Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,250
- 3,607
wanakuona we ndo maskini wao wanazoWahudumu wao wana gubu sana,niliacha kupanda hili basi kwaajil ya gubu za hao wadada wa kichaga🙏
Sasa hao unakuta nao wamedhibitiwa[emoji1787] ile kampuni sio ya kiSwahili swahili. Kumbuka inaongoza kupakia hadi wazungu
LikelyDuh!! sema nini kampuni silizo straight hua pia malipo sio mabovu maybe watakua wanalipwa vizuri.
Unasumbuliwa na umaskini hko lushotoKama nyumba ndo hizo hazina maajabu kwanza za kishamba ....Nyumba gani sasa za kujisiifu kwanza za kizamani na bei cher
Kwenu si mnalala nyumba za hovyo?Qe Jamaa hujiamini na bado una akili za kitoto bado una ukabila kwa mbali ,unajaribu kudefend kila kitu cha kwenu rudi kijijini kwenu ukagombee nafasi ya ukondakta[emoji28][emoji28][emoji28].
Hata maisha ya kueleweka huna upo tu hapa sijui mabasi wakati hata leseni huna ...Post nyumba ya kwenu hizo hzina maajabu hata Tandale na mbagala zipo
😅😅😅Ndo mkawe makonda mbona unajitetea sana .Unasumbuliwa na umaskini hko lushoto
Migombni Hadi maghorofa yapo hatujui nyumba za nyasi
95% Kila nyumba ya mwananchi Ina maji na umeme
😅😅😅Sijwahi kulalia nyumba ya hovyo wala kuishi kijijini...Kuishi kweny migomba kama tumbiri hapana.Kwenu si mnalala nyumba za hovyo?
Uchagan 95% Kila nyumba ya mwananchi Ina maji na umeme
Huwezi kurudi Kijijin kwenu kwakuwa hakuna nyumba nzuri umekalia kurandaranda miji ya watu hâta kwemu hukumbuki shwaini kabisa wewe mdigo[emoji2][emoji28][emoji28][emoji28]Sijwahi kulalia nyumba ya hovyo wala kuishi kijijini...Kuishi kweny migomba kama tumbiri hapana.
Dogo unajitetea sasa you need to work extra hard katika kutafuta pesa ili usijitetee sana
Kazi yoyote halali inayoingiza kipato tunaifanya ndio maana hakuna umaskini kama kwenu[emoji28][emoji28][emoji28]Ndo mkawe makonda mbona unajitetea sana .
200,000/=Mshahara ni bei gani, ili tupime kipato cha wabongo vizuri. lakini pamoja na yote hayo, bado mtu anasema kidumu chama cha mambuzi.
😅😅😅Nazunguka kanda hii na huku nina mishe kaangalie wenzio walivyojazana pale kariakoo wengi ni vibaka ...Hapa nipo home kikubwa nazunguka kanda hii huko kwa waoza meno hapan.Huwezi kurudi Kijijin kwenu kwakuwa hakuna nyumba nzuri umekalia kurandaranda miji ya watu hâta kwemu hukumbuki shwaini kabisa wewe mdigo[emoji2]
Siku ukifa ndio watu watakujua kwenu vizuri[emoji2]
😅😅😅😅waliomba ukonda hiyo idadi wote maskini na naweza kuwaajiri hao ndugu zako na degree zao wanaomba ukonda😅😅.Kazi yoyote halali inayoingiza kipato tunaifanya ndio maana hakuna umaskini kama kwenu
Pia Wachaga wanauchukia mno umaskini
Hâta ulaya makonda,ma driver wapo unasumbuliwa na USHAMBA
Kariakoo tumeikamata tangu miaka ya 80 wakati nyie mkicheza baikoko[emoji28][emoji28][emoji28]Nazunguka kanda hii na huku nina mishe kaangalie wenzio walivyojazana pale kariakoo wengi ni vibaka ...Hapa nipo home kikubwa nazunguka kanda hii huko kwa waoza meno hapan.
Tunaenda kwetu kwakuwa tunapapenda,tumejenga mahekalu hatuna nyumba za hovyo kama kwenu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]waliomba ukonda hiyo idadi wote maskini na naweza kuwaajiri hao ndugu zako na degree zao wanaomba ukonda[emoji28][emoji28].
Mna dhiki sana mngetulia kwenu ndo maana mwezi wa 12 mnaongozana kama siafu kwenda kwenu na uwizi hapa mjini unapungua na panakuwa safi.
Mbona sioni hayo mahekalu ni nyumba za kizamani hamna kipya...Ni mahekalu kwa level za Kijijini kwenu ila huku ni nyumba za Manzese tu🤣Tunaenda kwetu kwakuwa tunapapenda,tumejenga mahekalu hatuna nyumba za hovyo kama kwenu
Nyie hamtaweza kumwamuwa mna umaskini mkubwa hâta WA kujenga mmeshindwa
Mbona naona waarabu ndo matajiri nyie mko wapi🤣🤣Ndo muandike kitabu mkilalamika kwamba wageni wanapendeleewa🤣Kariakoo tumeikamata tangu miaka ya 80 wakati nyie mkicheza baikoko
Sisi nchi nzima tumejenga ndo ujue tofauti ya elite na mbumbumbu
Dalili za uchumi kukua ni kuajiri zaidi. Kwamba Kilimanjaro wamewekeza zaidi na hivyo wanahitaji wahudumu zaidi.Halafu mnasema uchumi umekua