Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,644
- 1,648
Yaani 600k ndo mshahara wa Kitenge!??? Aisee... hivi watangazaji ndo wanalipwa pesa ndogo hivi kweli!??Mkataba wa kitenge alikuwa analipwa 600k per month hivo Kuna vipengele vikawa vinampa Uhuru wa kwenda safari zake ili arikave kwahiyo suala la kuondoka ni kwa mutual understanding baina ya wasafi na kitenge maana mkataba imeisha katika kutaka waingie mkataba mpya wasafi wakataka kumlimit safari za nje kwa madai hata boss wake hasafiri Mara kwa Mara na wakaahidi kumlipa 650k per month kutoka 600k per month
Huu ni izushi, jamaa ameagwa kwa heshima na DaiKwani wakati anamwajiri hakujua kuwa Kitenge ni mtu wa safari?
Toka akiwa EFM kitenge amekuwa akisafiri sana na alikuwa akifanyia vipindi akiwa huko huko Ulaya, South Africa na Marekani.
Siiamini kabisa hii habari.
Daah nchi hii lazima tutafute visingizio vya kuwa dis wenzetu kwa mazuri, akibeba sembe au aliwe sisi inatusumbua nini?Kuliwa biriani
Safari safari nyingi isije ikawa na Sembe zinabebwa katika izo safari, au Kuna madhumuni mengine ya izo safari
Sasa nani atakula mtu mlomavu vile?Ngangaripoa
Mtafute mmoja wapo umtafune na umuulize hiliNachojiuliza tu kwanini aliachana na wake zake wote kwa mkupuo
Tena amemsifia sanaUzi wako una majungu mengi na maneno ya kubumba.
Diamond alipost kumuaga kitenge akisema kwamba mkataba wake umeisha na ameamua kurudi nyumban(EFM) nashangaa wewe unakuja na maneno ya kutunga sijui umetoa wapi.
Huu ni zaidi ya umbeaWadau, kichwa cha habari chajieleza. Mtangazaji Maulidi Kitenge hajaondoka Wasafi FM Radio bali amefurushwa kwa sababu ya safari zake za mara kwa mara nje ya nchi, hususan nchini Marekani.
Kwa mujibu wa chanzo cha ndani kutoka Wasafi FM, Maulidi Kitenge amekuwa akienda nchini Marekani kwa mwaka mara nne jambo ambalo limekuwa likimkera CEO wa Wasafi, Nasibu Abdul 'Diamond'.
"Mfano, Novemba mwaka jana alikwenda Marekani. Januari mwaka huu, wakati Rais Joe Biden anaapishwa akaenda. Machi akaenda tena, mwezi Julai pia akaenda, mpaka unaingia Agosti yuko kule. Diamond akaona jamaa anakuwa nje ya kituo cha kazi muda mwingi, akaamua kumtimua," kilisema chanzo hicho.
"Amekuwa akitumia nguvu kubwa kutuma matangazo yake Wasafi akiwa kule, kama kusoma Magazeti (Kurasa za Magazeti, Chumvi na Ndimu) na Michezo (Sports Arena) ili aoneshe kuwa, hakuna pengo la kazi zake, lakini ukweli ni kwamba, Diamond amekuwa akikereka sana, akashindwa kumvulimia, akamtumia barua ya kumwachisha kazi," kiliongeza chanzo hicho.
Musa kawambwa aliwahi fanya kazi wasafi eeeh π€π€π€π€π€π€π€Hilo la kusafiri lipo ndani ya mkataba
Majizo kavunja tu benki ili kuvunja mkataba
Bakhresa alipotaka kuimarisha Ufm alivunja benki na kumnunua Mussa Kawambwa toka wasafi ambae sidhani kama alishamaliza mwaka toka ajiunge na wasafi kutoka Azam Tv
Huu ni wakati wa biashara huria,vijana wanapiga pesa kwa kutumia makoo yao,wewe kama umeajiriwa Radio Tanzania,kaa hapo hapo kwa miaka 30,halafu uzawadiwe baiskeli na cheti
Mhhhhhhhh kama ndio hivyo alivyotoka EFM kuja Wasafi,EFM walikuwa wanamlipa shilingi ngapi?Mkataba wa kitenge alikuwa analipwa 600k per month hivo Kuna vipengele vikawa vinampa Uhuru wa kwenda safari zake ili arikave kwahiyo suala la kuondoka ni kwa mutual understanding baina ya wasafi na kitenge maana mkataba imeisha katika kutaka waingie mkataba mpya wasafi wakataka kumlimit safari za nje kwa madai hata boss wake hasafiri Mara kwa Mara na wakaahidi kumlipa 650k per month kutoka 600k per month
NdioMusa kawambwa aliwahi fanya kazi wasafi eeeh π€π€π€π€π€π€π€
A million dollar quiz..Nachojiuliza tu kwanini aliachana na wake zake wote kwa mkupuo
Mkuu kama ni jimama si angaliongeza t liwe la tatu maisha yaendelee maana dini inaruhusu..Labda za kijamii...
Kuna tetesi ameachana na wake zake wote wawili. Huenda kapata jimama au jibaba...
Point yako sasa ni nini??Daah nchi hii lazima tutafute visingizio vya kuwa dis wenzetu kwa mazuri, akibeba sembe au aliwe sisi inatusumbua nini?
Maisha ni akili
Wakishatafunwa majibu wakuletee wewe??Mtafute mmoja wapo umtafune na umuulize hili
600k usd au Tzs?Mkataba wa kitenge alikuwa analipwa 600k per month hivo Kuna vipengele vikawa vinampa Uhuru wa kwenda safari zake ili arikave kwahiyo suala la kuondoka ni kwa mutual understanding baina ya wasafi na kitenge maana mkataba imeisha katika kutaka waingie mkataba mpya wasafi wakataka kumlimit safari za nje kwa madai hata boss wake hasafiri Mara kwa Mara na wakaahidi kumlipa 650k per month kutoka 600k per month
Wakati Tunamngoja Waziri Gwajima Aje Na Johnson And JohnsonTupate matangazo mafupi kutoka kwa mdhamini wetu...tutarejea hivi punde
alifanya kazi hata miezi minne sidhani kama ilifika.Musa kawambwa aliwahi fanya kazi wasafi eeeh