Kile kiapo cha damu hiki hapa

Vipi kuhusu vile viapo wanavyoapa viongozi kwa kushika quran na biblia wakiapa kwamba watailinda na kuitetea katiba ya nchi na matokeo yake inakua kinyume na viapo walivyoapa siiajabu hivi viapo vinawatafuna taratibu.
 
Vipi kuhusu vile viapo wanavyoapa viongozi kwa kushika quran na biblia wakiapa kwamba watailinda na kuitetea katiba ya nchi na matokeo yake inakua kinyume na viapo walivyoapa siiajabu hivi viapo vinawatafuna taratibu.
Wanamdhihaki na kumkufuru Mungu
 
Sawa kabisa ndo nataka hiki sasa, hakika. Ngoja nikaanzishe uzi niliokusudia sasa.

Thanks sana, Mshana Jr
 
Hahahahahahahahaaaaaaaaaaaa
 
Nataka nifanye hivo kwa malengo kuwa yeyote atakayenifanyia mabaya nae yamkute zaid ya hayo(kwa kuandika kwa dam yangu)
Inawezekana Mshana Jr??
 
Duu... Inawezekana lakini sijushauri... Huyo mtu atapata tabu sana
Kwann mkuu?? Unajua kwann nasema ivo? Mm nahis nina hyo nature, asilimia 90 ya wanaonifanyia mabaya wanapata mabaya pia, mfn mtu akinikopa kit kweny biashara zake asinulipe na yy anafilisika muda si mref, nina mifano zaid ya 3!! Nataka nii-activate hyo nguv
 
♥Yakobo : Mlango 5♥

12 Lakini zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, wala kwa mbingu wala kwa nchi; wala kwa kiapo kinginecho chote; bali ndiyo yenu na iwe ndiyo, na siyo yenu iwe siyo, msije mkaangukia hukumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…