Kilimanjaro: Ajinyonga hadi kufa kisa wivu wa kimapenzi

luambo makiadi unaona ninayosema? Moshi sio poa siku hiz
 
Alichelewa kujinyonga mkubwa mzima unaishi kwa mama yako na mkeo.Ukila mzigo usiku mke anashindwa hata kujiachia.Mpumbavu huyo alikuwa anapenda vya dezo na nguvu za kiume hana demu kakutana na mashababi na wanaojielewa ikabidi agawe bure.Shemeji lazima afike msibani na kikao cha familia atakuwepo
 
Muda wote tembea na kidumu, hata kama sio chako! Dawa ya huo ugonjwa unaoua wengi ni Suria tu.
Wakikwangua vocha ambayo siyo yao na wewe kwangu vocha zao, ingiza, ukiona ukipiga namba inaita ujue vocha iliyokwangua imeingia, endelea kutumia simu yako, utapona.
 
 
Sasa mke na watoto anamwachia nani,haoni wivu wake hauna sababu tena,na aliyekuwa akimwone wivu kapata uhuru kamili1🤣
 
Sijaona kataa ndoa, hao jamaa wakataa ndoa itakuwa wamesambaratishwa. Turudi kwenye mada, inauma sana kusikia/kuona mkeo akigawa uroda kwingine huku mko nae. Isiwe taabu, siku hizi inabidi uwe na makandokando tu ili kupunguza wivi wa kimapenzi, hata ukisikia na kuona mkeo kanyanduliwa kwingine na wewe unaenda kwa makandokando yako kupotezea stress ili ngoma iwe droo.
 
Kwa haraka haraka anaweza akaonekana ni mjinga hana akili, lakini maumivu ya mapenzi yanahitaji akili ya ziada kuyahimili. Siwezi kumshangaa kabisa
kabsa hata mi huwa nashangaa mi Kuna jamaa yangu aliwekewa limbwata na hawara halafu hawala akamkataa unaweza kufikiria maumivu aliopitia Yani unalogwa umpende halafu anakutema bila kujua mashetani yake yanafanya kazi huku...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…