Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Watu wanajiona kama wanamjua celebrity, kama rafiki yao, kama ndugu yao.huko mtaani kume kuwa na watu wengi Wana mahusiano ya hovyo, ila huta sikia yaki waki zungumziwa kupita kiasi.
ila kisa ni celebrity, ndio mna jipa uhuru wa kuwa pangia lipi ni bora!.
grow up little fella, the world and it's people doesn't revolve or evolve around you.
Wakati hawamjui na yeye hawajui.