Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Sawa. Endeleeni kufanya biashara ya watoto. Ukweli ni mgumu kuumeza. Kwani hao watoto wana nini cha zaidi Kama sio tu kuwa na wazazi wanaochangamkia fursa.

Hongereni kwa arobaini ya mtoto.
Try na wewe uone kama utapata hizo biashara unazosemea kuwa wanawatumia kuwauza...
Hawapati sponsors kwakuwa watoto ni wazuri bali kwa kuwa baba yao ana jina kubwa.
kuna watu wana watoto wazuri saaana lakini hata u sponsor wa kwa mangi hawawezi kupata.
 
Sina mpango wa kuuza mtoto au kutumia mtoto wangu kibiashara.
 
Shehe mchumia tumbo huyo,watoto wa Zinaa hao.

Kwanza Diamond si muislam mwenzetu
Wewe jamaa unajifanya mwislamu sana ee.
Hujawahi kuzini nje ya ndoa?
Usihukumu.
Eti mwislam mwenzetu. Ina maana wewe na sheikhe nani kaisoma vizur quran anaielewa?
Shehe kaisoma wewe umehadiwa na kwenye mihadhara nani anaijua vizuri.
Afu watu msioijua dini mna mihemko sana mnaweza kuuaaaa!
 
hivi naomba kuuliza dunia ni kubwa au pesa ni kubwa kuliko dunia.kwa dini ya kiislamu mtoto bila ndoa ni halamu na shk.anapiga dua na mapambio.kweli tutafute pesa kukabili dini
Inna lillah wainna illayhi rajiuun!! Shee kapiga Mpunga wake saizi mwepesiiiii
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] good umenchekeshaaq
umeona wolper alivyolewa?
 
nimeona Ila sielewei anaongea nn...kumbe ana sauti km yangu ya zegeee....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
aah sio kwa sauti ile aiseeh, naona full kujipendekeza kwa zari, looh sijui alikua anampa michambo nani, hv alikua na nani south wiki sita?
 
aah sio kwa sauti ile aiseeh, naona full kujipendekeza kwa zari, looh sijui alikua anampa michambo nani, hv alikua na nani south wiki sita?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mashauzi tuuu!!
pombe siyo chai
 
Sina mpango wa kuuza mtoto au kutumia mtoto wangu kibiashara.
Hakuna aliyeuza mtoto sema jina la baba yake ndiyo linamletea maslahi na haiwezi kuwa kwa kila mtu otherwise hata mtoto wa aunt ezekiel angepata ma sponsors hat mtoto wa h.baba angepata sponsors.
sema ndiyo hivyo wengine wanaisha kugombea insta photogenic.
 
Hivyo watoto wazuri ni wa bongo celebrities tu? Na pia unaweza ukawa star and yet ukawalinda watoto wako. Wao waendelee na hiyo biashara yao. Acha sisi wengine tuendelee kuprotect watoto wetu. Asije lia lia hapa.

Mtoto anakua kazungukwa na watu kibao na wengi wao wana tabia za ajabu, eti celebrity. Haya.
 
Umesahau kitu muhimu saaana
........ anaweza pia leo akatimiza siku 40.. kesho tu kabla ya kusign iyo mikataba.... akarudisha number kwa MUNGU ..
yoote yanawezekana.... usijisahau saaana...
Unaelekeza njia ya usipopajua.
Dunia mapito.
Kasome growth ndo uje na dua zako
 
kazungukwaje na watu wabaya... zaidi ya hiyo 40 mfano tiffa ushawahi kumuona wapi tena kazungukwa na watu wa ajabu zaidi ya mama yake baba yake na wana familia.
Na sijaona ubaya wa mtoto kuingia mkataba na kampuni flani mfani tiffa na NMB ni kitu gani cha ajabu NMB walichokifanya zaid ya lile tangazo na msasani mall zaidi ya mtoto kuwa anavaa nguo kutoka duka lao.
Je wanaotoa watoto wao wakatumike kuigizia movie nao utasemaje?
 
aah sio kwa sauti ile aiseeh, naona full kujipendekeza kwa zari, looh sijui alikua anampa michambo nani, hv alikua na nani south wiki sita?
Hivi na harmonize ndio kimoja?
 
Huko kwenu si mnasema hamuheshimu majina ya watu, sasa hapo wa kumtambua nani?
 
Naona wewe ni insider. Nakushauri unisaidie kumwambia Zari concern yangu mimi kama mzazi. Sisi huku mitaani hatu trust hata baba wadogo na wajomba. Dangers ni nyingi hasa pale mtoto anapojenga mazoea na watu wengi. Na wasanii tunawajua, maadili almost zero.

Mfano mzuri ni Lulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…