Kilevi hiki ni hatari kwa taifa japo kina faida kwa wanasiasa

Kilevi hiki ni hatari kwa taifa japo kina faida kwa wanasiasa

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Wajanja wa nchi hii wametuletea kilevi hatari kwa taifa letu, kiasi kimekolezwa na kesi za akina Magoma zinazoipotezea muda mahakama zetu.

Wakati bodi ya vilevi hairuhusu baa kuuza pombe saa za kazi lakini bodi hii TCRA inaruhusu walevi wake wanshinde kutwa nzima eti wasikilize uchambuzi na kesi za mpira wa Simba na Yanga ambako kuna wapiga kura pendwa wengi, kunogesha kilevi hiki kimeongezewa na mamilioni ya ya shilingi za goli! Leo hii uswahilini watu wamekuwa mateja wa Simba na Yanga, panapouzwa magazeti ni ubishi wa kilevi hiki kipya.

Tanzania viongozi wetu hufurahia umasikini na ujinga wetu kwani ndio unaowapa kura ili washike madaraka kupitia kutudanganya na visima vya maji yasiyo salama karne hii! Kwa pombe hii Tanzania itabaki kuwa mtazamaji huku wenzetu wanachanja mbuga, lete pombe nyingine.
 
Wajanja wa nchi hii wametuletea kilevi hatari kwa taifa letu, kiasi kimekolezwa na kesi za akina Magoma zinazoipotezea muda mahakama zetu.
Wakati bodi ya vilevi hairuhusu baa kuuza pombe saa za kazi lakini bodi hii TCRA inaruhusu walevi wake wanshinde kutwa nzima eti wasikilize uchambuzi na kesi za mpira wa Simba na Yanga ambako kuna wapiga kura pendwa wengi, kunogesha kilevi hiki kimeongezewa na mamilioni ya ya shilingi za goli! Leo hii uswahilini watu wamekuwa mateja wa Simba na Yanga, panapouzwa magazeti ni ubishi wa kilevi hiki kipya.
Tanzania viongozi wetu hufurahia umasikini na ujinga wetu kwani ndio unaowapa kura ili washike madaraka kupitia kutudanganya na visima vya maji yasiyo salama karne hii! Kwa pombe hii Tanzania itabaki kuwa mtazamaji huku wenzetu wanachanja mbuga, lete pombe nyingine.
Mpe masikini KILEVI asahau shida zake
 
Wajanja wa nchi hii wametuletea kilevi hatari kwa taifa letu, kiasi kimekolezwa na kesi za akina Magoma zinazoipotezea muda mahakama zetu.
Wakati bodi ya vilevi hairuhusu baa kuuza pombe saa za kazi lakini bodi hii TCRA inaruhusu walevi wake wanshinde kutwa nzima eti wasikilize uchambuzi na kesi za mpira wa Simba na Yanga ambako kuna wapiga kura pendwa wengi, kunogesha kilevi hiki kimeongezewa na mamilioni ya ya shilingi za goli! Leo hii uswahilini watu wamekuwa mateja wa Simba na Yanga, panapouzwa magazeti ni ubishi wa kilevi hiki kipya.
Tanzania viongozi wetu hufurahia umasikini na ujinga wetu kwani ndio unaowapa kura ili washike madaraka kupitia kutudanganya na visima vya maji yasiyo salama karne hii! Kwa pombe hii Tanzania itabaki kuwa mtazamaji huku wenzetu wanachanja mbuga, lete pombe nyingine.
Give them Bread an circuses and they will never revolt
 
Katika nchi yenye matukio na ujinga mwingi,starehe ya mwananchi wa kawaida zimebaki chache tu ,mpira ni mojawapo.... mtu unaona kuliko kuwa serious muda wote,bora upoteze mawazo huku. Lkni kama ilivyo desturi ya serikali zenye chembechembe za udikteta siku zote,na huku wameamua kuji-insert kwenye conversation kupitia "goli la mama"

Tanzania is a "total state" ,serikali itakuongoza hadi kwenye familia yako mwenyewe.Watch!
 
Wajanja wa nchi hii wametuletea kilevi hatari kwa taifa letu, kiasi kimekolezwa na kesi za akina Magoma zinazoipotezea muda mahakama zetu.
Wakati bodi ya vilevi hairuhusu baa kuuza pombe saa za kazi lakini bodi hii TCRA inaruhusu walevi wake wanshinde kutwa nzima eti wasikilize uchambuzi na kesi za mpira wa Simba na Yanga ambako kuna wapiga kura pendwa wengi, kunogesha kilevi hiki kimeongezewa na mamilioni ya ya shilingi za goli! Leo hii uswahilini watu wamekuwa mateja wa Simba na Yanga, panapouzwa magazeti ni ubishi wa kilevi hiki kipya.
Tanzania viongozi wetu hufurahia umasikini na ujinga wetu kwani ndio unaowapa kura ili washike madaraka kupitia kutudanganya na visima vya maji yasiyo salama karne hii! Kwa pombe hii Tanzania itabaki kuwa mtazamaji huku wenzetu wanachanja mbuga, lete pombe nyingine.
Sidhani kama hiyo ni indicator kuwa Watanzania hawana consciousness ya yale yanayoendelea duniani.

