Sasa hapo shida sio mwanamke shida iko kwakoAngalia maudhui ndiomana watu wanatuomba hata wake za watu mwanamke kuzingua kuna hulka, na sababu nyingi, unaweza kuwa na demu kumbe hakupendi anapenda pesa zako, a reason is free for anything
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo shida sio mwanamke shida iko kwakoAngalia maudhui ndiomana watu wanatuomba hata wake za watu mwanamke kuzingua kuna hulka, na sababu nyingi, unaweza kuwa na demu kumbe hakupendi anapenda pesa zako, a reason is free for anything
Duuu, somo la ‘Comprehension’ linakupiga chenga. Wewe ndio wale wakichungulia miti kwenye dirisha la basi wanasema miti inakimbia kurudi nyuma, hata niwambie vipi kwa miti imesimama hapa hutakubali, maana ndicho unaona.., sina msaada kwako, wahi mirembeHatubishani hapa mkuu bali tunachangia hoja kwa mujibu wa kila mtu alivyoelewa.
Polisi wamesema chanzo ni wivu wa kimapenzi na pia kulikuwa na mgogoro....Kwahiyo mgogoro ulikuwepo ila siku ambayo amefikia hatua ya kuua chanzo chake kilikuwa ni wivu wa kimapenzi.
my friend tumia muda utaelewa yaani nitoke nae nimgharamie, moyo wake siujui ila yuko nami na anakula vyangu, kisha afanye ujinga, think in perspectives ndio utaelewa. Ndiomana natoa tahadhari mapema nawaambia mimi ni mkorofi ukizingua vitasa muda wote.Sasa hapo shida sio mwanamke shida iko kwako
Mkuu,maumivu hayaletwi na hio milolongo ya makaratasi wala kugawana mali,Maumivu yanaletwa na Usaliti tu,iwe umefunga ndoa au hujafunga ukisalitiwa hapo hutafikiri chochote kuhusu hayo,ndio maana hata jamaa tayari ameacha hizo mali na Uhuru wake sababu hiohio na hata ndoa ya karatasi anaweza kuwa hana.Shida ya kusaini makaratasi, inakufanya upotia mlolongo mrefu sana kuachana, yaani hadi uende mahakamani ukadaiwe mgao wa nyumba, inaleta maumivu zaidi...
Kataa na kuzaa kabisa usitese mtoto,ishi kama ulivyozaliwa inatoshaNDO ILE KAMPENI YETU INALETA MAANA SASA KWA JAMII,ZAA CHUKUA MTOTO WAKO LEA,,,,KATAA NDOA KATAA NDOA NDO NI UTAPELI
Maumivu huongezwa zaidi pale unapokuwa huna uhuru wa kumwacha kiurahisi, tena na kugawana mali inaumiza zaidi, hilo sio la kubishana.Mkuu,maumivu hayaletwi na hio milolongo ya makaratasi wala kugawana mali,Maumivu yanaletwa na Usaliti tu,iwe umefunga ndoa au hujafunga ukisalitiwa hapo hutafikiri chochote kuhusu hayo,ndio maana hata jamaa tayari ameacha hizo mali na Uhuru wake sababu hiohio na hata ndoa ya karatasi anaweza kuwa hana.
Wengine wanaenda mbali hata kujitoa uhai
Kuna jamaa mwingine Jana kajitoa uhai kwa kunyimwa papuchi ya Hawara na mke kamuacha nyumbani,tena kajinyongea kwa hawara ambaye ni mke wa mtu,sasa unadhani mtu kama huyo anasumbuliwa na Mali?
Kwani ukioa ukizaa na kumlea kwa upendo kuna tatizo gani? Ila ndoa hakuna kufungaKataa na kuzaa kabisa usitese mtoto,ishi kama ulivyozaliwa inatosha
[emoji23][emoji23][emoji23]Wametimiza maandiko ya kifo kiwatengenishe ukiona mwenzako hafi haraka unemuua ili mtimize maandiko
Very very trueMaumivu huongezwa zaidi pale unapokuwa huna uhuru wa kumwacha kiurahisi, tena na kugawana mali inaumiza zaidi, hilo sio la kubishana.
HayaBeing a man is pride, respect and responsibilities. Fedheha ni Adui yangu mkubwa sana
Upendo upi wa mama utakampa mtoto?wewe baba utampa upendo wako ndio, wa mama mzazi ataupata wapi?Kwani ukioa ukizaa na kumlea kwa upendo kuna tatizo gani? Ila ndoa hakuna kufunga
Mimi hapo sijaona wivu wa kimapenzi. Hiyo ni kesi tofautiInasikitisha sana,Jamaa ni mental cases , mtoto ana wiki 2 unamchana tumbo? Binti ametoka kujifungua ndani ya week mbili unamuonea wivu wa kimapenzi?
Sasa mbona huyo kaolewa halafu upendo kaupeleka kwingine na mimba juu lakini bila aubu kakomaa na mtoto wake huyo ndani ya hiyo ndoa bila kumhofia mume wake?Upendo upi wa mama utakampa mtoto?wewe baba utampa upendo wako ndio, wa mama mzazi ataupata wapi?
Unajua mtoto anathirika kiasi gani akikosa upendo na malezi ya mama? Ndio maana nasema unamtesa mtoto sababu kama wewe mwanaume mzima umeshindwa kuchagua mke wa kuishi nae Leo unampelekea mtoto alelewe na mtu mwingine kama sio kumtesa ni nini?
Umechanganya vitu vyote kwa wakati mmoja hebu anzia juu utaelewa tumeanzia wapi,ukishaelewa rudi uje kuuliza swaliSasa mbona huyo kaolewa halafu upendo kaupeleka kwingine na mimba juu lakini bila aubu kakomaa na mtoto wake huyo ndani ya hiyo ndoa bila kumhofia mume wake?
😂😂😂Mwanaume anahitaji kipawa kuhimili wivu wa mapenzi. Imagine unahisi mkeo anafuga mimba ya mwanaume mwingine nyumbani kwako.
Duuu, somo la ‘Comprehension’ linakupiga chenga. Wewe ndio wale wakichungulia miti kwenye dirisha la basi wanasema miti inakimbia kurudi nyuma, hata niwambie vipi kwa miti imesimama hapa hutakubali, maana ndicho unaona.., sina msaada kwako, wahi mirembe
Bora kutokuoa tuWatu wanalaumu tuu bure
Imagine umeenda kumtafutia mkeo halafu huku nyuma anagawa utamu hadi mimba anapata na kuzaa juu ....hivi maumivu yake yanavumilika? Kila mtu Ana moyo wake wa kukabiliana na usalitii.