Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Hata baba wa mtoto kwa style yako usi mtrust mkuu.
Mkuu siku hizi hujasikia baba kambaka mwanaye?
Katika hali ya kuonyesha kuwa hana imani na wageni waalikwa walioudhuria party ya mwanae, mjasiriamali zari ameamua kubeba kabisa funguo za nyumba yake mkononi jambo lililozua minongono kwa baadhi ya waalikwa, zari hataki upuuzi kabisa anaogopa kuibiwa dhahabu zake, bora mwaego ufiche kabisa hata ungeweka kwenye pichu kabisa kwanza wabongo washirikinahawachelewi kufanya yao,sema umejitahidi kujikaza naona party walijaa watu wa tandale tu, bibie ukaamua kujikaza kujumuika na
4022c53d9f4ae43e7df7b1920a867fd2.jpg
 
Walishafanya watoto ni vitega uchumi, kwa jinsi hii Zari ataendelea kuzaa mpaka wapige dangote mwenyewe kwa utajiri. Hivyo unafikiri sisi hatuna vitoto vizuri? Tunao, ni kwamba tumeamua kuwa protect. Those money hungry will pay for their actions siku za mbeleni.

Otherwise walipendeza sana na mapambo yalikuwa mazuri, sema shughuli ilikuwa ya kiswahili swahili. Nadhani sponsors waliwabania [HASHTAG]#urbanhunger[/HASHTAG]. Kila mtu kafulia kwa kiwango chake. Oh well!

Hivyo na wao wataitwa central? Na yule meneja anayesemekana ana utajiri kuliko msanii mwenyewe atasalimika? Au ndio [HASHTAG]#noevidence[/HASHTAG]
Ulivoviandika ata ww ukiamua urudie kuvisoma sizan kama utaelewa maana furu makande
 
Katika hali ya kuonyesha kuwa hana imani na wageni waalikwa walioudhuria party ya mwanae, mjasiriamali zari ameamua kubeba kabisa funguo za nyumba yake mkononi jambo lililozua minongono kwa baadhi ya waalikwa, zari hataki upuuzi kabisa anaogopa kuibiwa dhahabu zake, bora mwaego ufiche kabisa hata ungeweka kwenye pichu kabisa kwanza wabongo washirikinahawachelewi kufanya yao,sema umejitahidi kujikaza naona party walijaa watu wa tandale tu, bibie ukaamua kujikaza kujumuika na
4022c53d9f4ae43e7df7b1920a867fd2.jpg
Penye wengi kuna mengi dada haujaona video ya sistaduu kakamatwa kaficha nguo kwenye chupi alizoiba dukani?
Na lile vurugu lililokuwepo hakawii kulia baada ya kugundua kuna mambo yameharibika kisa hakufunga nyumba
 
Kapata maelekezo kutoka kwa baba watoto wake "zari unajua mimi.wa mtogole na watu wangu wa myogole nawajua mambo yao "wageni ni ukumbini na msalani tu vyimba vingine vyote lock sawa?"
Nakumbuka siku ya sherehe ya harusi home keshonyake kulikuwa na malalamiko ya vity kuibiwa na mpaka wale wageni kulala waliibiwa!chezea akina mbonde wewe?
 
Uongo uliopitiliza na wivu Wa kike nimemuona zaidi ya mara nne huyu dada ni mrembo hata bila makeup uo wivu zari ni mzuri sanaaa sio kama mikorogo yenu ile ya kijiko mia wengi hutumia ungesema mfupi ningekuelewa lakini eti uzee acheni unafiki ni wivu unawasumbua anarangi ya mtume imetulia mwili mzima poleni kwa wivu barua lako refu shudu tupu.
kumbe mnaijua rangi ya mtume sasa mbna wale wafaransa wAliomchora mtume mlikuw Mnawatukana?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ni kawaida sio kwa zari tu hata mm nyumbani kwangu kukiwa na sherehe lazima nitembee na funguo au nimpe mtu mmoja ninayemuamini

sio kuogopa ndugu tu hata wageni waalikwa maana penye wengi pana mengii...!!!
Hahahaha Mwl mbona siku ile sikukuona umebeba funguo au uliweka kwenye pochi? hahaha
 
ana akili sana ameogopa waalikwa wasije itumia fursa ya sherehe kufanya yao
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ni kawaida sio kwa zari tu hata mm nyumbani kwangu kukiwa na sherehe lazima nitembee na funguo au nimpe mtu mmoja ninayemuamini

sio kuogopa ndugu tu hata wageni waalikwa maana penye wengi pana mengii...!!!
zari kaona bora akae nazo haamini mtu,dah kweli zari kiboko ya chafuu, maana hawachelewi kugeuza guest walale na domo, kawakomesha, na wolper alivyolewa vile mmh angemsaulia domo angejipigia fasta
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ni kawaida sio kwa zari tu hata mm nyumbani kwangu kukiwa na sherehe lazima nitembee na funguo au nimpe mtu mmoja ninayemuamini

sio kuogopa ndugu tu hata wageni waalikwa maana penye wengi pana mengii...!!!
zari kaona bora akae nazo haamini mtu,dah kweli zari kiboko ya chafuu, maana hawachelewi kugeuza guest walale na domo, kawakomesha, na wolper alivyolewa vile mmh angemsaulia domo angejipigia fasta
 
Back
Top Bottom