Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Endelea kukaa Kwa shemeji Yako ukisubiri akuoeKipindi kile umenipa tenda ya kusafisha mtaro wako, nilifanya vizuri saana, ulikuwa umeziba sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kukaa Kwa shemeji Yako ukisubiri akuoeKipindi kile umenipa tenda ya kusafisha mtaro wako, nilifanya vizuri saana, ulikuwa umeziba sana
Weee unashaur nn sasa maana maelezo meng haina hata maana kumbuka wanasiasa pia wao wapo kaz kama ww unafofanya kaz yako kila sku wanakuwa wabunfu ili waendele kula na kuishWajanja wa nchi hii wametuletea kilevi hatari kwa taifa letu, kiasi kimekolezwa na kesi za akina Magoma zinazoipotezea muda mahakama zetu.
Wakati bodi ya vilevi hairuhusu baa kuuza pombe saa za kazi lakini bodi hii TCRA inaruhusu walevi wake wanshinde kutwa nzima eti wasikilize uchambuzi na kesi za mpira wa Simba na Yanga ambako kuna wapiga kura pendwa wengi, kunogesha kilevi hiki kimeongezewa na mamilioni ya ya shilingi za goli! Leo hii uswahilini watu wamekuwa mateja wa Simba na Yanga, panapouzwa magazeti ni ubishi wa kilevi hiki kipya.
Tanzania viongozi wetu hufurahia umasikini na ujinga wetu kwani ndio unaowapa kura ili washike madaraka kupitia kutudanganya na visima vya maji yasiyo salama karne hii! Kwa pombe hii Tanzania itabaki kuwa mtazamaji huku wenzetu wanachanja mbuga, lete pombe nyingine.
Andika vizuri, kiswahili chako cha mateja mimi kimenishinda kukielewa.Weee unashaur nn sasa maana maelezo meng haina hata maana kumbuka wanasiasa pia wao wapo kaz kama ww unafofanya kaz yako kila sku wanakuwa wabunfu ili waendele kula na kuish
Nikufahamishe tu, nyuma ya kila Uhuru wa nchi kuna watu waliuawa, vimbwakoko vinavyofyata mkia ni vya kuviua kwani vinakula tu havina faida kwa jamii.Sawa haina shida na ndiyo maana ya demokrasia na uhuru wa maoni. Ila kumbuka pengine ungekuwa Gen Z wa Kenya ungekuwa ndiyo mmoja wa wale zaidi ya 70 waliokufa
Miaka ya nyuma asubuhi ilikuwa uchambuzi wa siasa, usiku saa mbili kasoro michezo, dakika 15-30, sasa hivi asubuhi, mchana,jioni, usiku ni michezo.
Generation ya wachambuzi wa siasa ime-phase out, imeondoka na akina Jenerali Twaha.
I bet kwa sasa wachambuzi bora wa michezo ndio wanaolipwa vizuri kuliko wa siasa
wakati mataifa yaliyoendelea wanafikiri namna ya kuboresha viwanda na kufanya maendeleo ya kisayansi sisi viongozi wanawaza kukopa chanjo za covid ambazo imethibitika hazikuwa na msaada wowote na pesa za uvico wakajengea madarasa na vyoo. Na mzigo wa kulipa hayo madeni ni juu ya wananchi. Hapo unaona kuna viongozi wa kutuletea madndeleo kweli? kama tunakopa kujenga madarasa na vyoo?mWajanja wa nchi hii wametuletea kilevi hatari kwa taifa letu, kiasi kimekolezwa na kesi za akina Magoma zinazoipotezea muda mahakama zetu.
Wakati bodi ya vilevi hairuhusu baa kuuza pombe saa za kazi lakini bodi hii TCRA inaruhusu walevi wake wanshinde kutwa nzima eti wasikilize uchambuzi na kesi za mpira wa Simba na Yanga ambako kuna wapiga kura pendwa wengi, kunogesha kilevi hiki kimeongezewa na mamilioni ya ya shilingi za goli! Leo hii uswahilini watu wamekuwa mateja wa Simba na Yanga, panapouzwa magazeti ni ubishi wa kilevi hiki kipya.
Tanzania viongozi wetu hufurahia umasikini na ujinga wetu kwani ndio unaowapa kura ili washike madaraka kupitia kutudanganya na visima vya maji yasiyo salama karne hii! Kwa pombe hii Tanzania itabaki kuwa mtazamaji huku wenzetu wanachanja mbuga, lete pombe nyingine.
Wao na familia zao wameendelea, wanachowazia kila baada ya uchaguzi ni kura za urais.wakati mataifa yaliyoendelea wanafikiri namna ya kuboresha viwanda na kufanya maendeleo ya kisayansi sisi viongozi wanawaza kukopa chanjo za covid ambazo imethibitika hazikuwa na msaada wowote na pesa za uvico wakajengea madarasa na vyoo. Na mzigo wa kulipa hayo madeni ni juu ya wananchi. Hapo unaona kuna viongozi wa kutuletea madndeleo kweli? kama tunakopa kujenga madarasa na vyoo?m
so sad kwa kweli sijui lini tutapata mkomboziWao na familia zao wameendelea, wanachowazia kila baada ya uchaguzi ni kura za urais.
Waweza kuwa pia na wewe ni kimbwakokoNikufahamishe tu, nyuma ya kila Uhuru wa nchi kuna watu waliuawa, vimbwakoko vinavyofyata mkia ni vya kuviua kwani vinakula tu havina faida kwa jamii.
Ningekuwa mbwakoko nisingeandika hii Post ya kutaka niuawe.Waweza kuwa pia na wewe ni kimbwakoko
Kwa taarifa yako Israeli na Palestina hakuna makafir, vinginevyo ungesikia vita vya kidini. Israeli na Palestina ndio wanaozijua vizuri dini sisi na waarabu tumedandia tu.huu mjadala wa simba na utopolo hauwezi kuisha.
Mpaka uishe mjadala wa makafiri na wapalestina.
Unamjua mtume wa mwisho katokea wapi?Kwa taarifa yako Israeli na Palestina hakuna makafir, vinginevyo ungesikia vita vya kidini. Israeli na Palestina ndio wanaozijua vizuri dini sisi na waarabu tumedandia tu.
Toa mbadala ni upi???Wajanja wa nchi hii wametuletea kilevi hatari kwa taifa letu, kiasi kimekolezwa na kesi za akina Magoma zinazoipotezea muda mahakama zetu.
Wakati bodi ya vilevi hairuhusu baa kuuza pombe saa za kazi lakini bodi hii TCRA inaruhusu walevi wake wanshinde kutwa nzima eti wasikilize uchambuzi na kesi za mpira wa Simba na Yanga ambako kuna wapiga kura pendwa wengi, kunogesha kilevi hiki kimeongezewa na mamilioni ya ya shilingi za goli! Leo hii uswahilini watu wamekuwa mateja wa Simba na Yanga, panapouzwa magazeti ni ubishi wa kilevi hiki kipya.
Tanzania viongozi wetu hufurahia umasikini na ujinga wetu kwani ndio unaowapa kura ili washike madaraka kupitia kutudanganya na visima vya maji yasiyo salama karne hii! Kwa pombe hii Tanzania itabaki kuwa mtazamaji huku wenzetu wanachanja mbuga, lete pombe nyingine.