue the real assets. The tangible assets kama vile ardh, nyumba, mashamba, uwekezaji etc kuliko kununua hiyo intangible asset ( aseti hewa) ambayo ndo huo πŸ‘‰ umuhimu ulio tengenezwa na wamiliki wa shule za kiingereza kuhusu shule zao.

Stuka, usiwe Mampara Mgaiza kama Armando Guebuza.
Endelea kuwadanganya ndo maana CCM imetukalia shingo.
 
Is it coincidence? Au dunia imeamua KUNIKUTANISHA na watu wenye mtazamo kama wangu?

Au dunia imeamua kuni - prove right kuhusu mtazamo wangu kuhusu English Mediums za Tanzania?

Only God knows, hivyo ndivyo unavyoweza kusema but all in all, watu wameanza kuamka sasa.


Back to the topic πŸ‘‡πŸ‘‡


Jana nimepita kwenye studio moja( jina kapuni) nilimpeleka artist wangu mpya "ninaemsimamia" kwenye kazi zake( Binti wa mwaka 2006, mwanafunzi wa chuo cha kati)

Nikiwa studio nikakuta kuna wimbo unafanyiwa mixing.

Nilikuwa so much excited na utunzi wa msanii kwa sababu ya wazo lake, uhalisia wa anacho kisema pamoja na melody aliyo ichagua.

STORY YA WIMBO KILAZA:

BACK GROUND : πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

To cut it short, rejea wimbo uitwao Malebo.

Kwenye wimbo Malebo, muimbaji ambae alikuwa mtenda dhambi na sasa ameokoka, anaelezea kuhuzunishwa kwake na rafiki yake wa tangu utotoni aitwae Malebo ambae amekataa kuokoka na badala yake ameamua kuendelea kuishi maisha ya kidunia licha ya kumhubiri kila siku aokoke.

WIMBO WENYEWE SASAπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Jamaa ameimba kwa kufuatisha beat na melody ya wimbo wa Malebo vile vile isipokuwa kwenye jina " Malebo" yeye ameweka jina " Kilaza" na pia amebadilisha baadhi ya maneno.


BAADHI YA MASHAIRI YA WIMBO WENYEWE SASA πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Nna huzuni rohoni Mimi siimbi nalia, namlilia KILAZA amekataa KUHAMISHA.

Nilizo imba ni nyingi nikimuonya KILAZA bado HAJAWAHAMISHA sasa siimbi nalia.

Ye ni wangu rafiki tulie SOTA pamoja/

Kwenye ada za watoto TULITESEKA pamoja.

Mwenzake nikaamua kuwahamisha watoto, bado HAJAWAHAMISHA sasa siimbi nalia.

Si yeye peke yake ninao wengi rafiki, Mimi niliwashauri tuwahamishe watoto, tuwapeleke kwa shule hizi zetu za Kayumba, wote wakawahamisha amebakia KILAZA.

Mara kwa mara huwa akanitafuta, nimkopeshe laki 2 akamalizie ada, nikimwambia KILAZA si wahamishe watoto, matusi tanitukana melalia masikio.

Hii ni wiki ya 6 watoto wapo nyumbani, sababu wamefukuzwa jalipa ada shuleni,
wenzao wapo Kayumba wanafurahi pamoja, KILAZA nikimwambia ye anaruka Kimanga.

Wakumbuke vizuri Pili na 3 pamoja walipouza nyumba zao ili wakalipe ada. Walipofika la 5 nayo pesa ikakata, watoto wakafukuzwa wakawaleta Kayumba...


WIMBO unaendelea....
..................................
PUBLIC REACTION AND ACCEPTANCE ( my prediction)

1. First of all , Wimbo utakuwa published kwenye social media something which means that, utawafikia mamilioni ya watu ndani ya muda mfupi sana.

2. Utazua mijadala kwenye media .

3. Utawafungua " vilaza" wengi sana. Na wengi wao watawarejesha watoto wao kwenye shule za Kayumba..

.......

Kwa wale mlio soma somo la History mlipokuwa Advance, kuna topic inaitwa " The rise of capitalism in Europe"

Capitalism/ ubepari una fundisha kwamba there is no expansionism without an equal exchange. Hakuna mafanikio/ utajiri bila mabadilishano ya rasilimali yasiyo na usawa ama dhulma kwa lugha nyepesi.

Ndio maana kanuni yao kuu katika uzalishaji ni :πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Minimize cost to maximize profit.

Kwao biashara ni pale unaponunua dhahabu kwa shilingi elfu moja kisha unaenda kuiuza kwa shilingi milioni mia moja.


