Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Haya maisha bana huyo mtoto leo anatimiza siku 40 ila kesho anaweza kusign mikataba mbalimbali na account yake ikawa na hela kuliko hata asilimia 80 ya member tulioko JF, yani mtoto anapata pesa kabla hata ya kujua pesa ni nini na matumizi yake ni nini. Hapo wajinga na wapumbavu tunamdharau Diamond wakati tuna watoto hadi wanamaliza vyuo vikuu hawana hata senti tano kwenye account, hawawezi kuishi bila kuajiliwa, kuna wakati tuwe tunawapa watu haki zao sio kukaa kumponda tu.
umeandika point sana ndugu, jamaa ndo mfano wa kuigwa kama tukiacha kuendekeza majungu
 
9dc9600272ba0bcd8f3e05b5e0653eed.jpg
fbca0b882caa377de5ff510fe58ec7ee.jpg
353e6c7634fcb065fb9df79ae410e42d.jpg
6bdfefc9c3f7c8c61113fea1d3175081.jpg
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/451daa6bb90309fda40ffa1dba21c5a4.jpg[/IMG
[IMG]http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/24fa9df9c8794d56b271fcb92abf889a.jpg

Thanks Naseeb Abdul for invite
Usicheze mbali soon

Tutaweka picha prince nillan uwewakanza kumuona
Watu kwa kunyapia nyapia tu, hamjambo
 
Haya maisha bana huyo mtoto leo anatimiza siku 40 ila kesho anaweza kusign mikataba mbalimbali na account yake ikawa na hela kuliko hata asilimia 80 ya member tulioko JF, yani mtoto anapata pesa kabla hata ya kujua pesa ni nini na matumizi yake ni nini. Hapo wajinga na wapumbavu tunamdharau Diamond wakati tuna watoto hadi wanamaliza vyuo vikuu hawana hata senti tano kwenye account, hawawezi kuishi bila kuajiliwa, kuna wakati tuwe tunawapa watu haki zao sio kukaa kumponda tu.
Umesahau kitu muhimu saaana
........ anaweza pia leo akatimiza siku 40.. kesho tu kabla ya kusign iyo mikataba.... akarudisha number kwa MUNGU ..
yoote yanawezekana.... usijisahau saaana...
Unaelekeza njia ya usipopajua.
Dunia mapito.
 
Back
Top Bottom