Samantha Lewthwaite
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 298
- 729
Memba ndo nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani bei anayonunulia kwa jumla anakuuzia kwa bei ile ile? Ukienda kununua Panadol kkoo na Mwenge inawezekana ikawa the same price kwasababu unaenda kununua vidonge kadhaa kwaajili ya kumeza na atakuuzia kwa bei sawa na tegetaAcha bana, ina maana panadol ya bristapack ya Kariakoo ina tofautiana na ya Mwenge?
Hivi hata unemuelewa au umekimbilia kujibu, amesema kaka ake na whozu - Frank knows sio whozuUongo Whozu hawezi kumaliza Advance 2007.Hukuona hata video yake akiwa yupo Bwenini shule sijajua ni Olevel au Advance akiwa anacheza wimbo wa Diamond Platinumz "Nana"??! Sasa Nana ulitoka miaka hiyo ya 2007 au?!. Kama ni kweli kamaliza hapo Galanos fuatilia vizuri miaka aliyomaliza lakini sio 2007.Watu waliomaliza chuo miaka ya 2007 ni kama Zitto Kabww, John Mnyika Etc, sasa je Kina Zitto unataka kusema wamempita darasa moja tu Whozu
Sasa tujadili muda au mikosi ya wanawake
Wewe ni Godwin?Jamaa kadrop hdi besti yake frank knows kafunga Duka la kariakoo kakimbia upinzani wa vijana waliowapa hizo siri
Uko sahihi. Biashara ya nguo ni kama takataka mbele ya biashara yoyote inayohusiana na afya. Wauza madawa na vifaa tiba wana hela ndefu mno. Faida ya vitu vyao huwa ni zaidi ya 200% ya bei ya kununulia.Sidhani kama kafilisika ila kwasababu yeye alianza inawezekana anaona hailipi kama zamani,maana pia anauza dawa za binadamu,VUNJABEI PHARMACY,ni jumla na rejareja....... inawezekana nguvu amewekeza zaidi huko kwenye dawa,na asikudanganye mtu usidharau hata kiduka cha kuuza dawa mtaani kwasababu kila dawa anapata faida hata zaidi ya nusu..............kama unataka kujua faida ya dawa,uliza bei ya dawa pharmacy kkoo,then dawa hiyo hiyo pita Ubungo,Kimara au Mbezi utanielewa
Wewe ni mtu mjinga mno.Uongo Whozu hawezi kumaliza Advance 2007.Hukuona hata video yake akiwa yupo Bwenini shule sijajua ni Olevel au Advance akiwa anacheza wimbo wa Diamond Platinumz "Nana"??! Sasa Nana ulitoka miaka hiyo ya 2007 au?!. Kama ni kweli kamaliza hapo Galanos fuatilia vizuri miaka aliyomaliza lakini sio 2007.Watu waliomaliza chuo miaka ya 2007 ni kama Zitto Kabww, John Mnyika Etc, sasa je Kina Zitto unataka kusema wamempita darasa moja tu Whozhu?
Fred aache kulala na wanawake ovyo ovyo wanawake wengi wana mikosi
Wengi hujua kufilisiwa na wanawake huja kwa kuwahonga nop wanawake ni sumu by nature ni kutu ilayo baraka kutoka kwa BWANA
Sifahamu ila najua walikuwa wanafunzi wangu na walikuwa wanatoroka sana kwenda majani mapana na wenzake akina Kipesha, Bulldog, John, yule mtoto wa shimbo Geofrey, Amani na wenzake. Walikuwa wanaishi bweni la chai Cube namba 16 na 17.Wamesoma EGM. Fred alipiga ONE na huyo Frank alipiga TWO. Kwa darasani Fred ni hatari.
Wewe ni mwalimu wa hovyo kama hujui performance za wanafunzi wako. Wewe unajua mabaya yao tu? Mzee wa hovyo kweli kweli.Sifahamu ila najua walikuwa wanafunzi wangu na walikuwa wanatoroka sana kwenda majani mapana na wenzake akina Kipesha, Bulldog, John, yule mtoto wa shimbo Geofrey, Amani na wenzake. Walikuwa wanaishi bweni la chai Cube namba 16 na 17.
Nilikuwa nawaomba fimbo hao wakitoroka na kuwahimiza kisha kuwashika mi na mwalimu Msocha.😀😀😀
Hayo ya matokeo siyajui mkuu.
😀😀Wewe ni mwalimu wa hovyo kama hujui performance za wanafunzi wako. Wewe unajua mabaya yao tu? Mzee wa hovyo kweli kweli.
Na mimi nilisoma usagara wakati huo machali wenu wana upwiru wa mademu.Sifahamu ila najua walikuwa wanafunzi wangu na walikuwa wanatoroka sana kwenda majani mapana na wenzake akina Kipesha, Bulldog, John, yule mtoto wa shimbo Geofrey, Amani na wenzake. Walikuwa wanaishi bweni la chai Cube namba 16 na 17.
Nilikuwa nawaomba fimbo hao wakitoroka na kuwahimiza kisha kuwashika mi na mwalimu Msocha.😀😀😀
Hayo ya matokeo siyajui mkuu.
Kosa kubwa la Fred ilikuwa kufungua ofisi nyingi wakati bado hajasimama vizuri na kuwa na mameneja wazuri.Juzi kuna memba aliweka uzi kuwashirikisha wanajukwaa kuwa Vunjabei anahisi kama anaenda kufilisika ila hakuwa na uhakika yote ni sababu ameona maduka yake kama yanapumulia Gesi na mengine kufungwa mikoani huko wengine wanadai hadi zile plate no za majina ameondoa kuepuka Garama uchumi hauruhusu.
