kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
- Thread starter
-
- #41
Amina wise words, I will tell himEverything in life is a challenge. And if something happens to you, it means that you can overcome it. Be strong and believe....
Hata Hilo litapita mwambie awe mtulivu
😁Acha uzushi mkuu😂Jamaa ni yeye...
Amina jamaa alikuwa anaandikia kompyuta ya ofisi barua ya ajira kwenda kwa utumishi ni hizi ajira zilitangazwa na taasisiMwambie aombe kazi na apate huko.
Inshallah 🙏Amina wise words, I will tell him
Amin japo ana hofu pia kuw ikitokea akaitwa interview huko atapewa ruhusa kama kuandika tu barua kamindiwa hivo, kijan ana hofu kuuInshallah 🙏
Mwambie awe chawa sasa bongo bila unafki hupati kitu..
Mi nataka nipate mawazo ya kumshauri mwanangu jamaa kaniangushia gunia la chawa😁Hahaha Faller hataki kuumiza kichwa anarahisisha mambo yasiwe mengi!
😁😁
😂Kaka si angefukuzwa saa hiyo hiyo, umaskini unamfanya mtu akae tu kimyaAngemjibu tu eee bwana mkubwa, haya maisha usipende kuwa mtumwa wa mtu kwa miaka mingi anagalia maslah
unamshaurije hapa mkuuHatari sana
Huyo ni wewe, acha kuishi kichawa omba kazi za serikali huko ndio keki i
Mkuu mimi nimejiajiri nafuga sana sina elimu ya kutosha kuajiriwa huko serikalini nina four ya 39, huyu jamaa ni jirani yanguHuyo ni wewe, acha kuishi kichawa omba kazi za serikali huko ndio keki ilipo.
Karibu sana Mimi ni daktari wa mifugo.Mkuu mimi nimejiajiri nafuga sana sina elimu ya kutosha kuajiriwa huko serikalini nina four ya 39, huyu jamaa ni jirani yangu
Mwambie amwambie bosi wake na yeye pia akuze ufahamu wao wakufikiriRafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.
Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.
Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁
Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.
Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
Hawa mabosi wa kiswahili hawana tofauti na wanasiasa, hawajawahi kuwa serious ktk majukumu na proffesionalism, zaidi wanapenda kulambwa miguu.Hakuna boss ambaye haelewi kuhusu green pastures if is real boss .
Kuhusu boss kutomchangamikia hiyo ni temporary situation ambayo itaondoka yenyewe .
Mwambie azingtie kufanya Kazi Kama zamani
Asijenge hofu - maana hofu inaua na kukufanya uishi kinyonge
Mwisho mwambie azingatie
Kujutuma kazini
Uaminifu
Kuwa positive
Tatizo za ajira zisizokuwa rasmi na ambazo hazina mikataba, hapo bila kulamba viatu vya boss atalala njaa.Hiyo sio kazi hiyo ni mishe mishe,kufanya kazi kwa wahindi unaita kazi,reputable organisation hawanaga hayo