Bepari anapokwambia mfano gari fulani bei yake ni shilingi milioni mia5. Haimaanishi kwamba gharama zilizo tumika kuitengeneza gari hiyo ni shilingi milioni mia5 isipokuwa ina maanisha kwamba bepari amefanikiwa kukushawishi wewe uamini kwamba hiyo gari thamani yake ni shilingi milioni mia 5. It is all about ushawishi.

Unaponunua iphone15 kwa sh. Milioni 4 haimaanishi kwamba gharama iliyo tumika kutengeneza iPhone hiyo ni shilingi milioni 4. Usikute gharama iliyo tumika kutengeneza iPhone 15 haifiki hata elfu 10. Ila imekuwa branded na kupewa thamani ya shilingi milioni 4.

Vivyo hivyo hata hawa Wamiliki wa shule za EM. Anapokwambia ada ni milioni 4 kwa mwaka haimaanishi kwamba thamani ya elimu inayo tolewa hapo shuleni ni shilingi milioni 4. Ina maanisha kwamba mwekezaji wa shule amekuaminisha wewe uone kwamba elimu anayo ipata mwanao hapo shuleni thamani yake ni sh. Milioni 4 kwa mwaka.



FUNZO KUU KWENYE WIMBO HUU:

Kama uwezo wako ni wa kawaida, usijitese kuhangaika kutafuta pesa huko na huko ili eti uwalipie watoto wako ada kwenye shule za English Mediums ( ambazo walimu wao walisoma Kayumba, mmiliki alisoma Kayumba, na wao wenyewe English sio lugha mama yao wala sio lugha yao ya kwanza, wala hawa communicate kwa kutumia English on daily basis)

Wapeleke watoto wako Kayumba. Wasimamie. Wawekee miundo mbinu mizuri huko huko Kayumba watasoma watafaulu vizuri, secondary watafaulu vizuri na watafika chuo bila wewe kuwa na stress ambazo hazina ulazima wowote.

Shule za English Medium sio muhimu . Umuhimu umetengenezwa na Wamiliki wa shule hizo. Unapolipa mamilioni yako kwenye shule hizo , unalipia huo " umuhimu wa kutengenezwa" na sio elimu.

There is no value for money.

Hiyo pesa unayo ipoteza kizembe ni bora uende ukanunue the real assets. The tangible assets kama vile ardh, nyumba, mashamba, uwekezaji etc kuliko kununua hiyo intangible asset ( aseti hewa) ambayo ndo huo πŸ‘‰ umuhimu ulio tengenezwa na wamiliki wa shule za kiingereza kuhusu shule zao.

Stuka, usiwe Mampara Mgaiza kama Armando Guebuza.
We huna pesa,usilazimishe watu wafate ufahamu wako, wasio na pesa ndio huwa wanaponda shule za kizungu, au magari maturity, utawasikia, "kwani gari utazikwa, nalo,au maskini ndio wanaishi kwa, furaha, hawana hofu ya kuvamiwa na majambazi!
Kama, unadhqni shule za, English medium tunafata, kizungu, bado upo gizani,
Taja waziri au mkuu wa wilaya, anayesomesha kayumba! Hata, waziri wa tamisemi watoto wake wapo English medium, acha ufala tafuta pesa
 
We huna pesa,usilazimishe watu wafate ufahamu wako, wasio na pesa ndio huwa wanaponda shule za kizungu, au magari maturity, utawasikia, "kwani gari utazikwa, nalo,au maskini ndio wanaishi kwa, furaha, hawana hofu ya kuvamiwa na majambazi!
Kama, unadhqni shule za, English medium tunafata, kizungu, bado upo gizani,
Taja waziri au mkuu wa wilaya, anayesomesha kayumba! Hata, waziri wa tamisemi watoto wake wapo English medium, acha ufala tafuta pesa
Ahaa kumbe wewe unasomesha kwa kuwafuata mawaziri na wakuu wa wilaya. Kama ndivyo ilivyo basi upo sahihi kabisa kuendelea kujitesa na kujinyima.

Kama ungekuwa unasomesha kwa kujua nini maana ya mtoto kusoma walau tungeweza kujadiliana mkuu.
 
Is it coincidence? Au dunia imeamua KUNIKUTANISHA na watu wenye mtazamo kama wangu?

Au dunia imeamua kuni - prove right kuhusu mtazamo wangu kuhusu English Mediums za Tanzania?

