Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Ilikuwa Tanzania au Iran? sherehe ziliko fanyikia?
 
Naona wewe ni insider. Nakushauri unisaidie kumwambia Zari concern yangu mimi kama mzazi. Sisi huku mitaani hatu trust hata baba wadogo na wajomba. Dangers ni nyingi hasa pale mtoto anapojenga mazoea na watu wengi. Na wasanii tunawajua, maadili almost zero.

Mfano mzuri ni Lulu.
Kumbe ndiyo hilo... ndugu jamaa na majirani zako wa karibu ushawahi kuwashauri wasi trust watoto wao kuwa karibu na wajomba, baba wadogo?
 
Shost nilichoka nilivyomuona ndo anaingia clouds! Mwanzo ckujua kama ni yeye, na alivyokuwa anajichetua na hiyo singeli ndo kabisa alizidi kuharibuu...

Mi nakwambia kama kuna kipindi anakilaani ni hizi ishu za arobaini manake kadamnasi ndo wanajionea uhalisia!

Mi mlimani city nilishanga eti...labda mguu lakini kwingine hapana asee!

Zari anapenda sana kuedit ili kuficha mambo, mtu anaedit hadi kikombe cha chai khaaa!!
Uongo uliopitiliza na wivu Wa kike nimemuona zaidi ya mara nne huyu dada ni mrembo hata bila makeup uo wivu zari ni mzuri sanaaa sio kama mikorogo yenu ile ya kijiko mia wengi hutumia ungesema mfupi ningekuelewa lakini eti uzee acheni unafiki ni wivu unawasumbua anarangi ya mtume imetulia mwili mzima poleni kwa wivu barua lako refu shudu tupu.
 
Uongo uliopitiliza na wivu Wa kike nimemuona zaidi ya mara nne huyu dada ni mrembo hata bila makeup uo wivu zari ni mzuri sanaaa sio kama mikorogo yenu ile ya kijiko mia wengi hutumia ungesema mfupi ningekuelewa lakini eti uzee acheni unafiki ni wivu unawasumbua anarangi ya mtume imetulia mwili mzima poleni kwa wivu barua lako refu shudu tupu.
Sorry Chief umesahau kuwa watanzania tunaongoza kwa unafiki Duniani?
 
Kumbe ndiyo hilo... ndugu jamaa na majirani zako wa karibu ushawahi kuwashauri wasi trust watoto wao kuwa karibu na wajomba, baba wadogo?
Sana tu.

Tuko pamoja mkuu. Inawezekana wewe ni mwanaume, mimi ni mama na na appeal kwa mama mwenzangu. Mpe ujumbe tafadhali.
 
Hater wa mwendokasi[emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]

Ukweli zari kaonekana uhalisia wake! Nadhani hiki kipindi cha ma ishu ya kukutana na kadamnasi huwaga ni kipindi kibaya sana kwake! Visimu mshenzi havina editing vinamtoa kama alivyo...

Tuliomuona Mlimani City tulijionea maajabu!
Maajabu gani mkuu ebu tutonye na sisi
 
Sana tu.

Tuko pamoja mkuu. Inawezekana wewe ni mwanaume, mimi ni mama na na appeal kwa mama mwenzangu. Mpe ujumbe tafadhali.
Hata baba wa mtoto kwa style yako usi mtrust mkuu.
Mkuu siku hizi hujasikia baba kambaka mwanaye?
 
Mbona simuoni Kikwete kwenye picha au alikosa mwaliko?
 
Safi sana zari abiria chunga mzigo wako
Hii ni kawaida hata huki mtaani kwetu hua tunafanya ivo ikiwa kuna shuhuri yoyote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ni kawaida sio kwa zari tu hata mm nyumbani kwangu kukiwa na sherehe lazima nitembee na funguo au nimpe mtu mmoja ninayemuamini

sio kuogopa ndugu tu hata wageni waalikwa maana penye wengi pana mengii...!!!
Anajua kina Esma hawakawii kuiba almasi zake chumbani
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ni kawaida sio kwa zari tu hata mm nyumbani kwangu kukiwa na sherehe lazima nitembee na funguo au nimpe mtu mmoja ninayemuamini

sio kuogopa ndugu tu hata wageni waalikwa maana penye wengi pana mengii...!!!

Kabisa, hayo mambo mbona ni kawaida kwa wengi wetu
 
Kuna watu wengine huwa wezi balaa.na wala huwafikirii.kwenye shuhuli majumbani ni kawaida kufungia vitu vyako na kukaa na funguo zako.sio Mara mmh mtu kaenda kurekodi kitu na ku post insta
 
Back
Top Bottom