Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ulimi plus kukosa utu, ni combination hatari sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimi plus kukosa utu, ni combination hatari sana.
Umesahau tena kuweka jina litalotokea wakituma Pesa!!
Unasema hakuna asiyemkubali magu...una utafiti wowote juu ya Hilo? Para ya mbele baada ya kuelezea tatizo la hao wapendanao kuwa Ni lugha zao mbaya(ulimi). Unabadilika Tena kuwa hakuna atayekupenda ukiwa na ulimi mbaya mfano magu na makonda. Unajua uunachokitetea au mkono unaandika tu Bila vituo?
Anapaswa aondoke awapishe watanzania wenye uwezo kuongoza. Yeye ndiye tatizo akae pembeni achunguzwe, na apate stahiki yake kisheria.Nafikiri atafanyia kazi madai haya
Mimi sipendi, ni kipi kafanya?!Hakuna ambaye hapendi kazi za Magufuli
Mimi sipendi, ni kipi kafanya?!
Lakini CCM hudai imeleta maendeleo utazani maendeleo ni Hisani ya CCM na pesa zinatoka mifukoni mwaoMaisha yangu hayategemei hisani ya Mtu yeyote Mkuu.
😛 😛 😛 😛
Lakini CCM hudai imeleta maendeleo utazani maendeleo ni Hisani ya CCM na pesa zinatoka mifukoni mwao
umebadili gia angani chap.!
$asa unajishika na mzizi mrefu.
hamia Kawe,Gwajimen anamwaga mpunga mrefu zaidi
Daud Bashite aweza kuwa na mazuri yake machache lakini mengi mabaya yake yanafuta yale mazuri aliyopata kuyafanya, kitendo cha kwenda Dodoma na magari mawili kwenda kumshambulia Tundu lisu kwa risasi ni mojawapo ya sababu ya kufuta mazuri yake machache aliyotenda, FBI CIA waliopo ubalozi wa marekani walifanya uchunguzi kwa Siri kwa mbinu za kisasa wakabaini Bashite ni mtu Hatari sana ndiyo maana wakamkataa kuingia America.
Wasanii hawakuwepo pale Steve nyerere na wenzake walikua kwenye kura za maoni
Magufuli aweza kuwa na mapungufu machache kuliko Daud Bashite, ukumbuke Magufuli kasoro zake kuu ni kama zifuatazo 1- kuzuia mikutano ya siasa kwa vyama vya upinzani 2- kuwanunua wapinzani kisha kurudia chaguzi kwa gharama kubwa 3-kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge na mengine ikiwemo kununua Ndege kwa cash bei kubwa zaidi ya bei ya kawaida, lakini Daudi Bashite kafanya mengi mabaya ikiwemo kumfirisi Yusuph manji kupora mali zake kutaja list feki ya wauza unga wakafanya blackmail akawachukulia watu mali zao na madhambi mengineyo mengi zaidi na zaidiKumkubali Makonda haimaanishi hana kasoro. Kumkosoa Makonda au Magufuli haimaanishi simkubali.
Inaelekea huzifahamu kasoro zake na kama una kasoro zake utakuwa umeambiwa chache sana jaribu kuchimba kwa undani ujue kasoro zaidi ndipo utabaini kuwa Bashite anayo mabaya mengi kuliko mazuri machache.Kumkubali Makonda haimaanishi hana kasoro. Kumkosoa Makonda au Magufuli haimaanishi simkubali.