Ila kwakuwa mimi ni mkongwe wa kariakoo na Biashara ya mavazi naifaham vizuri basi fuatilieni huu uzi ili ambo mpo kwenye biashara hasa zile biashara ambazo zipo on Fire zinawalipa muwe makini maana biashara kupanda na kushuka ukikosea kitu tu ni Dakika moja na kupanda tena ni mtihani.
Ishu ipo hivi
Vunja ni moja ya vijana wa mwanzo kabisa hapa Tz kulijua soko la China ambalo limewaletea utajiri mkubwa vijana wengi wa Tanzania, Vijana wa mwazo kabisa hapa Tanzania kwenda China kubeba mzigo na kuja kupata pesa nyingi hapa Tanzania. Fredi alikuwa ni mmoja wapo sijasema kwamba ni wa kwanza ila kati ya watu wa mwanzo kufaidika na mizigo ya china humtoi kwenye list, na enzi hizo kwenda china hapo kariakoo walikuwa ni madon wachache ambao walikuwa wanayajua machimbo china wanabeba mzigo wanakuja kuwauzia na wafanyabiashara wengine.
Hata moja ya Stori za fredi na vyombo vya habari aliwahi kusema kuwa alianza biasgara na kigoli kidogo vile vifrem vya uchochoroni kariakoo hapo tena alikuwa wanashare mtaji na Rafiki yake ndio wakajichanga ikabidi mmoja wapo aende china akirudi wakiuza mzigo wagawane na kweli fredi mara ya kwanza anaenda China tu kurudi kumwaga mzigo hapo kariakoo ukaisha chap hapo ndio akasanuka kuwa china pesa ipo kipindi hicho china waliokuwa wanapajua ni wachache hapo ndio ukawa mwanzo wa fredi kupiga pesa na kufungua maduka makubwa sinza na sehem nyingine.
Sasa kilichomponza Fredi ni mdomo na kupenda kutoa siri yaani jamaa alivunja Sheria matajiri kamwe ukitaka kuwa tajiri usitoe siri za mafanikio yako kwa public ndio maana Gsm Akiuambiwa tumotivate tuwe kama ww aasema yanga bingwa yaani matajiri huwa hawatoi code ya walipopitia hadi sehem wanapobeba mzigo huwa ni siri, hata hapo kariakoo mtu hawezi kukupa code ni wapi anatoa mzigo huko China ili auze mwenyewe ukijifanya chaumbea tu utafunga Fremu.
Sasa baada ya Fredi kuwamotivate vijana kuwa China pesa ipo matokeo yake vijna wakamskiliza na wakaanza kufanya Research China wakayagundua machimbo ya nguo na viatu vya bei kitonga wakaanza kwenda wenyewe hata wale aliokuwa anawauzia wakawa wanaufuata mzigo wenyewe huko china mwisho wa siku akaengeneza upinzani mkubwa ambao ni chanzo cha kumfikisha hapo alipo.
Na kulikuwa na kesi nyingi za kushusha nguo zilizochini ya kiwango hakufanya reserch kuwa watu wanataka vitu vyenye quality mwisho wa siku vijana wakamletea upinzani wanaleta jeans zenye viwango wanashusha kkoo hapo kwa bei ile ile akaanza kupoteza soko.
Kwa sasa hapo kariakoo kuna vijana ni Madon vunjabei haingii ndani sema vijana wengi hapo kariakoo ni wasiri na hawana kelele ila wana pesa na wanauza balaa na mzigo wanaubeba china sema wamewin sababu ya kushusha jeans na tshrts kali zenye quality wakishusha utakuta watu wanagombania nusu kuuwana.
Kitu kingine ukijifanya wewe ni Tajiri ndio unawakaribisha TRA wakukamue vizuri kuwa msiri sana hata Diamond platnumz hapa juzi alijitamba anaingiza Mabilioni ndio Tra wakamtembelea kumjulia hali nadhani mliona alivyobanwa kidogo tu namna alivyotoa mluzi kwa kilio kuwa wanataka kumfilisi
Soma Pia: Ni kama vile Vunjabei anaelekea kufilisika
Wafanya biashara wa kariakoo wana siri sio mchezo,ukiwauliza wanatoa wapi huo mzigo hawatokaa wakupe hiyo siri ila Fredi umbea kujimwambafai na kuwaeleza watu michongo yake ndio ni sababu moja wapo inayo muharibia, kama unabiashara yako kamwe usitoe siri za biashara kwa watu huu uzi utakuja kuupitia tena kuwa msiri na mkimya.
Na kwa kumalizia kabisa kuna watu wanasema jamaa hajafulia ila kaamia kwenye uuzaji wa madawa ila hata huko kwenye pharmacy asipouchunga mdomo wake na kukaa kimya, akiendelea kutoa siri za kambi atawakaribisha wapinzani ambao watamsumbua, Utajiri unahitaji utulivu na ukimya wewe jifanye muongeaji utaonyeshwa....
Igweeeeeeeeee 😹Hakuna mkinga fala. Hiyo kufilisika wanajifariji tu hawa😂
Umewahi kufuata biashara china au unajiropokea tu?Unataka uniambie viwanda vya kuzalisha hizo nguo kule china ni siri? havijulikani? kwamba lazima ukavitafute ndani ndani huko? Kwani China wanauza products zao Tanzania pekee?
Hakuna Chimbo la siri kule China haya ni maneno ya vijiweni tu. Ukisema mwanzo watu ilikiwa ushamba na hawaendi kuchukua mzigo china hapo sawa, Ila kusema ni machimbo ya Siri hizo ni stories za vijiwe vya kahawa.
Sijui wanapata faida ganj kujadili kufilisika mtuIgweeeeeeeeee 😹