Kilimanjaro Express Kuanza Safari za Usiku

Kilimanjaro Express Kuanza Safari za Usiku

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Kampuni ya Kilimanjaro Express kuanza karibuni safari zake za usiku

Kwa mujibu wa Tangazo lililotolewa kwenye ukurasa wake wa twiter, Huduma ya usafiri itaanza saa 2 Usiku kuanzia Dar-Moshi-Arusha

Kwa mujibu wa afisa wa Kampuni hiyo ambaye nimeongea naye kwa njia ya simu, amethibisha kuwepo kwa safari hizo zinaozotegea kuanza hivi pumde.

" Ni kweli safari hizo zitaanua hivi karibuni, tutawapa taarifa wateja wetu, tunachokisubifia kwa sasa ni kupata idhini ya mwisho toka mamlaka za serekali, lakini hatua tuliofikia ni nzuri, tupo kwenye uratibu wa mwisho ili kuanza safari hizo" Alisema afisa huyo.

IMG-20210727-WA0018.jpg
 
Safi sana hii itasaidia movement iwe rahisi sana kuliko mtu kupoteza siku nyingi kwa Jambo la mda nchache
 
Sasa naona Ile mbinu ya kuua safari za train ya Moshi to dar to Moshi imeanza. TRC mpoo? Maza upo? Pole Pole sema neno train yetu itapata wapi wateja wa usiku?
Nina hakika abiria ni wengi. Hilo basi/mabasi hayawezi kumaliza abiria wote.
 
Hiii itasaidia watu wasisingizie muda au ruhusa unaondoka ijumaa unashinda jmosi,jpili unahudhuria misa asubui nyumbani saa moja usiku unakula ugali na wapendwa saa mbili usiku unajisanua saa mbili asubui upo ofisini safiii
 
Back
Top Bottom