Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jinsi nilivyo siwezi fanya biashara kwa myaka minne nikiwa napata hasara tu bila kuiyacha iyo biashara mahna akili yangu iko faster Sana kua na plan B .. iyo forex mnayo sema Kuna jamaa yangu anakomaa nayo ila mwisho wasiku anachokijua nikupiga watu mizinga kitaa .. . Sisemi Ni mbaya ila Maisha nimafupi na time is money .. unaisoma for 4 years una practice for more than 2 years unaingiza pesa yako na bado unaliwa mbaya .. huu si mchezo wa bahati na sibu ? Exactly Ni Bonanza kabisa Sasa Kama moja ya vigezo vya brokers nikua na sifa za utapeli so WTF is going on here [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na bado utatamani uingie ibadani ? Kwa uwelewa wangu mdogo iyo forex inafaa ucheze ukiwa tajiri ili Kama utafaidika Bas na upige mpunga zaidi .. na siyo kua Hood Hustler et utegemee ku win utachoma myaka na myaka .. acheni izi story za eti fulani anagorofa Ana magari kupitia hii issue unauwakika gani kua Ni iyo iyo issue , Unafaamu asili yake ukoo wake life style yake elimu yake Imani yake ? Acheni izo Mambo kitu Kama huoni faida yake for years .. kwanini uendelee kuchoma myaka akati Dem wako akizengua kwa siku moja tu unapiga chini why kwenye forex ? it means mko addicted fr fr [emoji16]Agiza mirinda nyeusi ya baridi au pepsi big nakuja kulipia mzeee
umemaliza kila kitu ila bado wabishi tuuu
tulia mtoto mzuri wewe.Kwa jinsi nilivyo siwezi fanya biashara kwa myaka minne nikiwa napata hasara tu bila kuiyacha iyo biashara mahna akili yangu iko faster Sana kua na plan B .. iyo forex mnayo sema Kuna jamaa yangu anakomaa nayo ila mwisho wasiku anachokijua nikupiga watu mizinga kitaa .. . Sisemi Ni mbaya ila Maisha nimafupi na time is money .. unaisoma for 4 years una practice for more than 2 years unaingiza pesa yako na bado unaliwa mbaya .. huu si mchezo wa bahati na sibu ? Exactly Ni Bonanza kabisa Sasa Kama moja ya vigezo vya brokers nikua na sifa za utapeli so WTF is going on here [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na bado utatamani uingie ibadani ? Kwa uwelewa wangu mdogo iyo forex inafaa ucheze ukiwa tajiri ili Kama utafaidika Bas na upige mpunga zaidi .. na siyo kua Hood Hustler et utegemee ku win utachoma myaka na myaka .. acheni izi story za eti fulani anagorofa Ana magari kupitia hii issue unauwakika gani kua Ni iyo iyo issue , Unafaamu asili yake ukoo wake life style yake elimu yake Imani yake ? Acheni izo Mambo kitu Kama huoni faida yake for years .. kwanini uendelee kuchoma myaka akati Dem wako akizengua kwa siku moja tu unapiga chini why kwenye forex ? it means mko addicted fr fr [emoji16]
Kwa jinsi nilivyo siwezi fanya biashara kwa myaka minne nikiwa napata hasara tu bila kuiyacha iyo biashara mahna akili yangu iko faster Sana kua na plan B .. iyo forex mnayo sema Kuna jamaa yangu anakomaa nayo ila mwisho wasiku anachokijua nikupiga watu mizinga kitaa .. . Sisemi Ni mbaya ila Maisha nimafupi na time is money .. unaisoma for 4 years una practice for more than 2 years unaingiza pesa yako na bado unaliwa mbaya .. huu si mchezo wa bahati na sibu ? Exactly Ni Bonanza kabisa Sasa Kama moja ya vigezo vya brokers nikua na sifa za utapeli so WTF is going on here [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na bado utatamani uingie ibadani ? Kwa uwelewa wangu mdogo iyo forex inafaa ucheze ukiwa tajiri ili Kama utafaidika Bas na upige mpunga zaidi .. na siyo kua Hood Hustler et utegemee ku win utachoma myaka na myaka .. acheni izi story za eti fulani anagorofa Ana magari kupitia hii issue unauwakika gani kua Ni iyo iyo issue , Unafaamu asili yake ukoo wake life style yake elimu yake Imani yake ? Acheni izo Mambo kitu Kama huoni faida yake for years .. kwanini uendelee kuchoma myaka akati Dem wako akizengua kwa siku moja tu unapiga chini why kwenye forex ? it means mko addicted fr fr [emoji16]
