King Nathan
Member
- Mar 8, 2023
- 17
- 19
Uzi wako umenifurahisha sana ndugu, nakushauri soma kitabu cha Alpha male utakuja kunishukuru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro nakuonya, please, utanichukia nakwambia, eeehAaaargh.... Kunitukana? Mbona siyo issue. Tukana hata mara 10000000000.mi nlidhani unasema utanidhuru. Mi matusi nshatukanwa sana na mengine watu wanatunga mapya. Sitoacha kuwaambia kama mnaaandika upuuzi. Zamani JF ilikuwa na heshima. Siku hizi mna imagine vitu vya kipumbavu mnaleta huku. Hivyo kabisa. Maza fanta
Inavyoonyesha ilikuwa ni mkutano wa wajinga wawili🏃🏃Nilifika sehemu kwa ajili ya kujipumzisha na kupata moja moto moja baridi baada ya mizunguko ya siku nzima.
Moja kwa moja nilifika counter nikachukua castle lite baridi, nikalipa elfu mbili tu safi, nikazungusha macho huku na kule nione wapi nitakaa, sehemu ilikuwa imejaa kidogo, ila nikaona nafasi ya kukaa karibu na mrembo fulani hivi, nikaona very good, bia itashuka vizuri hapo.
Kweli bhana nikakaa, opposite na sisi upande wa pili wa meza kuna mrembo mwingine yupo na ka-boy friend kake, nikasema very good, patakuwa na utulivu hapa nilipokaa.
Sasa wakati naendelea kulainisha koo kale kajamaa kenye kademu kake kakaagiza kilevi flani cha gharama sana, hadi moyo ukanilipuka, na nikaona kabisa anafanya vile makusudi kunivuruga kisaikolojia, alilipa kama dollar 300 hivi, just imagine, what the f***
Jamaa akaenda toilet, kale kademu kake kakagundua nimefadhaika flani hivi, akaweka kile kilevi kwenye glass, akachanganya na barafu kisha akaweka cocacola kidogo, halafu akanipasia, sasa nikajiuliza, niikubali au niikatae, sikutaka kufanya maringo, nikachukua nikaanza kusip, no big deal.
Baada ya dakika kadhaa jamaa akarudi, tukaendelea kupata, baada ya dakika kadhaa yule dada wa pembeni yangu tukaanza mazungumzo, kumbe ni rafiki wa demu wa jamaa, na inaonekana hataki afanye mazoea na mtu, nikaona bullshit, huu udhalilishaji, nikatoa noti ya msimbazi nikamchapa nayo usoni yule dada kama kumtania hivi, hee, jamaa kuona vile akachomoa wallet, akatoa misimbazi kama mitano hivi, na yeye akamtandika nazo usoni yule dada.., what the f***
Unyonge nauchukia sana, nikachomoa kama 30 hivi, nikamchapa nazo usoni kale kademu kake, jamaa kama akaparalyse hivi. Jamaa akainuka kama kasusa anaondoka, kumbe bhana kaenda kwenye ATM, baada ya dakika kadhaa karudi na burungutu la noti, nadhani ni milioni ile, akataka anitandike nazo usoni, demu wake akamuwahi akazichukua na kuzikunjia kwapani, what the f***
Akawa hajaridhika, akaenda kwenye gari lake, akarudi na burungutu la noti za dollar mia mia , kama sio milioni 10 zile sijui, akanipiga nazo usoni.., watu wakagombania pale mi nimezubaa tu nazidi kuchanyikiwa na huyu mbwa ni wa wapi? What the f***
Nikamwambia broo, habari zisiwe nyingi, weka salio lako la Simbanking juu ya meza na mimi niweke langu, tumalize mzozo, nikaweka yangu, haikuwa haba.., na nikasema akiweza kuilipa hii, naondoka naenda kulala, jamaa akaweka salio la dollar accout, its an 8 figure dollar account, life is not fair, nimerudi tu nyumbani kulala, ujinga huu!!
Aaaargh.... Kunitukana? Mbona siyo issue. Tukana hata mara 10000000000.mi nlidhani unasema utanidhuru. Mi matusi nshatukanwa sana na mengine watu wanatunga mapya. Sitoacha kuwaambia kama mnaaandika upuuzi. Zamani JF ilikuwa na heshima. Siku hizi mna imagine vitu vya kipumbavu mnaleta huku. Hivyo kabisa. Maza fantaBro nakuonya, please, utanichukia nakwambia, eeeh
Nilifika sehemu kwa ajili ya kujipumzisha na kupata moja moto moja baridi baada ya mizunguko ya siku nzima.
