Kilichotokea kwa Aziz Ki kimenifanya niamini kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa kibongo wanatumia ndumba kwenye mahusiano

Kilichotokea kwa Aziz Ki kimenifanya niamini kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa kibongo wanatumia ndumba kwenye mahusiano

Hamna cha ushirikina au ndumba, ni tamaa za wanaume kufikiri kwamba wanawake wana jipya la kuwapa, ingekua hivo Mo na Bakresa kila wiki wangekua wana oa wa bongo wenye kufanya ndumba.
MKuu hebu kirudie kusoma vizuri ulichoandika sio kwa ubaya lakini
 
Hivi kuna staa gani mwingine zaidi ya samata maana siwajui😅😅
Ustaa wa mtu unategemea watu walivyoamua kujitoa ufahamu kumpamba kupitia vyombo vya habari. Sometimes kukidhi malengo yao.

Yeyote anaweza kuwa staa tu kulingana na mitizamo
 
Hii nchi ina watu wa hovyo! wanaoana wengine maumivu wanapata wengine
 
Kuna watu wanaandika kama wamekasirika walitaka waolewe wao vile.

Waachieni watu waoe au waolewe wanavyotaka.

Kuwaingilia kwenye maamuzi yao hayo ni ushamba tu.
Labda wanaona waoaji wenye mbwembwe kubwa mfano wa Azizi K wanaharibu soko lo ndoa kwa kupandisha juu sana maturation ya mabinti.
 
Mbaya zaidi jamaa ametoa mshahara wake mmoja tu kufanikisha yote yanayowaumiza,muache apigike hela zikiisha ndio atakumbuka offer zote alizokataa,once dawa zikiisha tu.
 
ugonile,

Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju

Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti wanamwendea kwa mganga ili wasiachike, wapo tayari kuwashirikisha hata mama zao ilo suala ili mambo yaende sawa. nakumbuka nmewahi kuwa na demu kutokea mbeya huko alitaka kuniletea huu upuuzi nikagundua mapema nikampiga chini.

Wanawake wa kibongo wakipata jimbo jipya lenye vijisenti au lipo kitengo wapo radhi wakope pesa kikoba wafunge safari na shoga zao kutafuta mganga wa kuweza kuwasaidia kushikilia ilo jimbo pasina kutiliwa shaka wala vikwazo vyovyote.

Wanaume wenzangu tuweni makini sana na hawa dada zetu, kwa ambao mlikua hamjui ayo mambo naisi mmejionea wenyewe kupitia Aziz Ki.

imagine mahari eti fuso mbili za ng`ombe na kama haitoshi akaongeza tena pesa taslim milioni 30, aisee huu ni uchawi wa kiwango cha SGR

STAY ALERT.!
Sio kila Ndoa ni Ndoa nyingine ni "MUVI"
 
Back
Top Bottom