Kilimanjaro: Mume adaiwa kumuua mkewe na kumjeruhi mtoto mchanga

Kilimanjaro: Mume adaiwa kumuua mkewe na kumjeruhi mtoto mchanga

Mimi hapo sijaona wivu wa kimapenzi. Hiyo ni kesi tofauti
Sawa ,unaweza ukawapa maoni polisi waliosema haya ya chini.

Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja, mkazi wa Mero, wilaya ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro kwa madai ya kumuua mkewe na kumjeruhi mtoto mchanga kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi.
 
Watu wanalaumu tuu bure
Imagine umeenda kumtafutia mkeo halafu huku nyuma anagawa utamu hadi mimba anapata na kuzaa juu ....hivi maumivu yake yanavumilika? Kila mtu Ana moyo wake wa kukabiliana na usalitii.
Hii Post yako imenipa machungu sana , imenikumbusha kipindi nasoma Masters yangu Dah 😭😭😭
 
Niliwahi kukutana na scenario kama hii. Mume amesafiri huku nyuma mke akawa analiwa na mimba ikachomoza. Basi yule mke hakuondoka wala nini hadi mimba ikazaliwa na wala hakufukuzwa na yeye anajisemea kwamba yule dogo sio wa pale. Yani hata aibu hana mkavuuuu
 
Kwakweli, atakuwa alipagawa, dawa ni kuoa bila kufunga ndoa, inaweza isisaidie sana ila inarahisisha kumpiga chini na kuvuta mwingine kiurahisi zaidi, maana kuna possibility kubwa tu ya kumkana mahakamani
Kuoa bila kufunga ndoa nieleweshe hapa mkuu na inasaidiaje
 
Niliwahi kukutana na scenario kama hii. Mume amesafiri huku nyuma mke akawa analiwa na mimba ikachomoza. Basi yule mke hakuondoka wala nini hadi mimba ikazaliwa na wala hakufukuzwa na yeye anajisemea kwamba yule dogo sio wa pale. Yani hata aibu hana mkavuuuu
Tena wanawake kutoka babati,katesh sijui hiyo ni kawaida sana

Ova
 
Shida ni ndoa, angekuwa ameoa tu bila kufunga ndoa, angeachana nae tu, shida ni kusaini like karatasi, unakuwa kifungoni, huwezi tu kuondoka
Kwahiyo hiyo karatasi inakuwa inakuvuta usitoke nje ya geti??

Vifungo vingine mnajifunga wenyewe akilini mwenu!

Au ni excuse tu mtu anatoa kwa kushindwa kwake kuanza maisha mengine
 
Upendo upi wa mama utakampa mtoto?wewe baba utampa upendo wako ndio, wa mama mzazi ataupata wapi?

Unajua mtoto anathirika kiasi gani akikosa upendo na malezi ya mama? Ndio maana nasema unamtesa mtoto sababu kama wewe mwanaume mzima umeshindwa kuchagua mke wa kuishi nae Leo unampelekea mtoto alelewe na mtu mwingine kama sio kumtesa ni nini?
Mtu unaishi na mama watoto na watoto kama mke, ila hakuna kufunga ndoa
 
Watu wanalaumu tuu bure
Imagine umeenda kumtafutia mkeo halafu huku nyuma anagawa utamu hadi mimba anapata na kuzaa juu ....hivi maumivu yake yanavumilika? Kila mtu Ana moyo wake wa kukabiliana na usalitii.
Siyo tu kwenda kutafuta, inamaana kipindi chote ulikuwa unamtumia matumizi, kumbe naye anafuga mme mwenzako na kumrisha
 