If you can't do it ,it doesn't mean it can't be done . Tulia lima migomba kwa wingi utapata zote ni njia za kuhastleKwa jinsi nilivyo siwezi fanya biashara kwa myaka minne nikiwa napata hasara tu bila kuiyacha iyo biashara mahna akili yangu iko faster Sana kua na plan B .. iyo forex mnayo sema Kuna jamaa yangu anakomaa nayo ila mwisho wasiku anachokijua nikupiga watu mizinga kitaa .. . Sisemi Ni mbaya ila Maisha nimafupi na time is money .. unaisoma for 4 years una practice for more than 2 years unaingiza pesa yako na bado unaliwa mbaya .. huu si mchezo wa bahati na sibu ? Exactly Ni Bonanza kabisa Sasa Kama moja ya vigezo vya brokers nikua na sifa za utapeli so WTF is going on here [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na bado utatamani uingie ibadani ? Kwa uwelewa wangu mdogo iyo forex inafaa ucheze ukiwa tajiri ili Kama utafaidika Bas na upige mpunga zaidi .. na siyo kua Hood Hustler et utegemee ku win utachoma myaka na myaka .. acheni izi story za eti fulani anagorofa Ana magari kupitia hii issue unauwakika gani kua Ni iyo iyo issue , Unafaamu asili yake ukoo wake life style yake elimu yake Imani yake ? Acheni izo Mambo kitu Kama huoni faida yake for years .. kwanini uendelee kuchoma myaka akati Dem wako akizengua kwa siku moja tu unapiga chini why kwenye forex ? it means mko addicted fr fr [emoji16]
Kila biashara haiwezi kwenda vile unavyotaka, maana kuna ushindani ata huko forex lazima uwepo baina ya wauzaji na wanunuzi. Kikubwa ukikiheshimu unachofanya kitakupa faida ata baada ya mwaka, miaka. Ngoja sisi tuendelee kuuza tofali tuu
Unatumia bank gani
Equity BankKila biashara haiwezi kwenda vile unavyotaka, maana kuna ushindani ata huko forex lazima uwepo baina ya wauzaji na wanunuzi. Kikubwa ukikiheshimu unachofanya kitakupa faida ata baada ya mwaka, miaka. Ngoja sisi tuendelee kuuza tofali tuu
Unatumia bank gani?
Sijasema it can't be done .. u can absolutely make it if u play smart .. now my issue z to those who wanna succeed through it but there an't any sign for them to win .. why shouldn't they try something else than spending a lot of time on the same hard sh*t ..? kumiliki mashamba was one of my dream now it's time to make it possible .. forex is good .. but isiwe sababu yakuto kufanya vituvingine Kama unauwezo .. ukitegemea kitu kimoja tu siku kikikuzingua utarudi kweny umande bila kutarajia .. Kuna watu Wana ma office ma kubwa tu town apa .. ila utakuta pia Wana ma ng'ombe .. Wana mashamba wengine Wana majumba yakupangisha .. etc .. to be rich needs to do more than one thing..If you can't do it ,it doesn't mean it can't be done . Tulia lima migomba kwa wingi utapata zote ni njia za kuhastle
then those who can't do when they talk usiwaingilie usipokuwa na uhakika wa utofauti wa matokeo yako.If you can't do it ,it doesn't mean it can't be done . Tulia lima migomba kwa wingi utapata zote ni njia za kuhastle
we ni pimbiMkuu mpaka na wish nikupe bia mbili ama kuku choma ama sato choma mzima.
