Kilichomkuta rafiki yangu kazini kwake

Angemjibu tu eee bwana mkubwa, haya maisha usipende kuwa mtumwa wa mtu kwa miaka mingi anagalia maslah
 
Huyo ni wewe, acha kuishi kichawa omba kazi za serikali huko ndio keki ilipo.
 
Mwambie amwambie bosi wake na yeye pia akuze ufahamu wao wakufikiri
 
Hawa mabosi wa kiswahili hawana tofauti na wanasiasa, hawajawahi kuwa serious ktk majukumu na proffesionalism, zaidi wanapenda kulambwa miguu.
 
Hiyo sio kazi hiyo ni mishe mishe,kufanya kazi kwa wahindi unaita kazi,reputable organisation hawanaga hayo
Tatizo za ajira zisizokuwa rasmi na ambazo hazina mikataba, hapo bila kulamba viatu vya boss atalala njaa.
 
Boss samahani kuna kitu hapa ofisini hakipo sawa, wafanyakazi wengine wanashindwa tu kusema na ni muda mrefu sasa.... Ila naona kuacha kazi sio solution kuomba kazi kwingine sio solution, nimewaza Sana nikaona bora nikushirikishe huwenda unaweza fanya kitu!!!

Starting point tayari👆👆

Kamwe kwenye maelezo yake asiseme shida ni maslah maana hcho ndicho boss anachotegemea utamwambia,
Badala yake mpe sababu nyingine ambayo ni ya kiutendaji au management

Pia unaweza gusa swala la muda mnaoingia na kutoka n.k
(Note: hapa n unajitetea kwahyo hakikisha boss anatoa hii kauli
👉 Kumbe shida ndo hiyo, kwanini hukusema??
 
Huyo jamaa anaonekana ni wale wakung'ata na kupuliza, mwambie atimize wajibu wake na kilichompeleka hapo ni kazi na siyo tabasamu / kuchangamkiwa na bosi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…