Only God knows, hivyo ndivyo unavyoweza kusema but all in all, watu wameanza kuamka sasa.


Back to the topic πŸ‘‡πŸ‘‡


Jana nimepita kwenye studio moja( jina kapuni) nilimpeleka artist wangu mpya "ninaemsimamia" kwenye kazi zake( Binti wa mwaka 2006, mwanafunzi wa chuo cha kati)

Nikiwa studio nikakuta kuna wimbo unafanyiwa mixing.

Nilikuwa so much excited na utunzi wa msanii kwa sababu ya wazo lake, uhalisia wa anacho kisema pamoja na melody aliyo ichagua.

STORY YA WIMBO KILAZA:

BACK GROUND : πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

To cut it short, rejea wimbo uitwao Malebo.

Kwenye wimbo Malebo, muimbaji ambae alikuwa mtenda dhambi na sasa ameokoka, anaelezea kuhuzunishwa kwake na rafiki yake wa tangu utotoni aitwae Malebo ambae amekataa kuokoka na badala yake ameamua kuendelea kuishi maisha ya kidunia licha ya kumhubiri kila siku aokoke.

WIMBO WENYEWE SASAπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Jamaa ameimba kwa kufuatisha beat na melody ya wimbo wa Malebo vile vile isipokuwa kwenye jina " Malebo" yeye ameweka jina " Kilaza" na pia amebadilisha baadhi ya maneno.


BAADHI YA MASHAIRI YA WIMBO WENYEWE SASA πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Nna huzuni rohoni Mimi siimbi nalia, namlilia KILAZA amekataa KUHAMISHA.

Nilizo imba ni nyingi nikimuonya KILAZA bado HAJAWAHAMISHA sasa siimbi nalia.

Ye ni wangu rafiki tulie SOTA pamoja/

Kwenye ada za watoto TULITESEKA pamoja.

Mwenzake nikaamua kuwahamisha watoto, bado HAJAWAHAMISHA sasa siimbi nalia.

Si yeye peke yake ninao wengi rafiki, Mimi niliwashauri tuwahamishe watoto, tuwapeleke kwa shule hizi zetu za Kayumba, wote wakawahamisha amebakia KILAZA.

Mara kwa mara huwa akanitafuta, nimkopeshe laki 2 akamalizie ada, nikimwambia KILAZA si wahamishe watoto, matusi tanitukana melalia masikio.

Hii ni wiki ya 6 watoto wapo nyumbani, sababu wamefukuzwa jalipa ada shuleni,
wenzao wapo Kayumba wanafurahi pamoja, KILAZA nikimwambia ye anaruka Kimanga.

Wakumbuke vizuri Pili na 3 pamoja walipouza nyumba zao ili wakalipe ada. Walipofika la 5 nayo pesa ikakata, watoto wakafukuzwa wakawaleta Kayumba...


WIMBO unaendelea....
..................................
PUBLIC REACTION AND ACCEPTANCE ( my prediction)

1. First of all , Wimbo utakuwa published kwenye social media something which means that, utawafikia mamilioni ya watu ndani ya muda mfupi sana.

2. Utazua mijadala kwenye media .

3. Utawafungua " vilaza" wengi sana. Na wengi wao watawarejesha watoto wao kwenye shule za Kayumba..

.......

Kwa wale mlio soma somo la History mlipokuwa Advance, kuna topic inaitwa " The rise of capitalism in Europe"

Capitalism/ ubepari una fundisha kwamba there is no expansionism without an equal exchange. Hakuna mafanikio/ utajiri bila mabadilishano ya rasilimali yasiyo na usawa ama dhulma kwa lugha nyepesi.

Ndio maana kanuni yao kuu katika uzalishaji ni :πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Minimize cost to maximize profit.

Kwao biashara ni pale unaponunua dhahabu kwa shilingi elfu moja kisha unaenda kuiuza kwa shilingi milioni mia moja.


Bepari anapokwambia mfano gari fulani bei yake ni shilingi milioni mia5. Haimaanishi kwamba gharama zilizo tumika kuitengeneza gari hiyo ni shilingi milioni mia5 isipokuwa ina maanisha kwamba bepari amefanikiwa kukushawishi wewe uamini kwamba hiyo gari thamani yake ni shilingi milioni mia 5. It is all about ushawishi.

Unaponunua iphone15 kwa sh. Milioni 4 haimaanishi kwamba gharama iliyo tumika kutengeneza iPhone hiyo ni shilingi milioni 4. Usikute gharama iliyo tumika kutengeneza iPhone 15 haifiki hata elfu 10. Ila imekuwa branded na kupewa thamani ya shilingi milioni 4.

