Kilichomharibia VUNJABEI ni hiki hapa

Believe me
Aliyeleta hii post
Ni kijana msomi anaetegemewa na wazazi wake, waliotumia muda wao kumsomesha
Huyu ndio kijana tunamtegemea wale polisi waliomteka mzee kibao angekua kwenye gari awazuie yeye na vijana wenzake
Hawa ndo vijana wetu wa Tanzania na huu ndo uhalisia wa namna wanavyofikiria
Deep deep problem in this country
 
Sasa hao ndo wakwanza kwenda china na kuleta mzigo bongo vunja bei mtoto mdogo kwenye game kuliko wamba hao ila wote chali vunja bei misifa mingi kujiona bora sana kuliko hao waliopita bora abakie kwenye siasa ccm watampa shavu la UDC
Hivi UDC kwa mtu kama Fred ni demotion au promotion?? Au UDC unalipa sana??
 
Sahihi sana mkuu
 
Dah! Huu ushirikina mtaacha lini?
Hapana sio ushirikina ni mambo ya Rohoni hayo!.
Kulala hovyo na wanawake kunaondoa baraka sana.
Tena kama huamnini hata makanisani au kwa waganga wa kienyeji kama unatafuta tiba ya matatizo yako huwa wanaangalia sana mambo kama hayo ya Zinaa huwa yanapingwa sana.
Mganga wa kienyeji kama umelala na mwanamke alafu ukaenda kwake atakuambia kaoge.
Vivyo hivyo hata makanisani wanapinga sana mambo ya Uzinifu.
Sio ushirikina huo ni Swala la kiroho kama ni muamini.
 
Tafsiri ya kulala hovyo ni ipi?
 
Watu weusi tuna changamoto ya sustainability ya utajiri ndo maana haukai, tunajua kutumia bila ya kuwekeza kwenye miradi ambayo itakuwa inakulipa wakati umelala. Kwa level zake angeweza kumpata Guru mmoja wa investment amsaidie kuwekeza hela zake mengine yangebaki stori.
 
Yaani kutokua na mwanamke mmoja Au kuwa na wanawake tofauti tofauti kimahusiano ya kimapenzi Au kufanya mapenzi na wanawake tofauti tofauti.

Nb; Mwanamke mmoja anatosha kabisa.
Mbona diamond hafilisiki na amezaa na wanawake wanaojulikana zaidi ya 3 ninaowakumbuka? Mbona sulemani alikua na wanawake buku lakini hakufilisika? Mwisho nauliza tena kwanini mwanamke tu ndio awe na mikosi? Hivi unaamini Mungu alimuumba mwanamke na mwanaume?
 
Huyu mwamba fundi wake aka mganga atakuwa kagoma kula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…