Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Sasa wezi kina nani? Le mutuz? Shetta? Jembe ni jembe?
 
zari kaona bora akae nazo haamini mtu,dah kweli zari kiboko ya chafuu, maana hawachelewi kugeuza guest walale na domo, kawakomesha, na wolper alivyolewa vile mmh angemsaulia domo angejipigia fasta
Asee masihara pembeni...liwolper limetia aibu sana...

Kule IG kwa katibu wa Umbea wachangiaji wanasema eti alivyolewa siku hiyo alizima na akajinyea...[emoji15] [emoji15]
 
Haya maisha bana huyo mtoto leo anatimiza siku 40 ila kesho anaweza kusign mikataba mbalimbali na account yake ikawa na hela kuliko hata asilimia 80 ya member tulioko JF, yani mtoto anapata pesa kabla hata ya kujua pesa ni nini na matumizi yake ni nini. Hapo wajinga na wapumbavu tunamdharau Diamond wakati tuna watoto hadi wanamaliza vyuo vikuu hawana hata senti tano kwenye account, hawawezi kuishi bila kuajiliwa, kuna wakati tuwe tunawapa watu haki zao sio kukaa kumponda tu.
Kila mtu kazaliwa ili awe yeye TANMO
 
Husitusahaulishe habar za madawa, hii hatuiachi kama tulivofanya kwa John rhino.
Jamani fanya na upekuzi kwa kina haiwezekani mtu amfundishe wema kuvuta ila yeye hasikamatwe
 
Back
Top Bottom