Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo baada ya kupigwa miti nje na kuzaa kabisa bado akaendelea kukaa hapo hapo !!?! Alitegemea miujiza gani mwamba akirudi? Kuna watu bongo zao zimesizi sanaMkuu Police hawakuishia kwenye Wivu wa Mapenzi, taarifa yao iliendelea. Na imesema kabisa kuwa ALIENDA MACHIMBO, then MWANAMKE AKAWA AMEPATA MIMBA. Logically inaonyesha Mwana apollo katombewa.
Kesi za Mauaji ya Wapenzi, 90% Police husema chanzo ni WIVU WA MAPENZI. Hii huwa ni kufupisha taarifa.
Hapo jiongeze chief...mgogoro ni huyo mtoto..Kwahiyo unataka kuniambia alivyoenda machimbo hadi anarudi alikuwa hajui Mkewe ni Mjamzito? Yaani amerudi akakuta mkewe amejifungua week mbili zilizopita bila yeye kujua process yote ya utungaji hadi kujifungua? Sasa Polisi walivyosema hapo nyuma kulikuwa na mgogoro ,je ni mgogoro upi sasa na nyuma kwa kipindi gani ?
Watu wa machimbo wanaweza potelea sight hata mwaka mzimaKwahiyo mgogoro juu ya mtoto ulianza alipofika nyumbani na kukuta mkewe ana mtoto wa wiki mbili? Ina maana alivyoenda machimbo hadi anarudi alikuwa hajui kama mkewe mjamzito/amejifungua?
Sasa na yeye kashindwa vipi kuondoka mwenyewe mpaka njemba inarudi inamkuta wife ana mtoto? Mambo mengine ni kutafutiana lawama..Mwache aende,umemwoa ana wazazi hujamiliki pumz yake....umemshindwa mwache aende
Hakuja kuitengua Torati bali kuikamilisha... Agano la kale bado linafanya kazi kwa kiasi kikubwa..Bado unaishi kwenye agano la kale?[emoji28][emoji28][emoji28]stuka,chukua hatua maana kwa kupigwa kwake sisi tumepona,alipowambwa msalabani kwa aibu na siku ya 3 akafufuka,alisema yametimia ,ya kale yakafutwa tukaanza upya [emoji120][emoji120]
Unafikiri atabaki salama...ajiandae kwa mikosi..Kwa andiko hili hiyo hukumu aliyopewa huyo mama haina haki
Yuko wapi aliyezini nae!?
Mi kipindi flan tengeru nilitishiwa kisu na manzi angu... Nikamuambia hakikisha hukosei maana nikikupokonya hicho nakumaliza (mkwara tu ulikuwa [emoji16])... akagailiIla ukifikiria deep mpaka mtu anaua sio bure sometime wadada wana jeuri sana hasa huko kaskazin mweee,nshawahi jibiwa fanya unachokitaka,kuepusha shari anakufuata we si mwanaume huna lolote,nkatoka nje nkazomewa dah kama si kujishusha mwenyew nlitaka kumvunja mikono yote miwil
Yaan daaSasa na yeye kashindwa vipi kuondoka mwenyewe mpaka njemba inarudi inamkuta wife ana mtoto? Mambo mengine ni kutafutiana lawama..
Na hao unaokutana nao viande wenzio Mimi ukinigusa hata kijikibao lazima nikulaze ndani siku tatu na nahakikisha wamekutoa malinda.my friend tumia muda utaelewa yaani nitoke nae nimgharamie, moyo wake siujui ila yuko nami na anakula vyangu, kisha afanye ujinga...
kwa zamani ilikuwa Haina shida kwao,hata mke akizaa na mtu mwingine jamaa akirudi mtt anakuwa wake,hii ikawa Mila ya kawaida kwao, lakini kwa Sasa Mambo yamekuwa tofauti Sana.Wachaga nao wameshaanza kuwa na wivu.wao si pesa tu wake huwatelekeza
Si unamuacha tuWatu wanalaumu tuu bure
Imagine umeenda kumtafutia mkeo halafu huku nyuma anagawa utamu hadi mimba anapata na kuzaa juu ....hivi maumivu yake yanavumilika? Kila mtu Ana moyo wake wa kukabiliana na usalitii.