Daah huyu jamaa katili sana , nina stress za kufa mtu ila kufanya ivo sitaweza katy
Hakuwa yeye ndugu,kuna roho chafu (devil spirits) huwa zinamwongia mtu,akuja kustuka ameisha ua ndiyo ufahamu unamjia, anaanza kukimbia kujificha [emoji24]
Hii haitoki ila kwa kufunga na kuomba,kwa kawaida binadamu ameubwa kwa mfano wa MUNGU, siyo kimwili, Bali,roho( soul),hiyo nafasi ya MUNGU ikiondoka hata Kwa SEKUNDE 45 tu,ile nafasi huchukuliwa na devil spirits,hapo ndipo binadamu huwa kiumbe hatari,japo akienda mahakamani,watasema he was insane at the moment he murdered [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mwanaume huyu amemuua mke wake na kumjeruhi mtoto wa wiki mbili kwa wivu wa mapenzi, huyu mwanaume alienda kwenye machimbo huyu mwanamke akawa amepata ujauzito, sasa ikaonekana kuna mgogoro wa familia juu ya huyu mtoto," amesema

Polisi wamesema ni wivu wa kimapenzi ,wewe unakuja na mtazamo wako kwamba alibambikiwa mototo kwa kuwa alikuwa machimbo ,nimekuuliza maswali kadhaa hakuna hata moja ulilojibu zaidi ya kuattack mtu personally.
Mkuu Police hawakuishia kwenye Wivu wa Mapenzi, taarifa yao iliendelea. Na imesema kabisa kuwa ALIENDA MACHIMBO, then MWANAMKE AKAWA AMEPATA MIMBA. Logically inaonyesha Mwana apollo katombewa.

Kesi za Mauaji ya Wapenzi, 90% Police husema chanzo ni WIVU WA MAPENZI. Hii huwa ni kufupisha taarifa.
 
Ila wanawake wa Kilimanjaro ni makatili mno,kwa nn Wana roho za ajabu hivi,mtu kaenda kutafuta ,huku anabeba mimba na anazaa kabisaa,Sasa si Bora angeondoka na huyo aliyezaa naye tu,kuliko kukaa na unamsubiri mume aje ashuhudie ulivyomuumiza pakubwa daaah!! haka kamsemo kenu Cha kitanda hakizai haramu kitawaumiza Sana.
 
Mkuu Police hawakuishia kwenye Wivu wa Mapenzi, taarifa yao iliendelea. Na imesema kabisa kuwa ALIENDA MACHIMBO, then MWANAMKE AKAWA AMEPATA MIMBA. Logically inaonyesha Mwana apollo katombewa.

Kesi za Mauaji ya Wapenzi, 90% Police husema chanzo ni WIVU WA MAPENZI. Hii huwa ni kufupisha taarifa.

Kwahiyo unataka kuniambia alivyoenda machimbo hadi anarudi alikuwa hajui Mkewe ni Mjamzito? Yaani amerudi akakuta mkewe amejifungua week mbili zilizopita bila yeye kujua process yote ya utungaji hadi kujifungua? Sasa Polisi walivyosema hapo nyuma kulikuwa na mgogoro ,je ni mgogoro upi sasa na nyuma kwa kipindi gani ?
 
Mwanaume huyu amemuua mke wake na kumjeruhi mtoto wa wiki mbili kwa wivu wa mapenzi, huyu mwanaume alienda kwenye machimbo huyu mwanamke akawa amepata ujauzito, sasa ikaonekana kuna mgogoro wa familia juu ya huyu mtoto," amesema.

Yaani amerudi akakuta mkewe amejifungua week mbili zilizopita bila yeye kujua process yote ya utungaji hadi kujifungua? Sasa Polisi walivyosema hapo nyuma kulikuwa na mgogoro ,je ni mgogoro upi sasa na nyuma kwa kipindi gani ?
Mkuu taarifa ya Police inasema Mgogoro ni JUU YA MTOTO. na sio Mgogoro kabla. hakuna sehemu imesema Mgogoro ulikuwa nyuma.

Summary ya taarifa inasema Alienda Machimbo then Wife akapata Mimba then Mgogoro juu ya Mtoto.

FRANCIS DA DON alikueleza hili Mkuu.
 
Back
Top Bottom