Kilimanjaro; Mama na mtoto washikiliwa kwa kupigana na Mumewe hadi kupoteza maisha

Kilimanjaro; Mama na mtoto washikiliwa kwa kupigana na Mumewe hadi kupoteza maisha

Jeshi la polisi mkoani Kilamanjaro linamshikilia mwanamke mmoja maarufu kama mama Baraka pamoja na mwanae wa kiume aitwae Baraka mwenye umri wa miaka 20 kwa kosa la mauji ya mumewe ajulikanae kwa jina la Fasil Herman mwenye umri wa miaka 57.

Mauaji hayo yametokea katika maeneo ya Forest, kata ya Ngarenairobi, wilaya ya Siha,

Mdogo wa marehemu anasema kuwa kwa mujibu wa mashuhuda waliowahi eneo la tukio ni kuwa mke na mume walikuwa wakipigana na ndipo kijana nae kuingilia ugomvi na hatimae mume kudondoka chini na kufariki dunia.
Ugomvi wa wazazi siyo wa kuingilia huyo kijana atajutia hilo swala, mimi nyumbani mzee na mkewe walikuwa wanagombana wanashikiana hadi mapanga mimi siingilii, wanagombana hivyo kesho wanapatana.
 
Jeshi la polisi mkoani Kilamanjaro linamshikilia mwanamke mmoja maarufu kama mama Baraka pamoja na mwanae wa kiume aitwae Baraka mwenye umri wa miaka 20 kwa kosa la mauji ya mumewe ajulikanae kwa jina la Fasil Herman mwenye umri wa miaka 57.

Mauaji hayo yametokea katika maeneo ya Forest, kata ya Ngarenairobi, wilaya ya Siha,

Mdogo wa marehemu anasema kuwa kwa mujibu wa mashuhuda waliowahi eneo la tukio ni kuwa mke na mume walikuwa wakipigana na ndipo kijana nae kuingilia ugomvi na hatimae mume kudondoka chini na kufariki dunia.
Watu wana magonjwa yao.... Unabandika ngumi moja.... Chali... Amedondoka... Unabaki na kesi ya mauaji...
 
Busara🙏
ila mnatia hasira sana.mpo gest mmeingia usiku mnacheza game mmoja ananiambia amechoka anataka alale apumzike nikamuacha.inafika saa 12 asubuh natka kuondoka anazizuia anataka tufanye na mlango kafunga na funguo kaficha.nilishikwa na hasira mpaka nikawa natetemeka .ila nikawazaa madhara ya kutumia hasira unaweza ukampiga ukamdhuru unapelekwa polisi,yeye hospital tena umtibie.au yanaweza yakatokea hata ya kifo nikaenda jela.nikaamua kutulia
 
Jeshi la polisi mkoani Kilamanjaro linamshikilia mwanamke mmoja maarufu kama mama Baraka pamoja na mwanae wa kiume aitwae Baraka mwenye umri wa miaka 20 kwa kosa la mauji ya mumewe ajulikanae kwa jina la Fasil Herman mwenye umri wa miaka 57.

Mauaji hayo yametokea katika maeneo ya Forest, kata ya Ngarenairobi, wilaya ya Siha,

Mdogo wa marehemu anasema kuwa kwa mujibu wa mashuhuda waliowahi eneo la tukio ni kuwa mke na mume walikuwa wakipigana na ndipo kijana nae kuingilia ugomvi na hatimae mume kudondoka chini na kufariki dunia.
 

Attachments

  • Screenshot_20250216-182754_1.jpg
    Screenshot_20250216-182754_1.jpg
    363.2 KB · Views: 1
ila mnatia hasira sana.mpo gest mmeingia usiku mnacheza game mmoja ananiambia amechoka anataka alale apumzike nikamuacha.inafika saa 12 asubuh natka kuondoka anazizuia anataka tufanye na mlango kafunga na funguo kaficha.nilishikwa na hasira mpaka nikawa natetemeka .ila nikawazaa madhara ya kutumia hasira unaweza ukampiga ukamdhuru unapelekwa polisi,yeye hospital tena umtibie.au yanaweza yakatokea hata ya kifo nikaenda jela.nikaamua kutulia
Kwahiyo mkafanya
 
Acha ujinga.......Yaani Baba anampiga mama nisiingilie?

Kwanza Baba Mwenye Akili unampigaje Mke wako.
? Huko ni kukosa akili na kutojiamini
Kuna umri watoto wakishafikia, mambo mengine HUWEZI kufanya mbele yao, moja ni kupigana na mke wako. Hili linafanya mnaonekana watu wa hovyo sana. Anyways, mimi siungi mkono kwa namna yoyote mambo ya mume na mke kupigana hata kama watoto ni wadogo....
 
Unajua kisa chao!? Au unashoboka tu
Unaingilia ugomvi unamtetea mama, baadae unakuja kugundua mama ndiye mwenye kosa,
Mambo yao unawaachia wamalizane nayo wao wenyewe
 
Back
Top Bottom