Watu wengi wanaponda kuona kwenye mabasi, vijiwe vya kahawa, vituo vya teksi, sokoni watu wanajadili Simba na Yanga.

Watu wengi kwenye mitandao hasa Twitter na JF wanajadili sana siasa, tena siasa ngumu. Kama uko nje ya nchi au kama hujawahi kufika Tanzania ila unapita kwenye Twitter na JF unaweza kudhani Tanzania hakuna amani kabisa.

Kuna watu walitamani na Tanzania vijana wetu wa 2000 waige maandamano ya Kenya. Lakini waukize baada ya maandamano hayo ya mawiki zaidi ya 6 wamepata nini? Baraza limegeuzwa chini juu kama chapati ya mama nitilie na finance bill itafidiwa kinamna anavyojua Rutto

Kitendo cha watu wa mtaani kuemdelea maisha yao siyo cha KUIGIZA basi ni dalili kwamba nchi yetu ni kisiwa cha amani licja ya matukio machache ya utekaji, mauaji na wizi.

NAIPENDA TANZANIA
 
Sidhani kama hiyo ni indicator kuwa Watanzania hawana consciousness ya yale yanayoendelea duniani.

Watu wengi wanaponda kuona kwenye mabasi, vijiwe vya kahawa, vituo vya teksi, sokoni watu wanajadili Simba na Yanga.

Watu wengi kwenye mitandao hasa Twitter na JF wanajadili sana siasa, tena siasa ngumu. Kama uko nje ya nchi au kama hujawahi kufika Tanzania ila unapita kwenye Twitter na JF unaweza kudhani Tanzania hakuna amani kabisa.

Kuna watu walitamani na Tanzania vijana wetu wa 2000 waige maandamano ya Kenya. Lakini waukize baada ya maandamano hayo ya mawiki zaidi ya 6 wamepata nini? Baraza limegeuzwa chini juu kama chapati ya mama nitilie na finance bill itafidiwa kinamna anavyojua Rutto

Kitendo cha watu wa mtaani kuemdelea maisha yao siyo cha KUIGIZA basi ni dalili kwamba nchi yetu ni kisiwa cha amani licja ya matukio machache ya utekaji, mauaji na wizi.

NAIPENDA TANZANIA
Acha uongo Tanzania hamna amani tanzania Kuna waoga ambao ni raia wa tanzania Amani haiwezi kuwepo kwenye njaa
 
baada ya maandamano hayo ya mawiki zaidi ya 6 wamepata nini? Baraza limegeuzwa chini juu kama chapati ya mama nitilie
Ktk hili kwa kweli Gen Z wamepigwa chenga kali sana na Ruto, maana karibia mawaziri wote wa swali wamerejea
 
Sidhani kama hiyo ni indicator kuwa Watanzania hawana consciousness ya yale yanayoendelea duniani.

Watu wengi wanaponda kuona kwenye mabasi, vijiwe vya kahawa, vituo vya teksi, sokoni watu wanajadili Simba na Yanga.

Watu wengi kwenye mitandao hasa Twitter na JF wanajadili sana siasa, tena siasa ngumu. Kama uko nje ya nchi au kama hujawahi kufika Tanzania ila unapita kwenye Twitter na JF unaweza kudhani Tanzania hakuna amani kabisa.

Kuna watu walitamani na Tanzania vijana wetu wa 2000 waige maandamano ya Kenya. Lakini waukize baada ya maandamano hayo ya mawiki zaidi ya 6 wamepata nini? Baraza limegeuzwa chini juu kama chapati ya mama nitilie na finance bill itafidiwa kinamna anavyojua Rutto

Kitendo cha watu wa mtaani kuemdelea maisha yao siyo cha KUIGIZA basi ni dalili kwamba nchi yetu ni kisiwa cha amani licja ya matukio machache ya utekaji, mauaji na wizi.

NAIPENDA TANZANIA
Wameandama na kufa wengine keki wamemegewa kina ruto na odinga
 
Sidhani kama hiyo ni indicator kuwa Watanzania hawana consciousness ya yale yanayoendelea duniani.

Watu wengi wanaponda kuona kwenye mabasi, vijiwe vya kahawa, vituo vya teksi, sokoni watu wanajadili Simba na Yanga.

Watu wengi kwenye mitandao hasa Twitter na JF wanajadili sana siasa, tena siasa ngumu. Kama uko nje ya nchi au kama hujawahi kufika Tanzania ila unapita kwenye Twitter na JF unaweza kudhani Tanzania hakuna amani kabisa.