Moja kwa moja nilifika counter nikachukua castle lite baridi, nikalipa elfu mbili tu safi, nikazungusha macho huku na kule nione wapi nitakaa, sehemu ilikuwa imejaa kidogo, ila nikaona nafasi ya kukaa karibu na mrembo fulani hivi, nikaona very good, bia itashuka vizuri hapo.
Kweli bhana nikakaa, opposite na sisi upande wa pili wa meza kuna mrembo mwingine yupo na ka-boy friend kake, nikasema very good, patakuwa na utulivu hapa nilipokaa.
Sasa wakati naendelea kulainisha koo kale kajamaa kenye kademu kake kakaagiza kilevi flani cha gharama sana, hadi moyo ukanilipuka, na nikaona kabisa anafanya vile makusudi kunivuruga kisaikolojia, alilipa kama dollar 300 hivi, just imagine, what the f***
Jamaa akaenda toilet, kale kademu kake kakagundua nimefadhaika flani hivi, akaweka kile kilevi kwenye glass, akachanganya na barafu kisha akaweka cocacola kidogo, halafu akanipasia, sasa nikajiuliza, niikubali au niikatae, sikutaka kufanya maringo, nikachukua nikaanza kusip, no big deal.
Baada ya dakika kadhaa jamaa akarudi, tukaendelea kupata, baada ya dakika kadhaa yule dada wa pembeni yangu tukaanza mazungumzo, kumbe ni rafiki wa demu wa jamaa, na inaonekana hataki afanye mazoea na mtu, nikaona bullshit, huu udhalilishaji, nikatoa noti ya msimbazi nikamchapa nayo usoni yule dada kama kumtania hivi, hee, jamaa kuona vile akachomoa wallet, akatoa misimbazi kama mitano hivi, na yeye akamtandika nazo usoni yule dada.., what the f***
Unyonge nauchukia sana, nikachomoa kama 30 hivi, nikamchapa nazo usoni kale kademu kake, jamaa kama akaparalyse hivi. Jamaa akainuka kama kasusa anaondoka, kumbe bhana kaenda kwenye ATM, baada ya dakika kadhaa karudi na burungutu la noti, nadhani ni milioni ile, akataka anitandike nazo usoni, demu wake akamuwahi akazichukua na kuzikunjia kwapani, what the f***
Akawa hajaridhika, akaenda kwenye gari lake, akarudi na burungutu la noti za dollar mia mia , kama sio milioni 10 zile sijui, akanipiga nazo usoni.., watu wakagombania pale mi nimezubaa tu nazidi kuchanyikiwa na huyu mbwa ni wa wapi? What the f***
Nikamwambia broo, habari zisiwe nyingi, weka salio lako la Simbanking juu ya meza na mimi niweke langu, tumalize mzozo, nikaweka yangu, haikuwa haba.., na nikasema akiweza kuilipa hii, naondoka naenda kulala, jamaa akaweka salio la dollar accout, its an 8 figure dollar account, life is not fair, nimerudi tu nyumbani kulala, ujinga huu!!
Ukiishiwa ndoto nyingi huwa hivi
Bro, nina miaka 10 hapa JF, leta uzixmmoja tu ambao mimi nimefanya mzaha
Let's take this story at face value.Nilifika sehemu kwa ajili ya kujipumzisha na kupata moja moto moja baridi baada ya mizunguko ya siku nzima.
Moja kwa moja nilifika counter nikachukua castle lite baridi, nikalipa elfu mbili tu safi, nikazungusha macho huku na kule nione wapi nitakaa, sehemu ilikuwa imejaa kidogo, ila nikaona nafasi ya kukaa karibu na mrembo fulani hivi, nikaona very good, bia itashuka vizuri hapo.
Kweli bhana nikakaa, opposite na sisi upande wa pili wa meza kuna mrembo mwingine yupo na ka-boy friend kake, nikasema very good, patakuwa na utulivu hapa nilipokaa.
Sasa wakati naendelea kulainisha koo kale kajamaa kenye kademu kake kakaagiza kilevi flani cha gharama sana, hadi moyo ukanilipuka, na nikaona kabisa anafanya vile makusudi kunivuruga kisaikolojia, alilipa kama dollar 300 hivi, just imagine, what the f***
Jamaa akaenda toilet, kale kademu kake kakagundua nimefadhaika flani hivi, akaweka kile kilevi kwenye glass, akachanganya na barafu kisha akaweka cocacola kidogo, halafu akanipasia, sasa nikajiuliza, niikubali au niikatae, sikutaka kufanya maringo, nikachukua nikaanza kusip, no big deal.
