Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tu, ili mradi ujumbe umefika maana nimeupitia nimeona sawa tu. Sasa katika matatu niliyozungumza lipi lililo kugusa? Kuwalinda watoto wetu ni kazi kubwa sana tulizonazo wamama miaka hii. Usi wa over expose watoto. Mtoto ana account ya Instagram day to day activities zinarushwa. Ili iweje? Mwache mtoto awe mtoto. Majukumu ya kulisha familia ni yenu wazazi si ya mtoto.Ulivoviandika ata ww ukiamua urudie kuvisoma sizan kama utaelewa maana furu makande
zari kaona bora akae nazo haamini mtu,dah kweli zari kiboko ya chafuu, maana hawachelewi kugeuza guest walale na domo, kawakomesha, na wolper alivyolewa vile mmh angemsaulia domo angejipigia fasta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] alikua nayo dogo aiseehh!Hahahaha Mwl mbona siku ile sikukuona umebeba funguo au uliweka kwenye pochi? hahaha
watu wanaiba hadi hizo camera😀Si kuna Cctv Camera?
Hivi wolper ile sauti ni yakee??mwanamke analewa yule halaf mbona sio mweupe kama au ndio kuchukuliwa video na simu za tecno hiv alietengeneza simu za tecno si ana pesa huyu wolper anaweza hata kumtawazazari kaona bora akae nazo haamini mtu,dah kweli zari kiboko ya chafuu, maana hawachelewi kugeuza guest walale na domo, kawakomesha, na wolper alivyolewa vile mmh angemsaulia domo angejipigia fasta
Bongo kweli nyossowatu wanaiba hadi hizo camera😀
halafu itakua kafanya makusudi,ina maana hkuwa na sehemu ya kuweka au ndo tutajuaje kuwa mama mwenye nyumba kajasio kulala naye naseeb watu
hilo sio ishu
ishu ni usalama vitu muhimu na vya msingi vya familia utakua mwanamke mjinga una shughuli halafu halafu unaacha mlango wazi!
[emoji23] [emoji23] zile za chumbani kwakehalafu itakua kafanya makusudi,ina maana hkuwa na sehemu ya kuweka au ndo tutajuaje kuwa mama mwenye nyumba kaja
watu wanaiba hadi hizo camera😀
Nakwambia mmh sio kwa weusi ule yani kaonekana mbovuu kama bekifgfHivi wolper ile sauti ni yakee??mwanamke analewa yule halaf mbona sio mweupe kama au ndio kuchukuliwa video na simu za tecno hiv alietengeneza simu za tecno si ana pesa huyu wolper anaweza hata kumtawaza
Hilo jina umembatiza wewe na sio mzazi wakeKumbe Wema jina jingne anaitwa nyumbu???
Mbona kwenye ile comment altaja majina mawili nyumbu na calisah lkn ww unajibu kwa kumtaja wema ndo maana na mm nikawa curious kujua labda ndo jina jipya la madam wetuHilo jina umembatiza wewe na sio mzazi wake
Ndo mana nikataja wema hamna binadamu anayefanana na nyumbu au mnyama yoyote.Mbona kwenye ile comment altaja majina mawili nyumbu na calisah lkn ww unajibu kwa kumtaja wema ndo maana na mm nikawa curious kujua labda ndo jina jipya la madam wetu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]huwa hamkosekani!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]huwa hamkosekani!
Ohoooo!!!Anajua kina Esma hawakawii kuiba almasi zake chumbani