Kilichomharibia VUNJABEI ni hiki hapa

Miaka hii 7 alipenda umaarufu kuliko kula? Wanawake wa mjini wote wa kwake mara Hamisa Nai na muheshimiwa Jojo mpaka mtoto wakazaa na Inasemekana ni muhongaji mzuri, kushuka kimapato lilikuwa ni jambo la muda tu
 
Freddy ame anza kwenda china kwenye 2015~16 una sema ndo kawasanua vijana kuyajua machimbo ya china 🤣🤣?
Sawa mkongwe
Hiyo ni juzi sana yaani

Vunjabei kafilisika sababu za financial mismanagement,nadhani alikua anachota sana

Hajui ku-manage finances zake

Na pia hii wanasingizia wanawake si kweli...

Gharama za kutomba wanawake ni very cheap haiwezi kukuharibia eti biashara namna hiyo,ni petty cash tu hiyo

Nilijua Vunjabei ni takataka ni pale aliposhindwa tenda ya jezi za Simba,nikajua hapa hakuna mfanyabiashara kuna mpiga makelele tu kama bongo movie wengine

Bure kabisa jamaa
 
Mkuu

Do not confuse,huenda hayo maduka ya dawa si yake

Unajua kwanini?Kila mtu mtaani huko anaita kaduka kake "Vunjabei"

Vunjabei linatumika sana...hata mimi nilidhani ni yeye,lakini I doubt....Pharmacy sio biashara rahisi sana kama unavyodhani ndio maana wanaoifanya kwa usahihi ni watu walishafanya kazi hospitalini

Wanaovamia wote ma-pharmacy yao hua yanakufa the same way

Pharmacies ni mojawapo wa biashara zinakufa sana,just check the statistics!
 

Wengi wa wafanya biashara wa bongo na viongozi wa kisiasa wa bongo, biashara ikifa au akitumbuliwa, anafilisika na kuchanganyikiwa. Sababu kubwa ya hivyo, ni kuwa wengi hawajui how to diversify the risk. Mfano akipata faida kubwa au mshahara mkubwa, wengi badala ya ku formulate venture ambayo itampatia kipato sawasawa na anachokipata akiwa hapo juu, wana ongeza matumizi na matanuzi ili yaendane na mapato yao mapya.
 

Acha bana, ina maana panadol ya bristapack ya Kariakoo ina tofautiana na ya Mwenge?
 
Ulichosema ni kweli kabisa ukitoa Code zote kwanza TRA hao mlangoni then utaanza kulia lia tuu
 
Fact
 
fella mwanangu alipata faida ya 70 ml ++ kwenye issue ya ikeda, lot ya pili akaagiza contena 4 , aisee kkoo nyoko, watu wakapita mpaka kwa supplier guangzhou wakashusha copy no 2 ya ikeda, saivi kawa mjanja akienda china analeta product mara moja tu watu wakishtuka anahama kwenye product nyingine, ila china haikatai mtu mzee take your time nendda na hata 4m tu tumia hao kina gsm kwenye shipping, 2m weka ya kulipia usafiri na ushuru.

Vibusiness vya charger, bluetooth earphones & speakers zinauzika.
 
Hawezi filisika acheni majungu wanaume fanyeni kazi.
 
Yule ni kaka yake na Whozu walikuwa wote pale Advance Galanos. Walimaliza 2007 Advance.

Walikuwa marafiki na walianza fahamiana hapo wakitoroka usiku kufuata mademu wa majani Mapana, Nguvumali na kisosora.
Uongo Whozu hawezi kumaliza Advance 2007.Hukuona hata video yake akiwa yupo Bwenini shule sijajua ni Olevel au Advance akiwa anacheza wimbo wa Diamond Platinumz "Nana"??! Sasa Nana ulitoka miaka hiyo ya 2007 au?!. Kama ni kweli kamaliza hapo Galanos fuatilia vizuri miaka aliyomaliza lakini sio 2007.Watu waliomaliza chuo miaka ya 2007 ni kama Zitto Kabww, John Mnyika Etc, sasa je Kina Zitto unataka kusema wamempita darasa moja tu Whozhu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…