Baada ya dakika kadhaa jamaa akarudi, tukaendelea kupata, baada ya dakika kadhaa yule dada wa pembeni yangu tukaanza mazungumzo, kumbe ni rafiki wa demu wa jamaa, na inaonekana hataki afanye mazoea na mtu, nikaona bullshit, huu udhalilishaji, nikatoa noti ya msimbazi nikamchapa nayo usoni yule dada kama kumtania hivi, hee, jamaa kuona vile akachomoa wallet, akatoa misimbazi kama mitano hivi, na yeye akamtandika nazo usoni yule dada.., what the f***
Unyonge nauchukia sana, nikachomoa kama 30 hivi, nikamchapa nazo usoni kale kademu kake, jamaa kama akaparalyse hivi. Jamaa akainuka kama kasusa anaondoka, kumbe bhana kaenda kwenye ATM, baada ya dakika kadhaa karudi na burungutu la noti, nadhani ni milioni ile, akataka anitandike nazo usoni, demu wake akamuwahi akazichukua na kuzikunjia kwapani, what the f***
Akawa hajaridhika, akaenda kwenye gari lake, akarudi na burungutu la noti za dollar mia mia , kama sio milioni 10 zile sijui, akanipiga nazo usoni.., watu wakagombania pale mi nimezubaa tu nazidi kuchanyikiwa na huyu mbwa ni wa wapi? What the f***
Nikamwambia broo, habari zisiwe nyingi, weka salio lako la Simbanking juu ya meza na mimi niweke langu, tumalize mzozo, nikaweka yangu, haikuwa haba.., na nikasema akiweza kuilipa hii, naondoka naenda kulala, jamaa akaweka salio la dollar accout, its an 8 figure dollar account, life is not fair, nimerudi tu nyumbani kulala, ujinga huu!!
Umeandiaka vzr ila umeandika uongo mwingi wa siyo kufikiria aNilifika sehemu kwa ajili ya kujipumzisha na kupata moja moto moja baridi baada ya mizunguko ya siku nzima.
Moja kwa moja nilifika counter nikachukua castle lite baridi, nikalipa elfu mbili tu safi, nikazungusha macho huku na kule nione wapi nitakaa, sehemu ilikuwa imejaa kidogo, ila nikaona nafasi ya kukaa karibu na mrembo fulani hivi, nikaona very good, bia itashuka vizuri hapo.
Kweli bhana nikakaa, opposite na sisi upande wa pili wa meza kuna mrembo mwingine yupo na ka-boy friend kake, nikasema very good, patakuwa na utulivu hapa nilipokaa.
Sasa wakati naendelea kulainisha koo kale kajamaa kenye kademu kake kakaagiza kilevi flani cha gharama sana, hadi moyo ukanilipuka, na nikaona kabisa anafanya vile makusudi kunivuruga kisaikolojia, alilipa kama dollar 300 hivi, just imagine, what the f***
Jamaa akaenda toilet, kale kademu kake kakagundua nimefadhaika flani hivi, akaweka kile kilevi kwenye glass, akachanganya na barafu kisha akaweka cocacola kidogo, halafu akanipasia, sasa nikajiuliza, niikubali au niikatae, sikutaka kufanya maringo, nikachukua nikaanza kusip, no big deal.
Baada ya dakika kadhaa jamaa akarudi, tukaendelea kupata, baada ya dakika kadhaa yule dada wa pembeni yangu tukaanza mazungumzo, kumbe ni rafiki wa demu wa jamaa, na inaonekana hataki afanye mazoea na mtu, nikaona bullshit, huu udhalilishaji, nikatoa noti ya msimbazi nikamchapa nayo usoni yule dada kama kumtania hivi, hee, jamaa kuona vile akachomoa wallet, akatoa misimbazi kama mitano hivi, na yeye akamtandika nazo usoni yule dada.., what the f***
Unyonge nauchukia sana, nikachomoa kama 30 hivi, nikamchapa nazo usoni kale kademu kake, jamaa kama akaparalyse hivi. Jamaa akainuka kama kasusa anaondoka, kumbe bhana kaenda kwenye ATM, baada ya dakika kadhaa karudi na burungutu la noti, nadhani ni milioni ile, akataka anitandike nazo usoni, demu wake akamuwahi akazichukua na kuzikunjia kwapani, what the f***
Akawa hajaridhika, akaenda kwenye gari lake, akarudi na burungutu la noti za dollar mia mia , kama sio milioni 10 zile sijui, akanipiga nazo usoni.., watu wakagombania pale mi nimezubaa tu nazidi kuchanyikiwa na huyu mbwa ni wa wapi? What the f***
Nikamwambia broo, habari zisiwe nyingi, weka salio lako la Simbanking juu ya meza na mimi niweke langu, tumalize mzozo, nikaweka yangu, haikuwa haba.., na nikasema akiweza kuilipa hii, naondoka naenda kulala, jamaa akaweka salio la dollar accout, its an 8 figure dollar account, life is not fair, nimerudi tu nyumbani kulala, ujinga huu!!