Vivyo hivyo hata hawa Wamiliki wa shule za EM. Anapokwambia ada ni milioni 4 kwa mwaka haimaanishi kwamba thamani ya elimu inayo tolewa hapo shuleni ni shilingi milioni 4. Ina maanisha kwamba mwekezaji wa shule amekuaminisha wewe uone kwamba elimu anayo ipata mwanao hapo shuleni thamani yake ni sh. Milioni 4 kwa mwaka.



FUNZO KUU KWENYE WIMBO HUU:

Kama uwezo wako ni wa kawaida, usijitese kuhangaika kutafuta pesa huko na huko ili eti uwalipie watoto wako ada kwenye shule za English Mediums ( ambazo walimu wao walisoma Kayumba, mmiliki alisoma Kayumba, na wao wenyewe English sio lugha mama yao wala sio lugha yao ya kwanza, wala hawa communicate kwa kutumia English on daily basis)

Wapeleke watoto wako Kayumba. Wasimamie. Wawekee miundo mbinu mizuri huko huko Kayumba watasoma watafaulu vizuri, secondary watafaulu vizuri na watafika chuo bila wewe kuwa na stress ambazo hazina ulazima wowote.

Shule za English Medium sio muhimu . Umuhimu umetengenezwa na Wamiliki wa shule hizo. Unapolipa mamilioni yako kwenye shule hizo , unalipia huo " umuhimu wa kutengenezwa" na sio elimu.

There is no value for money.

Hiyo pesa unayo ipoteza kizembe ni bora uende ukanunue the real assets. The tangible assets kama vile ardh, nyumba, mashamba, uwekezaji etc kuliko kununua hiyo intangible asset ( aseti hewa) ambayo ndo huo πŸ‘‰ umuhimu ulio tengenezwa na wamiliki wa shule za kiingereza kuhusu shule zao.

Stuka, usiwe Mampara Mgaiza kama Armando Guebuza.
Watu tusio na hela tukusanyike kuunga mkono huu uzi tujifariji πŸ˜€
 
Is it coincidence? Au dunia imeamua KUNIKUTANISHA na watu wenye mtazamo kama wangu?

Au dunia imeamua kuni - prove right kuhusu mtazamo wangu kuhusu English Mediums za Tanzania?

Only God knows, hivyo ndivyo unavyoweza kusema but all in all, watu wameanza kuamka sasa.


Back to the topic πŸ‘‡πŸ‘‡


Jana nimepita kwenye studio moja( jina kapuni) nilimpeleka artist wangu mpya "ninaemsimamia" kwenye kazi zake( Binti wa mwaka 2006, mwanafunzi wa chuo cha kati)

Nikiwa studio nikakuta kuna wimbo unafanyiwa mixing.

Nilikuwa so much excited na utunzi wa msanii kwa sababu ya wazo lake, uhalisia wa anacho kisema pamoja na melody aliyo ichagua.

STORY YA WIMBO KILAZA:

BACK GROUND : πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

To cut it short, rejea wimbo uitwao Malebo.

Kwenye wimbo Malebo, muimbaji ambae alikuwa mtenda dhambi na sasa ameokoka, anaelezea kuhuzunishwa kwake na rafiki yake wa tangu utotoni aitwae Malebo ambae amekataa kuokoka na badala yake ameamua kuendelea kuishi maisha ya kidunia licha ya kumhubiri kila siku aokoke.

WIMBO WENYEWE SASAπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Jamaa ameimba kwa kufuatisha beat na melody ya wimbo wa Malebo vile vile isipokuwa kwenye jina " Malebo" yeye ameweka jina " Kilaza" na pia amebadilisha baadhi ya maneno.


BAADHI YA MASHAIRI YA WIMBO WENYEWE SASA πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Nna huzuni rohoni Mimi siimbi nalia, namlilia KILAZA amekataa KUHAMISHA.

Nilizo imba ni nyingi nikimuonya KILAZA bado HAJAWAHAMISHA sasa siimbi nalia.

Ye ni wangu rafiki tulie SOTA pamoja/

Kwenye ada za watoto TULITESEKA pamoja.

Mwenzake nikaamua kuwahamisha watoto, bado HAJAWAHAMISHA sasa siimbi nalia.

Si yeye peke yake ninao wengi rafiki, Mimi niliwashauri tuwahamishe watoto, tuwapeleke kwa shule hizi zetu za Kayumba, wote wakawahamisha amebakia KILAZA.