Ila umemaliza.
Kijana anatakiwa afikirie kuwa trader for 20yrs to come.
Wengi hapa patience huwa hawawezi.
FOREX & CURRENCIES TRADING FOREX TRADING STRATEGY & EDUCATION
Interbank Market
By
ADAM HAYES
Updated Jun 9, 2021
What Is the Interbank Market?
The interbank market is a global network utilized by financial institutions to trade currencies and other currency derivatives directly between themselves. While some interbank trading is done by banks on behalf of large customers, most interbank trading is proprietary, meaning that it takes place on behalf of the banks' own accounts. Banks use the interbank market to manage their own exchange rate and interest rate risk as well as to take speculative positions based on research.
The interbank market is a subset of the interdealer market, which is an over-the-counter (OTC) venue where financial institutions can trade a variety of asset classes among one another and on behalf of their clients, often facilitated by interdealer brokers (IDBs).
Wewe ni bonge la Genius mkuu. Hukutakiwa kuzaliwa Afrika nduguwe ni pimbi
biashara gani ufaidike baada ya 20years kama sio kichaa
Kama imekushinda tulia unawavunja morali wanaoanzathen those who can't do when they talk usiwaingilie usipokuwa na uhakika wa utofauti wa matokeo yako.
unafanya kama walokole tu yaani wanahubiri mungu anahuruma ila hawaendi kuwaombea wenye shida kweli wapate huruma hiyo
ha ha ha ha ha
Nawaza kwa sauti, "Inachukua muda gani kujua kama forex imekushinda, maana nina miaka 3 kwenye hii biashara ila nakula za uso sana tena sanaa licha kuwa maarifa na uzoefu juu ya Forex...Nawajua watu wanaishi kwa forex tu na hawapo hata huko insta wala kujionyesha wewe kama imekushinda kama mimi kaa kwa kutulia mkuu [emoji23]sio kwa ajili yetu.
Kushindwa kutrade forex kwa mafanikio siyo suala la muda gani umetumia kwenye forex bali kushindwa kutrade forex profitably and consistently ni zao la kutokuwa na 1. Trading plan na hivyo kuifanya forex kuwa kama gambling machine (REMEMBER: If you fail to plan, you are planning to fail) 2. Elimu na ufahamu shahihi na wa kutosha kuhusu forex 3. Trading strategy yako mwenyewe na ambayo umeitest na kuprove kwamba ina win ratio kubwa. KWANGU MIMI UKIKOSA MOJAWAPO YA HAYO AU YOTE BASI WEWE NENDA TU KACHIMBE CHUMVI UVINZA.Nawaza kwa sauti, "Inachukua muda gani kujua kama forex imekushinda, maana nina miaka 3 kwenye hii biashara ila nakula za uso sana tena sanaa licha kuwa maarifa na uzoefu juu ya Forex...
Asante sana kwa hints kiongozi, nazifanyia kazi...Kushindwa kutrade forex kwa mafanikio siyo suala la muda gani umetumia kwenye forex bali kushindwa kutrade forex profitably and consistently ni zao la kutokuwa na 1. Trading plan na hivyo kuifanya forex kuwa kama gambling machine (REMEMBER: If you fail to plan, you are planning to fail) 2. Elimu na ufahamu shahihi na wa kutosha kuhusu forex 3. Trading strategy yako mwenyewe na ambayo umeitest na kuprove kwamba ina win ratio kubwa. KWANGU MIMI UKIKOSA MOJAWAPO YA HAYO AU YOTE BASI WEWE NENDA TU KACHIMBE CHUMVI UVINZA.