Kwa hizi akili,ni ngumu[emoji38]Sidhani kama tutarudia nafasi yetu ya uchumi wa kati
😂😂😂😂😂😂 sawaaaaaaaaLet's take this story at face value.
Kanuni kubwa ya maisha ni kutoishi kwa kutaka kufurahisha watu wakuone wewe tajiri, wewe mzuri, wewe unafaa etc.
Ishi kwa vile unavyotaka wewe, as long as umefanya kazi ya kujielewa na kuielewa dunia, hutakosea.
Wewe unaishi kwa kutaka kufurahisha watu bado. Ndiyo maana unaweza kujiingiza katika mashindano ya kijinga ya nani ana pesa zaidi. Hii ni status anxiety.
Yani hata hujaelewa somo alilokupa huyo mrembo hapo kwamba unaweza kuwa na hela ukajishaua kununua kinywaji cha gharama, halafu kinywaji hicho akaenda kupewa mtu baki ambaye hata hajajishaua bado!
Nilifika sehemu kwa ajili ya kujipumzisha na kupata moja moto moja baridi baada ya mizunguko ya siku nzima.
Moja kwa moja nilifika counter nikachukua castle lite baridi, nikalipa elfu mbili tu safi, nikazungusha macho huku na kule nione wapi nitakaa, sehemu ilikuwa imejaa kidogo, ila nikaona nafasi ya kukaa karibu na mrembo fulani hivi, nikaona very good, bia itashuka vizuri hapo.
Kweli bhana nikakaa, opposite na sisi upande wa pili wa meza kuna mrembo mwingine yupo na ka-boy friend kake, nikasema very good, patakuwa na utulivu hapa nilipokaa.
Sasa wakati naendelea kulainisha koo kale kajamaa kenye kademu kake kakaagiza kilevi flani cha gharama sana, hadi moyo ukanilipuka, na nikaona kabisa anafanya vile makusudi kunivuruga kisaikolojia, alilipa kama dollar 300 hivi, just imagine, what the f***
Jamaa akaenda toilet, kale kademu kake kakagundua nimefadhaika flani hivi, akaweka kile kilevi kwenye glass, akachanganya na barafu kisha akaweka cocacola kidogo, halafu akanipasia, sasa nikajiuliza, niikubali au niikatae, sikutaka kufanya maringo, nikachukua nikaanza kusip, no big deal.
Baada ya dakika kadhaa jamaa akarudi, tukaendelea kupata, baada ya dakika kadhaa yule dada wa pembeni yangu tukaanza mazungumzo, kumbe ni rafiki wa demu wa jamaa, na inaonekana hataki afanye mazoea na mtu, nikaona bullshit, huu udhalilishaji, nikatoa noti ya msimbazi nikamchapa nayo usoni yule dada kama kumtania hivi, hee, jamaa kuona vile akachomoa wallet, akatoa misimbazi kama mitano hivi, na yeye akamtandika nazo usoni yule dada.., what the f***
Unyonge nauchukia sana, nikachomoa kama 30 hivi, nikamchapa nazo usoni kale kademu kake, jamaa kama akaparalyse hivi. Jamaa akainuka kama kasusa anaondoka, kumbe bhana kaenda kwenye ATM, baada ya dakika kadhaa karudi na burungutu la noti, nadhani ni milioni ile, akataka anitandike nazo usoni, demu wake akamuwahi akazichukua na kuzikunjia kwapani, what the f***
Akawa hajaridhika, akaenda kwenye gari lake, akarudi na burungutu la noti za dollar mia mia , kama sio milioni 10 zile sijui, akanipiga nazo usoni.., watu wakagombania pale mi nimezubaa tu nazidi kuchanyikiwa na huyu mbwa ni wa wapi? What the f***
Nikamwambia broo, habari zisiwe nyingi, weka salio lako la Simbanking juu ya meza na mimi niweke langu, tumalize mzozo, nikaweka yangu, haikuwa haba.., na nikasema akiweza kuilipa hii, naondoka naenda kulala, jamaa akaweka salio la dollar accout, its an 8 figure dollar account, life is not fair, nimerudi tu nyumbani kulala, ujinga huu!!