KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,320
- Thread starter
-
- #201
acha upuuzi wewe nimesema neno langu sio sheria hayo ninmaamuzi yangu na sababu zangu sasa ngonjera zinatoka wapi?Ngonjera tupu. Don't pretend that you know things better than others. Leave alone those who are still trading forex. Remember NOT EVERYTHING IS FOR EVERY ONE. FIND WHAT YOU CAN AFFORD TO DO BETTER.
matatizo tupu yaaaniWenyewe wanakwambia Forex is not for everyone.
Ngojea porojo na screenshot za profit toka Kwa Forex "professional traders" WA tz.
kwahiyo mwenzetu unasubiria kujenga gorofa na forex au sio? na wakat huohuo unaendelea kukomaa na maisha mengineHujui kitu ww.....kauze utumbo au maandazi FX haikufai market itakuwa ilikufua kweli kaa pembeni acha wanaume tufanye kazi
market direction is out in your control, trading rules is within in your control
so focus on what you can control.
kutumia lot size kubwa ukiwa na low capital ni sawa na kulala na mwanamke bila kinga ukamwamini hana virusi vya ukimwa, so muda wowote unageuzwa miguu juu kichwa chini au unaweza pata utamu pasipokupata virus
Hujui kitu ww.....kauze utumbo au maandazi FXhaujaelewa mada yangu ndugu na haujaelewa kapuku ni nani
house always win usipoelewa kanuni bado utaendelea kupigwa always, utavumilia na kupoteza muda utakuja kuamka ukiwa umekwisha chelewa
Mimi nafanya kazi at the same time nina trade...kwahiyo mwenzetu unasubiria kujenga gorofa na forex au sio? na wakat huohuo unaendelea kukomaa na maisha mengine
#nonsense
uko sahihi mzee mwanaume aliyewekewa limbwata na mke wake hawezi kujitambua hasilani,Hujui kitu ww.....kauze utumbo au maandazi FX
Mimi nafanya kazi at the same time nina trade...
you got that! haya mambo kama yamekupitia kushoto acha usilazimishe wengine wakufuate ww looser.......
waachie wengine wanaojua.....
usije pasuka mkyundu wote
Jana hiyo ww kiazi.....uko sahihi mzee mwanaume aliyewekewa limbwata na mke wake hawezi kujitambua hasilani,
biashara usiyoilewa hasara yake huwezi kujua unapoteza nini,
laiti ungejua thamani ya muda huwezwa kuthaminishwa na uwezo wa kufikiri basi ungejitambua pia.
samaki havuliwi feli mzee huyo hununuliwa jifunze kuelewa nyavu na bahari yako kabla haujajiona wewe ndio mvuvi hodari
SawaPOA mkuu, nipo kiti cha mbele hapa .
Aiseee umeharisha kinoma !Forex... forex.... forex, kuna mtu mwingine juzi humu kalialia sana kupoteza hela mpaka anamtukana demu wake aliemsaidia milioni 1 na nusu. Vijana mtapata ukichaa kwa hela za kwenye screen za simu na computer wanazowadanganya wazungu, hela ambazo sio tangible.. huishiki. Fanya kazi nyingine ongeza kipato chako bila stress za mitandao kuzima kama ilivyozimwa D9Clube.. mbona hela zipo kwingine kwingi tuuu? kwa nini mpende ukitonga wa hela nyepesi umekaa zenyewe zinakuja??? uliskia wapi hela inatafutwa hivyo? hela ifuate... hela kapigane ngumi na vijana wanakuibia... hela katoke jasho tukuone... hiyo ndo hela halali, na hela inakua tamu umeisotea... nenda kariakoo kalenge viatu, yebo za kanye, au nguo kauze mkoani huko mwanza, kigoma na mikoa mingine.. kapande Kisbo, Nyehunge.. kagombane na makonda wa mizigo... uspo pata hela njoo ututukane wote humu tumekudanganya. Usije kulia lia na mambo yenu ya forex au wale jamaa wa QNET kila muda goodmorning kama vichaa. Badilikeni ... tutawaskia wengi tuu wanakuja na hasira zao humu..
Transaction kama hii ya jana au!?Mkuu acha usanii weka transaction hizo kila mtu anaweza
Hapana ionyeshe hela imetoka kwa broker kuja benk,mpesa au wallets yoyote kama skill netteler
Natoa kwa Mpesa.....Hapana ionyeshe hela imetoka kwa broker kuja benk,mpesa au wallets yoyote kama skill netteler
ok weka details hizo sasa tuone za mihamala kutoka kwa broker kuja kwa mpesaNatoa kwa Mpesa.....
tena siku hiyo hiyo....
We endelea kukariri maisha tu uone wanao watakqvyo kuja kukushangaa uko mbeleni, alafu alekuambia fx Kuna pesa rahis Nani who told you hahaha unakesha usiku mzima kusubir confirmation ,unafikir no ku click tu so Kila mtu Angelia na lambo mjini hapa, fx sio kwa watu wenye roho laini laini hivi we unaweza endelea kuwa normal ilihali asubuh tu umetoka Kila loss ya 2000$+ mi nakumbuka sometime unapata had homa unalal mud huo huo fx is simple money in harsh way. Ila ukishamaster aisee fx ni tamu Sana Sana tu Ila msoto lazimaForex... forex.... forex, kuna mtu mwingine juzi humu kalialia sana kupoteza hela mpaka anamtukana demu wake aliemsaidia milioni 1 na nusu. Vijana mtapata ukichaa kwa hela za kwenye screen za simu na computer wanazowadanganya wazungu, hela ambazo sio tangible.. huishiki. Fanya kazi nyingine ongeza kipato chako bila stress za mitandao kuzima kama ilivyozimwa D9Clube.. mbona hela zipo kwingine kwingi tuuu? kwa nini mpende ukitonga wa hela nyepesi umekaa zenyewe zinakuja??? uliskia wapi hela inatafutwa hivyo? hela ifuate... hela kapigane ngumi na vijana wanakuibia... hela katoke jasho tukuone... hiyo ndo hela halali, na hela inakua tamu umeisotea... nenda kariakoo kalenge viatu, yebo za kanye, au nguo kauze mkoani huko mwanza, kigoma na mikoa mingine.. kapande Kisbo, Nyehunge.. kagombane na makonda wa mizigo... uspo pata hela njoo ututukane wote humu tumekudanganya. Usije kulia lia na mambo yenu ya forex au wale jamaa wa QNET kila muda goodmorning kama vichaa. Badilikeni ... tutawaskia wengi tuu wanakuja na hasira zao
Sijakuelewa Yani unataka niweke details zangu hapa!!?ok weka details hizo sasa tuone za mihamala kutoka kwa broker kuja kwa mpesa
Biashara yoyoyte Ile ina pande2 faida au hasara same applies to Forex
Upo sahihi Kwa mtazamo wako lakini pia wapo wanaomake money daily katika hiihii biashara unayoiona SIO
nakupa mfano mmoja mzuri mfatilie [emoji1666]Raja banks YouTube live during American session kila siku anatrade live anamake money live mkiona ukiamua kucopy mnawin pamoja ama mnaloose pamoja as well Ila mwisho wa wik ukipiga esabu loses Vs win unajiluta unaprofit zako