Kilichompaisha jamaa ni kelele nyingi na kuminya vyombo vya habari tu la sivyo hamna kitu alichofanya

Kilichompaisha jamaa ni kelele nyingi na kuminya vyombo vya habari tu la sivyo hamna kitu alichofanya

Hakuna mtu amewahi kuongoza nchi hii kwa uthubutu wa kusimamia pesa ili zifike kwa wananchi wote kama JPM, kila anayeponda ni mtu aliyekua fisadi mwizi jambazi yeye au ndugu yake na alikua anapata kutokana na ufisadi huo, ndiyo maana anaweza kuja hata hapa jf kuponda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Thats true na ndio hao hao wanaoshabikia utawala wa wezi na wanyang'anyi sababu kuna namna wananufaika
 
Sa
Mdude sio chombo cha habari. Taja chombo kinachorusha hewani habari kwa uhuru, za uchambuzi, za matatizo ya umeme, mfumuko wa bei, makodi ya wizi, ya uzembe wa Rais, ya ufisadi.

Siku moja kuna mtangazaji alikuwa anaongelea ripoti ya CAG. Akafika kipengele cha ufisadi TANROADS, hesabu za billions of money zilikuwa hazisomani, akasema hapa siwezi kutaja nafasi zao na majina. Kitu ambacho kishaandikwa kwenye ripoti na kinaenda kusomwa kwenye bunge la hadhara anyhow! Guess what, kwa vile ripoti za CAG huwa zinatoka mwaka mmoja miwili baada ya kupigwa tukio husika, mtu mwenyewe aliyekuwa anaogopa kumtaja ambae alikuwa implicated kwenye ripoti, alikuwa kishafariki toka 2021, Engineer Patrick Mfugale! Na bado anaogopa. Wussy, incompetent reporters wa TZania
Sasa incompent reporters inahisika nini na rais. Yaani mwishoni umeamua kujijibu mwenyewe
 
Kwamba hakufanya kitu ni uongo. Alifanya mambo mengi tu makubwa yaliyo acha alama. Tatizo ni Yale mambo yake mangine ya ubaguzi , ukandamizani, mauwaji, utekaji ambayo hata hayakihitajika kuwepo inchin
 
Mungu alituepusha na lile janga.
Ni kweli mkuu, inaonekana Mungu husikia maombi!

1. Mwendazake alipenda sana kuomba watu wamuombee! Kila mtu na Mungu wake, Mungu akaamua isiwe kesi, ikawa!

2. Mwendazake akaambiwe Korona inaua, akaamkia kanisani, kadhihaki mapadri, kwa kuwa alishaomba aombewe wakapiga maombi, Mungu akaamua isiwe kesi, ikawa!

3. Mwendazake akaambiwe hela ya rambirambi hailiwi, akawakejeli wahanga wa tetemeko la Kagera, kwa kuwa alishawasihi sana watu wamuombee, katikati ya maombolezo ya wafu wao wakaomba Mungu wao, huyo Mungu akaona isiwe kesi akaamua, ikawa!

4. Mwendazake akaambiwa usibomolee watu wa Morogoro road bila kuwafidia au kuwafuta machozi, alipoenda Mwanza akadokeza hawakumchagua. Kwa kuwa aliwaomba sana watu wamuombee kweli bwana, wakiwa wamelala nje na vitu vyao na watoto wao usiku wa Kawa wanaomba sana, Mungu wao akaamua basi, isiwe kesi, akaamua, ikawa!

5. Mwendazake akaambiwa mwanafunzi yeyote akifika chuo sio kilaza, akasema ah wapi! Wanafunzi walee wa UDOM wote vilaza, timua wote! Akasau aliwasihi sana watu wamuombee, wale wanafunzi wakiwa na wazazi wao nyumbani kwao wakapiga magoti mbele ya Mungu wao wakaomba. Mungu akaona isiwe kesi, akaamua, ikawa!

6. Mwendazake akaambiwa usifukuze watu kazi kisa kutofautiana majina ya vyeti vyao, wape nafasi wasahihishe dosari hizo, akasema fukuzilia mbali! Kazini wakaondoka! Lakini aliendelea kuomba watu wamuombee sana, wakiwa hawajui hatimaye yao na wataishije wakakumbuka kuomba, wakaomba na kufunga, Mungu sio athumani kajibu! Kesi ikaisha, ikawa!

