Kilichomfukuzisha kazi Maulidi Kitenge Wasafi FM chajulikana

Nimetoka kuliongea Hilo KABLA sijasoma uzi wako, niliwaambia anatumia muda mwingi nje, ni vizuri alivyoondoka ili apate muda wa kusafiri huyu Jana akili yake anaijua mwenyewe
 
Muda kawambwa alitoka Ufm alipoondoka bila shaka kulikuwa na pengo, Kitenge aliondoka EFM kukawa na pengo pia Ndio maana Majizo amemrudisha.
Ila pengo la Kitenge wasafi huenda lisiwepo, mambo yatakaa sawa tu
 
Laki 6/=? Mbona waandishi wa habari wanachuliwa cheap hivyo Tanzania? Huyu ni mwandishi/mtangazaji mwenye uzoefu wa kutosha. Vipi sasa wale wanaoanza? Kama kweli alikuwa analipwa laki 6 na akawa na pesa ya kusafiri hivyo basi achunguzwe. Hizo tiketi za ndege anatoa wapi?
 
Niliposoma Uzi wako nilipofika hapo katika CEO wa wasafi Diamond nikasheka kidogo sijui kwa nini nimecheka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
600k kwa kazi yote ile? Hapana
 
Bro/ninaamini wewe ni mwanaume.
Je nchi hii tungetegemea mishahara kuna wangapi wangejenga, au hata kusomesha watoto?
Mtaji wa laki 6 sio tatizo, je tunajua vyanzo vyake vingine vya mapato?
Mtangazaji huwa na kipindi kimoja kwa siku kisichozidi saa moja, umewahi kujiuliza muda uliosalia wanautumia wapi?

Bila shaka huyu ana vyanzo vingine halali vya kimapato zaidi ya utangazaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…