Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Hata kwenye interview alisemelea kwa Domo kuwa eti haongei kiswahili chake ni kibaya so anaogopa watanzania watamcheka!?! Ndo Gea akamtoa wasiwasi kuwa aongee tuu hakuna wa kumcheka!

Ila uongo hapendi tu kuzungumza kiswahili bado ana shobo na Uzungu sana!
Mbona huwa anaongea vzuri kuliko kiswahili cha kikenya, waganda wengi husikia kiswahili ila huwa hawapendi kukiongea.
 
Mezaa sumuu sasa upumbavu wao unakuuma nini ! Pouleeer! It's their life eboo
Haya ndio matatizo ya kuanza mapenzi mapema yaani una miaka 16 umeshaanza kubakwa.
Halafu inaonekana bado una msongo wa mawazo kuhusu mapenzi.
 
Na wafee kabisaaa tenaa hapo wanatumiaa simu za promisheni tigo na vodaa[emoji16][emoji16][emoji16]ikiwaumaa wamezee wembee na wabonyez reli kuthibitishaaa, wajinyonge[emoji3][emoji3]
Hamna kufa wala nini kwani CMU za voda au tigo sio simu kikubwa mawasiliano, kwahyo hili jukwaa mnataka nani asemwe anasemwa makonda had rais sembuse hao. Mfyuuuuuu
 
Haya ndio matatizo ya kuanza mapenzi mapema yaani una miaka 16 umeshaanza kubakwa.
Halafu inaonekana bado una msongo wa mawazo kuhusu mapenzi.
Poule naona wew ndo uliyezaliwaaa kwa kubakwaa cyoo kwa povuu hilooo MTU humjuiii, miaka 16 tu 2 na roboi[emoji1] [emoji1] [emoji28]
 
Hamna kufa wala nini kwani CMU za voda au tigo sio simu kikubwa mawasiliano, kwahyo hili jukwaa mnataka nani asemwe anasemwa makonda had rais sembuse hao. Mfyuuuuuu
Sasa wew amsuke tiffa au asisukwe povuu la nini nakatii nishazidiwa life . na mtoto mweny cku60 dunian[emoji3]
 
Rasta butu huwa zinauma kumsuka mwanangu siwezi mwenyewe MTU mzima huugulia maumivu yake kwa kumeza dicloper week ndo zinatulia.
yaani mi nimewashindwa kwa kweli unaanzaje kumsuka mtoto rasta za mabutu? bora angekuwa hata na miaka mitano!! na wanataka apendeze ili iweje!! awavutie wageni waalikwa au....hii si haki kabisa
 
Sasa ya kujamba yametoka wapi na wewe mshamba hoja hujibiwa kwa hoja na sio mapovu hatuna nguo chafu sie.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] tenaa wa chalinze ila povu kwa MTU next levoo la nini, bora nijambie pembeniii tuuu
 
Du njaa yko wwe unampangia mtu matumizi kila MTU hutumia kutokana na kipato chake kza nawe utapata,angaliaaaaaaaaaaaaaaàa!
 
hivi naomba kuuliza dunia ni kubwa au pesa ni kubwa kuliko dunia.kwa dini ya kiislamu mtoto bila ndoa ni halamu na shk.anapiga dua na mapambio.kweli tutafute pesa kukabili dini
Hapo Ndio nachoka na masheikh ubwabwa, watu wanasherehekea zinaa kwa nguvu kubwa,
 
Back
Top Bottom