Kuna watu walitamani na Tanzania vijana wetu wa 2000 waige maandamano ya Kenya. Lakini waukize baada ya maandamano hayo ya mawiki zaidi ya 6 wamepata nini? Baraza limegeuzwa chini juu kama chapati ya mama nitilie na finance bill itafidiwa kinamna anavyojua Rutto

Kitendo cha watu wa mtaani kuemdelea maisha yao siyo cha KUIGIZA basi ni dalili kwamba nchi yetu ni kisiwa cha amani licja ya matukio machache ya utekaji, mauaji na wizi.

NAIPENDA TANZANIA
Kwani mtoto anapolia anapata nini? Ila kilio cha mtoto humtikisa mama yake, na mtoto akinyamaza kabisa kutwa nzima mama huingiwa na wasiwasi na kuanza kumchunguza mwanae, umehoji hao GenZ wa Kenya wamepata nini wakati huohuo umeeleza Ruto alichokifanya, hicho alichokifanya kimetokana na walivyoandamana, tunawajibika kuzikubali jitihada zao kwani bajeti ijayo serikali itakuwa makini zaidi, tofauti na sisi tunaanzisha sherehe ya kitaifa Kizimkazi bila bunge kuitengea bajeti, hii inamaana bajeti yetu haina uhalisia.
 
Sidhani kama hiyo ni indicator kuwa Watanzania hawana consciousness ya yale yanayoendelea duniani.

Watu wengi wanaponda kuona kwenye mabasi, vijiwe vya kahawa, vituo vya teksi, sokoni watu wanajadili Simba na Yanga.

Watu wengi kwenye mitandao hasa Twitter na JF wanajadili sana siasa, tena siasa ngumu. Kama uko nje ya nchi au kama hujawahi kufika Tanzania ila unapita kwenye Twitter na JF unaweza kudhani Tanzania hakuna amani kabisa.

Kuna watu walitamani na Tanzania vijana wetu wa 2000 waige maandamano ya Kenya. Lakini waukize baada ya maandamano hayo ya mawiki zaidi ya 6 wamepata nini? Baraza limegeuzwa chini juu kama chapati ya mama nitilie na finance bill itafidiwa kinamna anavyojua Rutto

Kitendo cha watu wa mtaani kuemdelea maisha yao siyo cha KUIGIZA basi ni dalili kwamba nchi yetu ni kisiwa cha amani licja ya matukio machache ya utekaji, mauaji na wizi.

NAIPENDA TANZANIA
Toka hapa.
20240526_155227.jpg
 
Hata maumau kuna watu waliuawa na kufungwa, ilifika wakati mwingereza akaona athari ni kubwa kuliko faida, akaondoka mwenyewe.
Sawa lakini kufa kwaajili ya mwanasiasa hapana bora niuwawe Msumbiji katika harakati za kutafuta ruby na dhahabu
 
Miaka ya nyuma asubuhi ilikuwa uchambuzi wa siasa, usiku saa mbili kasoro michezo, dakika 15-30, sasa hivi asubuhi, mchana,jioni, usiku ni michezo.

Generation ya wachambuzi wa siasa ime-phase out, imeondoka na akina Jenerali Twaha.

I bet kwa sasa wachambuzi bora wa michezo ndio wanaolipwa vizuri kuliko wa siasa
 
Miaka ya nyuma asubuhi ilikuwa uchambuzi wa siasa, usiku saa mbili kasoro michezo, dakika 15-30, sasa hivi asubuhi, mchana,jioni, usiku ni michezo.

Generation ya wachambuzi wa siasa ime-phase out, imeondoka na akina Jenerali Twaha.

I bet kwa sasa wachambuzi bora wa michezo ndio wanaolipwa vizuri kuliko wa siasa
Shida si wachambuzi, shida ni pale wewe kutwa nzima unasikiliza Simba Yanga mwezi mzima! Mchambuzi analipwa ila wewe msikilizaji wa kutwa nzima unafaidika nini tukichukua kila mchambuzi ana maoni yake tofauti na mwingine.
 
Miaka ya nyuma asubuhi ilikuwa uchambuzi wa siasa, usiku saa mbili kasoro michezo, dakika 15-30, sasa hivi asubuhi, mchana,jioni, usiku ni michezo.

Generation ya wachambuzi wa siasa ime-phase out, imeondoka na akina Jenerali Twaha.

I bet kwa sasa wachambuzi bora wa michezo ndio wanaolipwa vizuri kuliko wa siasa
Siasa ukichambua wewe inatosha hamna mtu uliekuja nae duniani Wala unaemlisha fanya mambo Yako mwisho wa siku utazikwa kivyako na siasa zako
 
Back
Top Bottom