Kilichotokea usiku huu kimenisikitisha sana, life is not fair

Amka ukojoe ulale uendelee kuota,na inaoneka kabla ya kulala ulivuta bangi na hukula.
 
Wewe utakuwa uvccm sio Kwa Akili hizi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama sio mhaya huyu sijui
 
Aahaaaaaaaaaa
 
Me nilikuwa pembeni hapo.... Sema sikuelewa scenario nzima
 
Shusha episode tajiri [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jeiefu inataka kuwa "the home of fools" anyway shukrani kwa kutuburudisha kwa story yako ya mchongo [emoji4]
 
Me nilikuwa pembeni hapo.... Sema sikuelewa scenario nzima
Cha ajabu watu wanasema nilikuwa naota, πŸ˜‚, acha ninyamaze tu.., maana hadi naambiwa nimeshusha hadhi ya ID yangu, wakati nimeandika ukweli mtupu, hadi moyo unauma yani
 
Jeiefu inataka kuwa "the home of fools" anyway shukrani kwa kutuburudisha kwa story yako ya mchongo [emoji4]
Bro mimi sidanganyi, ujue naumia sana kuitwa muongo, hujui tu, yaani janaa aliporudicna burungutu la milioni moja hata mimi sikuamini, tena akaniweka wazi kwamba alienda kwenye ATM akatoa 400k, 400k halafu. 200k ilimradi tu ifike 1mil.., mimi sidanganyi jamani, daah
 
KWA TABIA ZENU ZA KULALA NA KUOTA NDOTO KAMA HIZI HATUTAACHA KUWAPASULIA MAYAI KWENYE MAKALIO YENU. MNAOTA NDOTO ZA KIPUMBAVU. SISI MIAKA YETU TULIKUWA TUNAOTA TUNAPIGA MZIGO. WEWE UNAOTA UNALIWA....
 
KWA TABIA ZENU ZA KULALA NA KUOTA NDOTO KAMA HIZI HATUTAACHA KUWAPASULIA MAYAI KWENYE MAKALIO YENU. MNAOTA NDOTO ZA KIPUMBAVU. SISI MIAKA YETU TULIKUWA TUNAOTA TUNAPIGA MZIGO. WEWE UNAOTA UNALIWA....
Sasa bro uwe na heshima, mi nikikutukana mara moja tu, utatafuta kaburi ujifukie.
 
Sasa bro uwe na heshima, mi nikikutukana mara moja tu, utatafuta kaburi ujifukie.
Aaaargh.... Kunitukana? Mbona siyo issue. Tukana hata mara 10000000000.mi nlidhani unasema utanidhuru. Mi matusi nshatukanwa sana na mengine watu wanatunga mapya. Sitoacha kuwaambia kama mnaaandika upuuzi. Zamani JF ilikuwa na heshima. Siku hizi mna imagine vitu vya kipumbavu mnaleta huku. Hivyo kabisa. Maza fanta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…