T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Usiamini story za JF kama hizi. Yani Kitenge anazidiwa salary na mwalimu wangu aliyenifundisha A, E, I, O, U ambaye alipandishwa daraja. Bora mnione mwehu ila siwezi amini hiliUnamaanisha 600K niTZS 600,000 Kwa mwezi au 6,000,000? Kama ni laki 6 mshahara hapana Bora niuze genge. Hebu nifafanulie mkuu.
Sasa kwa nini Kitenge aliondoka EFM kwenda Wasafi au baada ya kutoka EFM kwenda Wasafi EFM walikuwa wanampa kiasi gani?Mkuu huo ndo uhalisia unadhani kwanini jonijoooo aliondoka kwanini dazen hakuja pale we unazani wakiwalipa mamilioni hizo hela wanatoa wapi karibu kuangalia pia coverage yao na ujiulize ni watu wangapi wanatune in kuskiliza au kuangalia wasafi na matangazo yao kwa siku kiufupi hamna faida pale mkuu hali ni ngumu Sana labda Azam na kidogo clouds Tena clouds ni enzi za marehemu na fiesta zake
Mkuu Kuna kitu kinaitwa marupurupu hivyo ndo vilimfanya akimbilie huko sio salariUnataka niambia Maulidi alienda Wasafi alikuwa hajui anaenda kulipwa 600k, na kama n hvyo basi mshahara aliokuwa akilipwa huko EFM ulikuwa ni mdogo kuliko huo alioufuata usafini.
Kuna mshahara na marupurupu hivo hpo ujue kutofautisha mtu anaeza kuwa anapokea 300k ila marupurupu ya millions of moneySasa kwa nini Kitenge aliondoka EFM kwenda Wasafi au baada ya kutoka EFM kwenda Wasafi EFM walikuwa wanampa kiasi gani?
EFM alipotokaga kwenda Wasafi walikuwa wanampa shilingi ngapi EFM.Kuna mshahara na marupurupu hivo hpo ujue kutofautisha mtu anaeza kuwa anapokea 300k ila marupurupu ya millions of money
😂😂Safari safari nyingi isije ikawa na Sembe zinabebwa katika izo safari, au Kuna madhumuni mengine ya izo safari
Umecheka kwa sababu unajua hawa jamaa chengaNiliposoma Uzi wako nilipofika hapo katika CEO wa wasafi Diamond nikasheka kidogo sijui kwa nini nimecheka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ufafanuzi ukisema 600k unamaanisha laki sita!!? au milioni sita?Mkataba wa kitenge alikuwa analipwa 600k per month hivo Kuna vipengele vikawa vinampa Uhuru wa kwenda safari zake ili arikave kwahiyo suala la kuondoka ni kwa mutual understanding baina ya wasafi na kitenge maana mkataba imeisha katika kutaka waingie mkataba mpya wasafi wakataka kumlimit safari za nje kwa madai hata boss wake hasafiri Mara kwa Mara na wakaahidi kumlipa 650k per month kutoka 600k per month
Unahisi anaweza akawa shushushu la CIAMi swali langu hzo safari huwa anaenda kufanya nini , je ni bussnes man? Je ni safari za kikazi ?
Wengine wanadai anaenda kuliwa kiboga , hata wake zake katemana nao wote ...!! Anyway huenda na Hilo la CIA ikawa kweli , mambo ni mengi mjini hapaUnahisi anaweza akawa shushushu la CIA
CIA sio wazembe hivo hawawezi tumia jasusi anayeenda kwao. Wakiwa na agent wanakuwa wanamtuma nchi ambayo hawahusiki nayo kabisa, utaona mtu anaenda Spain au Misri na kule anakutana na carrier.Unahisi anaweza akawa shushushu la CIA
Wewe jamaa ni mshamba sana..Mkuu huo ndo uhalisia unadhani kwanini jonijoooo aliondoka kwanini dazen hakuja pale we unazani wakiwalipa mamilioni hizo hela wanatoa wapi karibu kuangalia pia coverage yao na ujiulize ni watu wangapi wanatune in kuskiliza au kuangalia wasafi na matangazo yao kwa siku kiufupi hamna faida pale mkuu hali ni ngumu Sana labda Azam na kidogo clouds Tena clouds ni enzi za marehemu na fiesta zake
Jamaa wana mambo ya ajabu sana. Hata account ya instagram ya Harmonize si walichukuaga kipindi anatoka kwao kisa kapatia umaarufu kwao!Diamond na genge lake hawana
Tofaut na moView attachment 1885921
Wewe jamaa nakupenda xna
Anasikika wapi sasa ivi??Hiv Musa hussen kwanini alitoka
Clouds??
Kabisa mkuu.Usiamini story za JF kama hizi. Yani Kitenge anazidiwa salary na mwalimu wangu aliyenifundisha A, E, I, O, U ambaye alipandishwa daraja. Bora mnione mwehu ila siwezi amini hili
Hata cjui aiseee cjmskia popoteAnasikika wapi sasa ivi??
Kipindi efm inaanza walimtaka huyu akawaringia
Na yeye anasaka 2m za umc kwenye masherehe ya watuHata cjui aiseee cjmskia popote
Yani cjui aliwafanya nn clouds
Namuona huko insta kageuka
Kawa Mc
Aliwaringia efm akaona
Bado wadogo sio hadhi yake