Kilichopo nyuma ya mzozo wa Niger vs ECOWAS, EU na Nigeria

Kilichopo nyuma ya mzozo wa Niger vs ECOWAS, EU na Nigeria

Hivi nikwanini
Sababu kubwa mbili
-Uranium (Marekani na EU ndio wanufaika wakuu wa uranium ya Niger ,sasa Serikali mpya imefunga uuzwaji wa uranium kwa Marekani na ulaya)

-Trans Saharan Gas Pipeline, ni mradi wa kutoa gasi Nigeria to Europe kama sehemu ya kutafuta mbadala wa gesi ya Russia, Niger ni sehemu ya mradi huo (kupitisha bomba).

Hivi vitu viwili vimewaumiza sana na ubaya zaidi Urusi imeonekana kuinga mkono na Nina wasi wasi hata haya mapinduzi yameratibiwa na Putin

Nigeria yeye amekasirika kwasababu amepotezewa ugali wake wa kuwauzia gesi ulaya, EU nao kama mradi usipo fanyika utawafanya kuwa tegemezi na gesi ya mrusi (Hawana mbadala) , Marekani anataka kumualibia Urusi na kuwasaidia rafiki zake EU
 
Sababu kubwa mbili
-Uranium (Marekani na EU ndio wanufaika wakuu wa uranium ya Niger ,sasa Serikali mpya imefunga uuzwaji wa uranium kwa Marekani na ulaya)

-Trans Saharan Gas Pipeline, ni mradi wa kutoa gasi Nigeria to Europe kama sehemu ya kutafuta mbadala wa gesi ya Russia, Niger ni sehemu ya mradi huo (kupitisha bomba).

Hivi vitu viwili vimewaumiza sana na ubaya zaidi Urusi imeonekana kuinga mkono na Nina wasi wasi hata haya mapinduzi yameratibiwa na Putin

Nigeria yeye amekasirika kwasababu amepotezewa ugali wake wa kuwauzia gesi ulaya, EU nao kama mradi usipo fanyika utawafanya kuwa tegemezi na gesi ya mrusi (Hawana mbadala) , Marekani anataka kumualibia Urusi na kuwasaidia rafiki zake EU

Russia alishatibua Syria kupita kwa Bomba kutoka Qatar acha tuone hapa Niger EU nyuma ya mgongo wa ECOWAS watafanya nini.
 
Sababu kubwa mbili
-Uranium (Marekani na EU ndio wanufaika wakuu wa uranium ya Niger ,sasa Serikali mpya imefunga uuzwaji wa uranium kwa Marekani na ulaya)

-Trans Saharan Gas Pipeline, ni mradi wa kutoa gasi Nigeria to Europe kama sehemu ya kutafuta mbadala wa gesi ya Russia, Niger ni sehemu ya mradi huo (kupitisha bomba).

Hivi vitu viwili vimewaumiza sana na ubaya zaidi Urusi imeonekana kuinga mkono na Nina wasi wasi hata haya mapinduzi yameratibiwa na Putin

Nigeria yeye amekasirika kwasababu amepotezewa ugali wake wa kuwauzia gesi ulaya, EU nao kama mradi usipo fanyika utawafanya kuwa tegemezi na gesi ya mrusi (Hawana mbadala) , Marekani anataka kumualibia Urusi na kuwasaidia rafiki zake EU
Umeliweka vizuri sana, kazi ipo
 
Kama ulikuwa unajiuliza Kwanini UN,EU ,NATO, Nigeria na Marekani zipo so aggressive kwa kile kinacho endelea west Africa hasa Niger ngoja sasa nikuambie kwa ufupi.

Baada ya mzozo wa Ukraine na Russia nadhan utakuwa unakumbuka EU iliweka vikwazo vya kutonunua gesi ya mrusi , lakini baadae kikwazo hiko kikaja kuwa ni mtihan mzito kwa baadhi ya wanachama wa EU kwa ufupi ilishindikana.

Sasa baada ya kukaa chini na kufikiri kwa kina wakaja na mkakati wa kutafuta mbadala wa gesi ya mrusi, ndipo wakaigeukia Africa ikaandaliwa project ya Trans Saharan Gas Pipeline ambayo itasafirisha gesi kutoka Nigeria to Europe

Niger ilikuwa sehemu ya mradi huo ambao ungesaidia EU kureplace gesi ya Urusi.

sasa kwa situation unayoendelea sasa ni wazi kwamba mpango huo utacheleweshwa au usiwepo kabisa kwasababu tayari Russia inanekana imeshatia mikono maana juzi tu viongizi wa Africa walienda Russia na mara mapindizi na sasa inahofiwa Wagner group(Russia kwa kivuli Cha Wagner) inaweza kupewa mkataba wa ulinzi Niger

Hali inayoendelea sasa kwenye mzozo wa Niger.

-Niger, Mali, na Burkina Faso walikuwa na mkutano nchini Mali kujadili uwezekano wa kutumwa kwa haraka kwa vikosi vya WAGNER nchini humo.
- UN imeipa green light ECOWAS kuingia Niger .
-EU ipo tayari kuisadia ECOWAS kubabiliana na Niger.
-Nigeria imetuma jeshi lake la anga hadi kwenye mpaka wa Niger.
-Marekani inashusha shehena za silaha kuizunguka Niger na ndege zake za kivita na zimetayarishwa kwa mashambulizi (Marekani Ina askari wake 10k wapo Niger)

Hii vita ni kubwa kuliko unavyofikiria ni vita vya kupigania maslahi zaidi.
Hapo bado hujagusia umuhimu wa Niger katika kuzalisha madini ya Uranium duniani, na umuhimu wa Uranium katika kutengeneza nishati na mabomu ya nyuklia.
 
hakuna Vita itakayopiganwa , Mali, Niger na bukinafaso wamekubaliana kuungana kijeshi endapo ECOWAS watafanya uvamizi , piga hesabu nchi 3 zikiungana kijeshi hiyo Vita yake itasambaa na kuwa Vita kubwa , halafu hapo hapo Russia na marafiki zake lazima watawasaidia niger ,nigeria anaweza kujikuta anapigwa nje ndani , bokoharam nao watapata mwanya wa kuanzisha Vita Nigeria .
 
Hata kule Misri alipopinduliwa Morsi hawakupeleka vikosi, je na Misri naye hakuwa na cha kutoa ?
Misri ana kitu gani cha maana zaidi ya kuwa strategic area?
Lakini pia, kwanini mapinduzi ya Misri yameefadhiliwa na kuratibiwa na West. Kwahiyo, USA & Co hakuwa na sababu ya kufanya hiki anachokifanya pale Niger. Tatu na mwisho, Russia hakua na interest pale Misri, so hakuona umuhimu wa kupeleka kuingilia mzozo huu.
 
Back
Top Bottom