Mara kwa mara huwa akanitafuta, nimkopeshe laki 2 akamalizie ada, nikimwambia KILAZA si wahamishe watoto, matusi tanitukana melalia masikio.

Hii ni wiki ya 6 watoto wapo nyumbani, sababu wamefukuzwa jalipa ada shuleni,
wenzao wapo Kayumba wanafurahi pamoja, KILAZA nikimwambia ye anaruka Kimanga.

Wakumbuke vizuri Pili na 3 pamoja walipouza nyumba zao ili wakalipe ada. Walipofika la 5 nayo pesa ikakata, watoto wakafukuzwa wakawaleta Kayumba...


WIMBO unaendelea....
..................................
PUBLIC REACTION AND ACCEPTANCE ( my prediction)

1. First of all , Wimbo utakuwa published kwenye social media something which means that, utawafikia mamilioni ya watu ndani ya muda mfupi sana.

2. Utazua mijadala kwenye media .

3. Utawafungua " vilaza" wengi sana. Na wengi wao watawarejesha watoto wao kwenye shule za Kayumba..

.......

Kwa wale mlio soma somo la History mlipokuwa Advance, kuna topic inaitwa " The rise of capitalism in Europe"

Capitalism/ ubepari una fundisha kwamba there is no expansionism without an equal exchange. Hakuna mafanikio/ utajiri bila mabadilishano ya rasilimali yasiyo na usawa ama dhulma kwa lugha nyepesi.

Ndio maana kanuni yao kuu katika uzalishaji ni :πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Minimize cost to maximize profit.

Kwao biashara ni pale unaponunua dhahabu kwa shilingi elfu moja kisha unaenda kuiuza kwa shilingi milioni mia moja.


Bepari anapokwambia mfano gari fulani bei yake ni shilingi milioni mia5. Haimaanishi kwamba gharama zilizo tumika kuitengeneza gari hiyo ni shilingi milioni mia5 isipokuwa ina maanisha kwamba bepari amefanikiwa kukushawishi wewe uamini kwamba hiyo gari thamani yake ni shilingi milioni mia 5. It is all about ushawishi.

Unaponunua iphone15 kwa sh. Milioni 4 haimaanishi kwamba gharama iliyo tumika kutengeneza iPhone hiyo ni shilingi milioni 4. Usikute gharama iliyo tumika kutengeneza iPhone 15 haifiki hata elfu 10. Ila imekuwa branded na kupewa thamani ya shilingi milioni 4.

Vivyo hivyo hata hawa Wamiliki wa shule za EM. Anapokwambia ada ni milioni 4 kwa mwaka haimaanishi kwamba thamani ya elimu inayo tolewa hapo shuleni ni shilingi milioni 4. Ina maanisha kwamba mwekezaji wa shule amekuaminisha wewe uone kwamba elimu anayo ipata mwanao hapo shuleni thamani yake ni sh. Milioni 4 kwa mwaka.



FUNZO KUU KWENYE WIMBO HUU:

Kama uwezo wako ni wa kawaida, usijitese kuhangaika kutafuta pesa huko na huko ili eti uwalipie watoto wako ada kwenye shule za English Mediums ( ambazo walimu wao walisoma Kayumba, mmiliki alisoma Kayumba, na wao wenyewe English sio lugha mama yao wala sio lugha yao ya kwanza, wala hawa communicate kwa kutumia English on daily basis)

Wapeleke watoto wako Kayumba. Wasimamie. Wawekee miundo mbinu mizuri huko huko Kayumba watasoma watafaulu vizuri, secondary watafaulu vizuri na watafika chuo bila wewe kuwa na stress ambazo hazina ulazima wowote.

Shule za English Medium sio muhimu . Umuhimu umetengenezwa na Wamiliki wa shule hizo. Unapolipa mamilioni yako kwenye shule hizo , unalipia huo " umuhimu wa kutengenezwa" na sio elimu.

There is no value for money.

Hiyo pesa unayo ipoteza kizembe ni bora uende ukanunue the real assets. The tangible assets kama vile ardh, nyumba, mashamba, uwekezaji etc kuliko kununua hiyo intangible asset ( aseti hewa) ambayo ndo huo πŸ‘‰ umuhimu ulio tengenezwa na wamiliki wa shule za kiingereza kuhusu shule zao.

Stuka, usiwe Mampara Mgaiza kama Armando Guebuza.
Watu tusio na hela tukusanyike kuunga mkono huu uzi tujifariji πŸ˜€
 
Back
Top Bottom