7. Mwendazake akaambiwa kikokotoo ni kitanzi kwa wastaafu, akasema kikokotoo lazima kiwepo wapende wasipende! Na kweli kikawekwa, wastaafu wakaanza kujitundika bwana, wakaona twafa! Kwa kuwa aliomba mwenyewe wamuombee, wakaanza kuomba pamoja na familia zao, Mungu kasikia maombi yao, akaamulia kesi, ikawa!

8. Mwendazake akaambiwa wanafunzi wakipata mimba wakiwa shuleni, baada ya kujifungua huruhusiwa kuendelea na elimu yao, akasema sisomeshi wazazi mie! Ikawa mwiko kuendelea na masomo! Lakini muda mwingi aliomba watu wamuombee, haya wanafunzi wazazi na vichanga vyao na wazazi wao wakaanza kuomba kwa Mungu wao, kumbe Mungu husikia bwana, si akajibu maombi, kesi ikaishia hapo, ikawa!

9. Mwendazake akaambiwa biashara ya korosho inalipa huko Lindi na Mtwara! Akasema hewala! lazima serikali ihodhi biashara yote ya korosho, kaingiza JWTZ, kangomba wakakiona cha moto, na hela ya mfuko wa uendelezaji korosho akakomba yote! Wakulima na kangomba wakala hasara! Wanawake na Shangazi wa kimakonde wakaambiwa wakithubutu kusema kitu wakakiona cha mtema kuni! wakakaa kimya na jaka moyo! Ila alisahau kuwa anawasihi watu kumuombea sana, Si watu wa kusini na wafanyabiashara wakakumbuka kuomba, wakaamua kuomba bwana, haikupita muda Mungu akaingilia kati, kaamua kesi, ikawa!

10. Mwendazake aliambiwa fuata utaratibu wa kuchukulia hatua taasisi za fedha kama ukiukwaji upo wa undeshaji wa biashara hiyo. Akasema sina muda huo, hapa nikuvamia na kupora hela na vitendea kazi kwanza halafu utaratibu ufuate, kaingiza jeshi hela ikaporwa. Akasahau kila akiongea na watu aliomba wafu wamuombee. Wahanga wa biashara ya beaural de change na familia zoa hasa wa Arusha wakaomba na kufunga. Mungu bwana kawasikiliza akaona wana hoja, kaingilia kati na kesi kaamua, ikawa!

Kwa machache hayo, Mwendazake aliambiwa na kushauriwa kuyaendea taratibu mambo mengi mathalan, uchumi na uwekezaji, ustawi wa jamii, kuvunja mikataba bila utaratibu, uhuru wa viombo vya habari, usalama wa raia, uhusiano wa mataifa jirani, manunuzi ya ndege na wapunzani, demokrasia na uchaguzi nchini na kadhalika ila hakusikia.

Kila akiumiza watu akawa anawasihi na kuwahiza wamuombee. Idadi ya aliowaumiza ikawa kubwa, waombaji na wafungaji wakawa wengi, kila mmoja kwa imani yake na Mungu wake akaomba, Mungu akashindwa kuvumilia na kuhimili kishindo cha maombi, akaamua kesi! Ikawa!
 
Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.

Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
Pamoja na madhaifu yake mengi lakini alikuwa mzalendo sana kuuliko Rais wa awamu hii.Yeye ameacha alama isiyofutika huyo wa sasa ataacha nini zaidi ya kuuza bandari zetu kwa wajomba zake?
 
Siwezi kubishana na choko kama huyo ambaye ni hater wa mtu ambaye hakuna aliye hai hajashuhudia mambo aliyopambania kwa welfare ya raia wake. He did what he could kuhakikisha nchi inaenda sawa.

We have this stupid mothrfucka spreading bullshit and tarnishing the deceased president image. This should get to an end! Haiwezi kuwa kwa kubembelezana.
Mkuu correcting what you perceive to be wrong by a wrong or using a wrong way won't make the wrong to you be right either!
Pamoja na madhaifu yake mengi lakini alikuwa mzalendo sana kuuliko Rais wa awamu hii.Yeye ameacha alama isiyofutika huyo wa sasa ataacha nini zaidi ya kuuza bandari zetu kwa wajomba zake?
Mkuu tusubiri, tutajua huko mbele naye akishaondoka!
 
