Kilichompata Andrew Mayalla Baba wa Pascal Mayalla kutoka Kwenye system (Wasiojulikana wanaotambulika)

Kilichompata Andrew Mayalla Baba wa Pascal Mayalla kutoka Kwenye system (Wasiojulikana wanaotambulika)

Makonda mbona anatosha!kama hatoshi kwako anatosha kwa wale anaowatosheleza!!
Anamtosha mke wake sio wa Tanzania.

Halafu pasko ni mtoto wa afisa wa TISS mstaafu hivyo anaweza kuwa nae lakini pia ukijipa muda kusoma na kufuatilia yanayojiri nchini na duniani bila kuwa biased na ikiwa una akili timamu bila kufuata fikra za mwenyekiti wa chadema na jopo lake wala fikra za mwenyekiti wa ccm ni wa act wazalendo na praise team zao mitandaoni, utaweza speculate mambo mengi ya nchi.
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au tukutajie Rais ajaye upate mshituko? Analindwa nakupata kila support japo wengi hatuto amini. Ndipo mtajuwa ikulu kuna watu wanapower za ziada.
Hebu tuambie mkuu hata kwa Codes!!!Lakini Ben saanane jamaa aliniuma sana aisee!!sabb za kupotea kwake ni za kijinga sana!ina maana hata kitengo cha propaganda kilishindwa hadi kije na spin ya FARU JOHN baada ya Ben saanane kupotea???
 
Yaani mwaka 1982 watu walikuwa wameshauchoka udikteta na kutaka kuupindua utawala uliokuwepo miaka hiyo.

Sijui hiyo mioyo ya ujasiri imeisha wapi? Ni ukweli kwamba hao jamaa walikuwa na sababu za msingi kabisa za kutaka kufanya hivyo .
 
Back
Top Bottom