Nataka tuchambue wengi, na wewe ukiwemo, mimi naweza kukulisha kwa maisha yako yoteSiasa ukichambua wewe inatosha hamna mtu uliekuja nae duniani Wala unaemlisha fanya mambo Yako mwisho wa siku utazikwa kivyako na siasa zako
Siwezi kuchambua siasa sababu ninapesa zangu na biashara zangu mda kukaa kuchambua siasa Sina labda mda wa kustarehe ikiwemo kuangalia mpira nichambue siasa kwani Mimi Nataka uongozi halafu ulivyokua masikini unapata mda wa kuchambua siasa wewee kweli huna akili mzee Kaa hapo wapigie debe kina mbowe na lissu halafu wakiingia madarakani waanzae kula Kwa urefu wa kamba zao halafu uanze kupigia debe wengine ambao hawapo madarakani huku miaka inaenda unakufa na umasikini wako tanzania hiiNataka tuchambue wengi, na wewe ukiwemo, mimi naweza kukulisha kwa maisha yako yote
Ni wapi kuna amani kutuzidi? Weka na ushahidi!!Acha uongo Tanzania hamna amani tanzania Kuna waoga ambao ni raia wa tanzania Amani haiwezi kuwepo kwenye njaa
Hakuna walichopata Gen Z wa Kenya zaidi ya kufa watu zaidi 70, kujeruhiwa zadi ya 400 na uharibifu mali. Huku wengine wakiwa na mashtaka ya lootingKwani mtoto anapolia anapata nini? Ila kilio cha mtoto humtikisa mama yake, na mtoto akinyamaza kabisa kutwa nzima mama huingiwa na wasiwasi na kuanza kumchunguza mwanae, umehoji hao GenZ wa Kenya wamepata nini wakati huohuo umeeleza Ruto alichokifanya, hicho alichokifanya kimetokana na walivyoandamana, tunawajibika kuzikubali jitihada zao kwani bajeti ijayo serikali itakuwa makini zaidi, tofauti na sisi tunaanzisha sherehe ya kitaifa Kizimkazi bila bunge kuitengea bajeti, hii inamaana bajeti yetu haina uhalisia.
Njoo na point kama ubongo wako una akili. Kikaragosi ulichoweka ni ishara ya kuwa wewe ni tabula rasaToka hapa. View attachment 3078563
Wewe acha siasa zako unaijua amani kwanza unaweza ukawa unalopoka hata maana ya amani huijuiNi wapi kuna amani kutuzidi? Weka na ushahidi!!
Mimi kigezo changu cha amani ni kwamba nchi yetu haijawahi kuzalisha wakimbizi wa kwenda kuishi nchi jirani kwa maelfu. Bali nchi yetu imekuwa ndiyo mhifadhi wa wakimbizi kutoka Burundi, Rwanda, Uganda na DRC.
Vilevile tumekuwa wasuluhishi wa nchi kama Kenya wakati waliuana kufuatia uchaguzi wa 2007.
Sasa unaongelea uwoga, kwani uwoga ni dhambi?. Kunguru ni mwoga na kwa uwoga wake anaishi miaka zaidi 20 wakati kuku wa kienyeji huishi miaka 5. Kupanga ni kuchagua, chagua uwe kunguru uishi miaka 20 au uwe kuku uishi miaka 5
😂😂😂😁😆 sina mbavu👐Watu wengi kwenye mitandao hasa Twitter na JF wanajadili sana siasa, tena siasa ngumu. Kama uko nje ya nchi au kama hujawahi kufika Tanzania ila unapita kwenye Twitter na JF unaweza kudhani Tanzania hakuna amani kabisa.
Naona unamtazamo hasi, wale walipoa baada ya kuona mafanikio, mtazamo wao ni tofauti na mitazamo ya watanzania ambao siku zote wanataka papo hapo na si kesho. Inawezekana wewe unaakili nyingi kuliko wakenya kwa sababu ni mtanzania ila mimi siwezi kuamini hivyo.Hakuna walichopata Gen Z wa Kenya zaidi ya kufa watu zaidi 70, kujeruhiwa zadi ya 400 na uharibifu mali. Huku wengine wakiwa na mashtaka ya looting
Uliambiwa UDSM ni sekondari iliyoboreshwa.Vijana ndo wamekuwa wa Hovyo kabisa.