Pamoja na madhaifu yake mengi lakini alikuwa mzalendo sana kuuliko Rais wa awamu hii.Yeye ameacha alama isiyofutika huyo wa sasa ataacha nini zaidi ya kuuza bandari zetu kwa wajomba zake?
Jpm alikuwa mshamba na muhuni tu. Ni kipindi chake ndo vijana tuliparaganyika mtaani bila Cha kufanya ajira hakuna pote private sector na serikalini. Hata sale wachache waliokuwa wanaajiri walitishwa wakskumbia nchi kukawa na kundi kubwa la watu mtaani hawana ajira kabisa. Mfano manji aliondoka na ajira elfu 30, Mo akapunguza wafanyakazi zaidi ya elfu 70, bakresa akapunguza ajira zaidi ya elfu 80. It was a total disaster under magufuli. Sasa hivi wanarudi wawekezahlji na siku si nyingi ajira zitaanza kumwagika
 
Hakuna mtu amewahi kuongoza nchi hii kwa uthubutu wa kusimamia pesa ili zifike kwa wananchi wote kama JPM, kila anayeponda ni mtu aliyekua fisadi mwizi jambazi yeye au ndugu yake na alikua anapata kutokana na ufisadi huo, ndiyo maana anaweza kuja hata hapa jf kuponda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndo ukweli
 
Kwamba hakufanya kitu ni uongo. Alifanya mambo mengi tu makubwa yaliyo acha alama. Tatizo ni Yale mambo yake mangine ya ubaguzi , ukandamizani, mauwaji, utekaji ambayo hata hayakihitajika kuwepo inchin
Alimbagua nani na alimkandamiza. Nani ,mbona huyu aliyopo wwtu wanafungwa hovyo kwa mistari miwili ya tu ya wimbo
 
Jpm alikuwa mshamba na muhuni tu. Ni kipindi chake ndo vijana tuliparaganyika mtaani bila Cha kufanya ajira hakuna pote private sector na serikalini. Hata sale wachache waliokuwa wanaajiri walitishwa wakskumbia nchi kukawa na kundi kubwa la watu mtaani hawana ajira kabisa. Mfano manji aliondoka na ajira elfu 30, Mo akapunguza wafanyakazi zaidi ya elfu 70, bakresa akapunguza ajira zaidi ya elfu 80. It was a total disaster under magufuli. Sasa hivi wanarudi wawekezahlji na siku si nyingi ajira zitaanza kumwagika
Mkuu huna akili, mo ni wa pili Kwa kuajiri baada ya serikali na kampuni zake zote wafanyakazi hawafiki elfu 40 bakhresa hata elfu 30 hawafiki

Je, wewe idadi hiyo umeitolea wapi?
Unavyoandika vitu Kwa hisia unajua hoja zako
 
Pamoja na madhaifu yake mengi lakini alikuwa mzalendo sana kuuliko Rais wa awamu hii.Yeye ameacha alama isiyofutika huyo wa sasa ataacha nini zaidi ya kuuza bandari zetu kwa wajomba zake?
Ajira kila Kona private sector na public sector. Kila siku vijana wanapata ajira polis, magereza, jeshi, walimu, madaktari nk ambapo jpm alipigwa marufuku ajira
 
Huoni nchi inaangamia umeme umezimika majizi kama nyie mnahongwa Kuja kutupigia kelele vitu vimepanda bei kupe ni wengi isipime vijana wa Pwani vilaza wala mihogo ya pilipili na wapaka hinaa mtuambie nini nyie nchi imewashinda wekeni mbali kabisa ujinga wenu wa kutuharibia nchi kwa kuhongwa hongwa hovyo nyambaaaf
Dalili moja wapo ya kushindwa kujenga hoja ni kusema watu kwa vigezo vya asili zao, vijana wa Pwani wameingiaje kwenye hii mada ikiwa wewe si mbovu,wawashwa eeh
 
Back
Top Bottom