Kilichompata Andrew Mayalla Baba wa Pascal Mayalla kutoka Kwenye system (Wasiojulikana wanaotambulika)

Kilichompata Andrew Mayalla Baba wa Pascal Mayalla kutoka Kwenye system (Wasiojulikana wanaotambulika)

Wana bodi za asubuhi!nisiwachoshe niende moja kwa moja!

Kuna huyu pascal huyu!ndio huyu mwenzetu wa jf hivi ni mwandishi wa kawaida kama wengine?Alijuaje Jpm ni mgombea wa uraisi mwaka 2015? Na kajuaje tena 2015 ni makonda? Yeye ni nani? Maana hata Kadinali pengo alisema hayo hayo je ye ni mutu ya kile kitengo? Maana ule mwiko wa kuachiana vijiti kati ya dini kubwa mbili unaenda kuvunjwa?Je mbona hatusikii japo uteuzi kwa huyu pascal kakosea wapi?

Inaonekana pascal habahatishi ana uhakika na kalamu yake inachoandika maana hata yule kigogo kachagiza yawezekana makonda akaula kule mbeleni je kabahatisha tu?

Kwa wale wanaomwelewa vizuri huyu jamaa watupe picha ili nyuzi zake niwe nazisoma kwa umakini zaidi naanza kumuogopa huyu jamaa!!!
stop thinking childishly, sijui bongo zenu zimebeba nini? unaanzaje kufikiri kwamba ile takataka ya kolomije itapewa nchi?
 
Wana bodi za asubuhi!nisiwachoshe niende moja kwa moja!
Kuna huyu pascal huyu!ndio huyu mwenzetu wa jf hv ni mwandishi wa kawaida kama wengine?Alijuaje Jpm ni mgombea wa uraisi mwaka 2015? Na kajuaje tena 2015 ni makonda?yeye ni nani?maana hata Kadinali pengo alisema hayo hayo je ye ni mutu ya kile kitengo?Maana ule mwiko wa kuachiana vijiti kati ya dini kubwa mbili unaenda kuvunjwa?Je mbona hatusikii japo uteuzi kwa huyu pascal kakosea wapi?
Inaonekana pascal habahatishi ana uhakika na kalamu yake inachoandika maana hata yule kigogo kachagiza yawezekana makonda akaula kule mbeleni je kabahatisha tu?
Kwa wale wanaomwelewa vizuri huyu jamaa watupe picha ili nyuzi zake niwe nazisoma kwa umakini zaidi naanza kumuogopa huyu jamaa!!!
Sisi sio maiti kihivo labda atakuwa raisi wa wasumukuma.

Kumpa msukuma leseni ya udereva ni sawa na kuruhusu umasikini utamalaki.

Tulionywa tukapuuzia tunavuna mapando yetu.Sio kila Jamii ni wazuri kwenye udereva wengine yatakiwa waishie kwenye utingo tu
 
😂😂😂😂
Namheshimu Mayalla, lakini amekwisha 'tabiri' majina mengimengi ya 2025, akiwemo Mbalawa, Makonda, Makamba N.K.

Yeyote kati ya hawa akiwa basi uzi mahususi utafukuliwa na utabiri utakua umetimia.

Ngoja namimi nikupe utabiri, chaguo la Magufuli (yeyote yule atakayekua) litaangupia pua 2025 iwe isiwe.
Ya mbeleni ni upepo na sio hesabu.Siasa ni upepo na sio hesabu.Ogopa Sana watu wakimya
 
Wana bodi za asubuhi!nisiwachoshe niende moja kwa moja!
Kuna huyu pascal huyu!ndio huyu mwenzetu wa jf hv ni mwandishi wa kawaida kama wengine?Alijuaje Jpm ni mgombea wa uraisi mwaka 2015? Na kajuaje tena 2015 ni makonda?yeye ni nani?maana hata Kadinali pengo alisema hayo hayo je ye ni mutu ya kile kitengo?Maana ule mwiko wa kuachiana vijiti kati ya dini kubwa mbili unaenda kuvunjwa?Je mbona hatusikii japo uteuzi kwa huyu pascal kakosea wapi?
Inaonekana pascal habahatishi ana uhakika na kalamu yake inachoandika maana hata yule kigogo kachagiza yawezekana makonda akaula kule mbeleni je kabahatisha tu?
Kwa wale wanaomwelewa vizuri huyu jamaa watupe picha ili nyuzi zake niwe nazisoma kwa umakini zaidi naanza kumuogopa huyu jamaa!!!