Redio zinachambua mpira asubuhi, umbea mchana, jikni mpira tena, usiku zjnaongelea ngono.
Vijana wapo busy na simba na yanga na ligi za Ulaya.
Itsas if vinaja hawana content vichwani, hawajitambui na hawajui walipo na waendako.
Vijana wa vyuo vikuu ndo huwezi kuwatofautisha na vijana wa form one. Wapo busy wamalize vyuo huku hawajui watafanya nini wakimaliza.
Hovyohovyo tu.
Kutembeza makava ya simu kwenye mabaa nayo unaita biashara, huo ni uzurajiSiwezi kuchambua siasa sababu ninapesa zangu na biashara zangu mda kukaa kuchambua siasa Sina labda mda wa kustarehe ikiwemo kuangalia mpira nichambue siasa kwani Mimi Nataka uongozi halafu ulivyokua masikini unapata mda wa kuchambua siasa wewee kweli huna akili mzee Kaa hapo wapigie debe kina mbowe na lissu halafu wakiingia madarakani waanzae kula Kwa urefu wa kamba zao halafu uanze kupigia debe wengine ambao hawapo madarakani huku miaka inaenda unakufa na umasikini wako tanzania hii
Endelea kukaa Kwa shemeji Yako ulitarajia utaletewa pesa hapo yaani shemeji Yako atakufukuza au akuoe na wewe halafu utaishia kufa masikiniKutembeza makava ya simu kwenye mabaa nayo unaita biashara, huo ni uzuraji
Umekalia KIGOGO au umekalia UPANGA?Endelea kukaa Kwa shemeji Yako ulitarajia utaletewa pesa hapo yaani shemeji Yako atakufukuza au akuoe na wewe halafu utaishia kufa masikini
Endelea kukaa Kwa shemeji ukisubiri akuoeUmekalia KIGOGO au umekalia UPANGA?
Sawa haina shida na ndiyo maana ya demokrasia na uhuru wa maoni. Ila kumbuka pengine ungekuwa Gen Z wa Kenya ungekuwa ndiyo mmoja wa wale zaidi ya 70 waliokufaNaona unamtazamo hasi, wale walipoa baada ya kuona mafanikio, mtazamo wao ni tofauti na mitazamo ya watanzania ambao siku zote wanataka papo hapo na si kesho. Inawezekana wewe unaakili nyingi kuliko wakenya kwa sababu ni mtanzania ila mimi siwezi kuamini hivyo.
[emoji7][emoji7]Sidhani kama hiyo ni indicator kuwa Watanzania hawana consciousness ya yale yanayoendelea duniani.
Watu wengi wanaponda kuona kwenye mabasi, vijiwe vya kahawa, vituo vya teksi, sokoni watu wanajadili Simba na Yanga.
Watu wengi kwenye mitandao hasa Twitter na JF wanajadili sana siasa, tena siasa ngumu. Kama uko nje ya nchi au kama hujawahi kufika Tanzania ila unapita kwenye Twitter na JF unaweza kudhani Tanzania hakuna amani kabisa.
Kuna watu walitamani na Tanzania vijana wetu wa 2000 waige maandamano ya Kenya. Lakini waukize baada ya maandamano hayo ya mawiki zaidi ya 6 wamepata nini? Baraza limegeuzwa chini juu kama chapati ya mama nitilie na finance bill itafidiwa kinamna anavyojua Rutto
Kitendo cha watu wa mtaani kuemdelea maisha yao siyo cha KUIGIZA basi ni dalili kwamba nchi yetu ni kisiwa cha amani licja ya matukio machache ya utekaji, mauaji na wizi.
NAIPENDA TANZANIA
Kipindi kile umenipa tenda ya kusafisha mtaro wako, nilifanya vizuri saana, ulikuwa umeziba sanaEndelea kukaa Kwa shemeji ukisubiri akuoe