Kile kiapo cha damu hiki hapa

Huyo jamaa Ni mjinga sana maana kama angekuwa Ni Mtu wa dini angejua kiwa YESU alisema msipende KUAPA sababu hiyo Ni kazi ya yule muovu.
 
Huyo jamaa Ni mjinga sana maana kama angekuwa Ni Mtu wa dini angejua kiwa YESU alisema msipende KUAPA sababu hiyo Ni kazi ya yule muovu.
[emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
NB: Kama wewe ni mshika dini si vema kujiapiza au kulipa visasi kwakuwa Mungu anajua na anaona kikubwa ni KUSAMEHE.
Ila si wote ni washika dini na kuna wengine hawaamini kabisa
 
Ubaya wa hii itakurudi na kukupiga na ZABURI 109. ...NI HATARI SANA NDUGU YANGU USIFANYE HICHI KITU. ...HIYO ZABURI YA 109 ITAKULIPUWA KABISA. ..KUMBUKA WHAT GOES AROUND COMES AROUND. ..NI HATARI
 
Ubaya wa hii itakurudi na kukupiga na ZABURI 109. ...NI HATARI SANA NDUGU YANGU USIFANYE HICHI KITU. ...HIYO ZABURI YA 109 ITAKULIPUWA KABISA. ..KUMBUKA WHAT GOES AROUND COMES AROUND. ..NI HATARI
Si umeona angalizo nililotoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…