Kilichompaisha jamaa ni kelele nyingi na kuminya vyombo vya habari tu la sivyo hamna kitu alichofanya

Kilichompaisha jamaa ni kelele nyingi na kuminya vyombo vya habari tu la sivyo hamna kitu alichofanya

Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.

Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
Kwanini CCM inakwepa Maridhiano na CHADEMA?
 
Hata vitu alivyofanya vilikuwa vinaonekana kuliko nyie mmejaza wapigaji wanajitafunia nchi kwa urefu wa kamba zao.

Kuna fry over ya ubungo. Wengine watakuja lile daraja. Mmeshindwa nini nyie kutengeneza madaraja kama hayo manne tu mbeya mawili mafiat na uyole,kwanza,morogoro. Wanaosema madaraja wamefeli pia ona ilivyoipendezesha dar.
2. Barabara ile ya kimara. Kumbuka foleni ilivyokuwa kabla hajaitanua hiyo barabara.
3. Barabara kufungua mkoa kwa mkoa kuingilika kwa barabara.
4. Alirudisha uwajibikaji ofisi za Umma. (Ona sasa unaingia ofisi ya Umma kama huna mkono mrefu hawana habari kipindi chako kulikuwa na hofu.
5. Alidhibiti utafunaji mali za Umma. Lakini siku hizi wale kwa urefu wa kamba zao.
6. Umeme ulishaanza kuwa historia kukatikatika mpaka wengi waliuza magerator yao ksbb yalikosa kazi. (Ona sasa umeme umetia fora ukatikaji toka Tz ipate Uhuru.
7. Alipunguza gharama za ulipaji huduma za umeme kwa kwa kiwango kikubwa ili kila mmoja mpaka masikini awe na hiyo nishati. (Ona alivyoondoka tu kuingiza umeme bei juu sana,imekuwa ni anasa,imebaki kwa matajiri.
Ni mengi mazuri yake kuliko mapungufu. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni kwa kuoanisha Kwanza mazuri ndipo muunganishe na mabaya,na mlinganishe na yanayoendelea sasa .
=}mapungufu yake ni machache kama kuminya democracy. Lakini vinginevyo mwamba angetusogeza sana sana kwa Tanzania hii ilimhitaji sana sana kiongozi wa namna ile.
MWISHO ALISEMA IMEKWISHA MTANIKUMBUKA.
Mkuu acha kupoteza muda kumfafanulia uyo fala,wewe ulisikia wapi Kikao cha Panya kikamsema vizuri Paka!
 
Kikubwa ameandikwa na kwenye vitabu vya history
1695243475949.png
 
Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.

Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
Baba kafaliki kaacha shamba. Mama kauza shamba kapata pesa. Kakununulia jinsi ,raba Kali na flana kali.na wewe unafulaie kweli na ulivyo kubwa unaakili .pesa imeisha na nguo zako zimechakaa na shamba limeenda. P
 
kichaa weweusituletee ujinga wako humu baada ya kudanga huoni chini ya bibi kidude nchi inaangamia umeme umezimika majizi kama nyie mnahongwa Kuja kutupigia kelele vitu vimepanda bei kupe ni wengi isipime vijana wa Pwani vilaza wala mihogo ya pilipili na wapaka hinaa mtuambie nini nyie nchi imewashinda wekeni mbali kabisa ujinga wenu wa kutuharibia nchi kwa kuhongwa hongwa hovyo nyambaaaf
Ndugu pinga hoja kwa hoja, usitukane, weka ushahidi wa kupinga hoja iliyopo.
 
Baba kafaliki kaacha shamba. Mama kauza shamba kapata pesa. Kakununulia jinsi ,raba Kali na flana kali.na wewe unafulaie kweli na ulivyo kubwa unaakili .pesa imeisha na nguo zako zimechakaa na shamba limeenda. P
Kwa hiyo nitembee uchi kisa shamba naliangalia tu
 
Chizi pekee ndio atakubaliana na wewe....

Mnaangaika na bado, si mlijua mtafanikiwa baada ya kuondoa uhai wake
 
Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.
Mwisho wa kunukuu.......hata wanaccm wengi ambao ndio hali zao wanependa sana hii kitu
 
Yule ibilisi aliharibu akili za watanganyika wengi.
Mpaka kesho utawasikia wanamtaja angekuwa Jiwe, angekuwa Jiwe.
Hadi leo hizo akili bado hazijarekebishika kwa maendeleo na mazuri anayofanya Rais Samia?
 
Waliothubutu kukosoa walibaki wachache sana Lissu na Mdude Nyagali hata hapa Jukwaani JF watu walianza kuwa waoga sana.
Binafsi naamini uhuru wa kukosoa uendane na kusikilizwa, ila kama mnakuwa mnakosoa halafu wahusika wanawaambia wameziba masikio na kutotaka kuyaongelea hayo mnayokosoa sidhani kama kunaleta maana yeyote.
 
Chizi pekee ndio atakubaliana na wewe....

Mnaangaika na bado, si mlijua mtafanikiwa baada ya kuondoa uhai wake
We huoni mafanikio. Unaona vijana wapo mtaani wakilandalanda tena. Ajira kila kona
 
Binafsi naamini uhuru wa kukosoa uendane na kusikilizwa, ila kama mnakuwa mnakosoa halafu wahusika wanawaambia wameziba masikio na kutotaka kuyaongelea hayo mnayokosoa sidhani kama kunaleta maana yeyote.
Katiba yetu imetupa uhuru huo,na ni kwa afya zetu sisi raia wa jamhuri unajua ukikaa na hasira moyoni bila kuongea ni kujitafutia maradhi ya moyo tu.

Lakini ukitema nyongo angalao unapata kausingizi.

Lingine ni hulka zetu sisi Watanzania hata wewe ukipata teuzi ufafunga vioo vya gari lako ulilopewa na serikali na kuanza kumdharau common Mwananchi.

Unamkumbuka Humphrey Polepole alivyokuwa mkosoaji wa Serikali ya CCM? ? Alivyopewa cheo uliona alivyo akapeleka na Idea ya "manunuzi ya Wapinzani".

Mtanzania ana lugha mbili akiwa na njaa anaongea lugha ya moja akiteuliwa anaongea lugha nyingine.

Endelea kukosoa pale unapoona panaofaa kukosolewa na toa ushauri wa maboresho pale panapofaa kuboreshwa.
 
Back
Top Bottom