Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Nina hamu ya kupambana nakosa motivation.Kitaa waniambia ntaliwq tu
Kwenye maisha kila mtu ana namna yake ya kutoka, coz hatufanani malengo na mafanikio na wala njia ya kutoboa

Katika umri wetu tunapambana na kila fursa ila itakayokubali ndo hiyo hiyo

Ila jamii yetu kubwa ya Tanzania tumezaliwa before Technology, kwahyo vitu kama hivi lazima vionekane ni utapeli

Kina kitu kinaitwa stock market huko ndo jamii kubwa ya watu wa Ulaya wanaishi nayo hii, wanachokifanya ni kununua shares za makampuni mbalimbali na wanabaki kupata mgawo wao kila mwezi na maisha yao yanasonga hadi wajukuu wanakuja na kurithi zile shares walizonunua mababu zao.
 
So uliamua kabisa uanze na real gun ili ujue risasi ikikupiga inakupigaje. Big up Sana
ndio mkuu, nilitia dola 40, nikaizalisha mala tatu nikala faida then nikachomaa, so nachomaga sanaa na nishazoea kupoteza nachukulia ni sehemu ya maisha tu cha msingi afya njema,chakula,na sehemu ya kulala
 
learn all stuffs concerning speculations
 
Mkuu nikujibu kwaufupi tuu...,, mimi naweza sema nimoja ya traders ambao bwana ontario alianza kuutambulisha huu uzi hapa JF, nilifuatilia na kutrade real cash on forex nilichokuja kugundua ni kwamba brokers karibu wote duniani huwa wanaongeza spread katika platform zao ndio maana ukifungua trade inaanza na negative iwe position yoyote either selling au buying, nalapili soko lake huwa halieleweki anaweza akazungumza tajiri mmoja juu ya pair flan akageuza upepo wa soko nzima ukaishia kupata losses za kufa mtu mfano mzuri ni bwana trump one of the big forex trader, mfano mzuri ni bwana waren buffet alivyogeuza soko la BTC likashuka mpaka dolla 3000 toka dola 10000 iliyokuwa awali. Toka kipindi hcho nikajua tuu forex is meant for big traders sio sehemu ya kutoka kimaisha,,,,, ni mara mia ufanye treasury bills au mtu ujifunze madini uweze kuyatambua realness yake na fakeness yake ununue huko weka ndani wait for price iwe kubwa then uza. Na sivinginevyo....,,, au fanya biashara isimamie pesa vzuri, funga mkanda, utatoboa kimaisha lakini cryptocurrecy, forex not for people who are looking for succeess on it. Hayo ni mawazo yangu mkuu
 
"A forex trading is a job not a cassino,a forex trader that approach a forex market as a gambler or addict to money won't get a fortune".
-katika biashara yoyote ile Utafanikiwa mapema Kama utawekeza katika MAARIFA,katika biashara yoyote ile ni vyema TAMAA isizidi JITIHADA.
By NDORANGA
 
Umefunga thread mkuu. Wabongo sijui tutafungua lini vichwa asee yani bado tupo karne ya 19 hahhaa kuna madogo wanapiga mpunga mrefu kwa hizi mambo sasa akiambiwa mambo ya NFT si atakimbilia kijijini.
Karne ya 19 au sio😂
 
Ontario akamatwe afungwe jiwe kubwa sana shingoni atupwe baharin tena katikati ya bahari.. wakat anatupwa baharin apigwe bisibisi ya kichwa.
 
Ontario akamatwe afungwe jiwe kubwa sana shingoni atupwe baharin tena katikati ya bahari.. wakat anatupwa baharin apigwe bisibisi ya kichwa.
propesa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu husemagi n kwann akamatwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…