Ana network kubwa sana huyo kwanza level ya umri wake ndio wengi wameshika nchi, jumlisha tasnia zake aina ya confidence. naishia hapa ukipata nafasi corona ikiisha msalimie mkononi na umwangalie machoni straight. nimeona niwachekeshe kidogo kwa jokes
 
Wana bodi za asubuhi!nisiwachoshe niende moja kwa moja!
Kuna huyu pascal huyu!ndio huyu mwenzetu wa jf hv ni mwandishi wa kawaida kama wengine?Alijuaje Jpm ni mgombea wa uraisi mwaka 2015? Na kajuaje tena 2015 ni makonda?yeye ni nani?maana hata Kadinali pengo alisema hayo hayo je ye ni mutu ya kile kitengo?Maana ule mwiko wa kuachiana vijiti kati ya dini kubwa mbili unaenda kuvunjwa?Je mbona hatusikii japo uteuzi kwa huyu pascal kakosea wapi?
Inaonekana pascal habahatishi ana uhakika na kalamu yake inachoandika maana hata yule kigogo kachagiza yawezekana makonda akaula kule mbeleni je kabahatisha tu?
Kwa wale wanaomwelewa vizuri huyu jamaa watupe picha ili nyuzi zake niwe nazisoma kwa umakini zaidi naanza kumuogopa huyu jamaa!!!

Kama alitabiri na mimi natabiri haitokuwa na utarudi hapa kurudia maneno haya haitokuwa. Siri ni kubwa hata huyo dogo hajuwi. Hii ni Tz. Muokota makopo pia anawezakuwa anakunywa chai ikulu. Usishangae.
 
Ana network kubwa sana huyo kwanza level ya umri wake ndio wengi wameshika nchi, jumlisha tasnia zake aina ya confidence. naishia hapa ukipata nafasi corona ikiisha msalimie mkononi na umwangalie machoni straight. nimeona niwachekeshe kidogo kwa jokes
Hana cv, kwanza ana utata wa majina,elimu,
 
Wana bodi za asubuhi!nisiwachoshe niende moja kwa moja!
Kuna huyu pascal huyu!ndio huyu mwenzetu wa jf hv ni mwandishi wa kawaida kama wengine?Alijuaje Jpm ni mgombea wa uraisi mwaka 2015? Na kajuaje tena 2015 ni makonda?yeye ni nani?maana hata Kadinali pengo alisema hayo hayo je ye ni mutu ya kile kitengo?Maana ule mwiko wa kuachiana vijiti kati ya dini kubwa mbili unaenda kuvunjwa?Je mbona hatusikii japo uteuzi kwa huyu pascal kakosea wapi?
Inaonekana pascal habahatishi ana uhakika na kalamu yake inachoandika maana hata yule kigogo kachagiza yawezekana makonda akaula kule mbeleni je kabahatisha tu?
Kwa wale wanaomwelewa vizuri huyu jamaa watupe picha ili nyuzi zake niwe nazisoma kwa umakini zaidi naanza kumuogopa huyu jamaa!!!
Au tukutajie Rais ajaye upate mshituko? Analindwa nakupata kila support japo wengi hatuto amini. Ndipo mtajuwa ikulu kuna watu wanapower za ziada.
 
Ndeo leo nimejua bwana paskali ana ID mbili naona leo kuleta mafa na ID hii
 
Au tukutajie Rais ajaye upate mshituko? Analindwa nakupata kila support japo wengi hatuto amini. Ndipo mtajuwa ikulu kuna watu wanapower za ziada.
Hata jk alitabiri mrithi wake ikawa sivo ndivo,labda tu Ingekuwa ni nchi ya kifalme ya kupeana mjomba,mtoto wa dada,
 
Back
Top Bottom