Kilimanjaro: Mume adaiwa kumuua mkewe na kumjeruhi mtoto mchanga

Kilimanjaro: Mume adaiwa kumuua mkewe na kumjeruhi mtoto mchanga

Anagawa kavu kavu sawa. Kibaya ni ile kupata mimba na kuendelea kuitunza hadi kuzaa huku akisubiri ambambikizie mume wake.

Jamaa baada ya kuona mtoto mahesabu ya umri hayaendani na siku alizokaa hasira zilimpanda siku hadi siku
Yaani hapo ukute jamaa alikua anatuma pesa ya matumizi kwa mkewe yeye akisota huko mashimoni lakini mwanamke akagawa kavu kavu
 
Kwamba huyu mwamba hakujua kuhesabu miezi na tarehe aliyoondoka?

Polisi wamesema chanzo ni wivu wa kimapenzi na kulikuwa na migogoro na hawakusema kwamba chanzo ni kwamba alibambikiwa mtoto....Kwenda machimbo hakuna uhusiano na kuwa mtoto siyo wake ,unaweza ukaa na mwanamke ndani kwa miezi yote 9 na mtoto asiwe wako.......Kuna watu wanakuwa na plan kwamba anampa mkewe ujauzito then anasafiri kwenda kusoma au kwenda kwenye mishe sehemu nyingine...Nyinyi wa ndani mnajua ila wa nje ndiyo watakuwa na maneno mbona jamaa hayupo lakini mkewe ana mimba.
 
Wakataa ndoa wameitisha mkutano wao wa tatu tokea chama hicho kuanzishwa mwaka jana kauli mbiu inasema KATAA NDOA KWA MANUFAA YAKO NA PESA ZAKO mkutano huo utafanyika mwishoni mwa mwezi huu
Vipi taratibu za usajiri zikoje? Kuna ada ya uanachama?
 
Polisi wamesema chanzo ni wivu wa kimapenzi na kulikuwa na migogoro na hawakusema kwamba chanzo ni kwamba alibambikiwa mtoto....Kwenda machimbo hakuna uhusiano na kuwa mtoto siyo wake ,unaweza ukaa na mwanamke ndani kwa miezi yote 9 na mtoto asiwe wako.......Kuna watu wanakuwa na plan kwamba anampa mkewe ujauzito then anasafiri kwenda kusoma au kwenda kwenye mishe sehemu nyingine...Nyinyi wa ndani mnajua ila wa nje ndiyo watakuwa na maneno mbona jamaa hayupo lakini mkewe ana mimba.
Umeambiwa chanzo ni mimba aliyopata Mshikaji akiwa Machimboni au hata kusoma hujui?
 
Mwana Apolo anakoswa na madongo anakoswa na wenzie uje umletee mambo ya ajabu
1676482060627.jpg
 
Nampongeza huyu mwanaume kwa kuwa na roho ngumu na katili kama yangu, siwezi kuhudumia mwanamke nikiwa mbali natafuta pesa, aombe matumizi nimpatie na kisha nirudi nimkute na mtoto wa mtu mwingine au mimba ya mtu mwingine, namuachaje kwa mfano, ila kama amejisusa hajala vyangu na Mali zangu sawa.

Huyu mwamba nampongeza sana kwa hayo maamuzi
Kwa akili hizi hata usioe wala kukaa na mtoto wa mtu. Utaishia jela kama mwenzako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ni ndoa, angekuwa ameoa tu bila kufunga ndoa, angeachana nae tu, shida ni kusaini like karatasi, unakuwa kifungoni, huwezi tu kuondoka
Hakuna kitu kama hiyo... wangap wameacha na wameanza upya mzee... sasa kuua kumempa nini...
 
Improve your argument. Hakuna mtu aliye-justify kifo hapa.
Hoja ni kwamba vijana mpunguze mihemko ni kosa kujichukulia sheria mkononi.
2.Ndoa ni ya watu walio komaa na kustaarabika kama unahisi huwezi kutatua matatizo yanayo husu ndoa tafadhali usijihusishe nayo.
Siku hizi manaowa tu kisa mnayo hela ya unga kuna zaidi ya kula na kupigana miti kwenye ndoa hizi..
 
Inasikitisha sana,Jamaa ni mental cases , mtoto ana wiki 2 unamchana tumbo? Binti ametoka kujifungua ndani ya week mbili unamuonea wivu wa kimapenzi?
Sijui umeandika nini kuna mental case gani hapo?? Ambacho hujaelewa nini yani uende kutafuta unarudi mtu kajifungua how[emoji1784]shenzi zake
 
Polisi wamesema chanzo ni wivu wa kimapenzi na kulikuwa na migogoro na hawakusema kwamba chanzo ni kwamba alibambikiwa mtoto....Kwenda machimbo hakuna uhusiano na kuwa mtoto siyo wake ,unaweza ukaa na mwanamke ndani kwa miezi yote 9 na mtoto asiwe wako.......Kuna watu wanakuwa na plan kwamba anampa mkewe ujauzito then anasafiri kwenda kusoma au kwenda kwenye mishe sehemu nyingine...Nyinyi wa ndani mnajua ila wa nje ndiyo watakuwa na maneno mbona jamaa hayupo lakini mkewe ana mimba.
Wewe ushaambiwa hadi ndugu walianza kuongea juu ya umri wa mimba na wakati wa mume kuwa yupo machimbo.., sasa sijui hata unabisha nini
 
Nampongeza huyu mwanaume kwa kuwa na roho ngumu na katili kama yangu, siwezi kuhudumia mwanamke nikiwa mbali natafuta pesa, aombe matumizi nimpatie na kisha nirudi nimkute na mtoto wa mtu mwingine au mimba ya mtu mwingine, namuachaje kwa mfano, ila kama amejisusa hajala vyangu na Mali zangu sawa.

Huyu mwamba nampongeza sana kwa hayo maamuzi
Siwezi kumpongeza kwa kuua na kutoa uhai wa binadamu. Lakini angalau unaweza kuelewa sababu ilikuwa ipi
 
Watu wanalaumu tuu bure
Imagine umeenda kumtafutia mkeo halafu huku nyuma anagawa utamu hadi mimba anapata na kuzaa juu ....hivi maumivu yake yanavumilika? Kila mtu Ana moyo wake wa kukabiliana na usalitii.
Usaliti ni hatari, watu wachukue tahadhari kama kujizuia wanashindwa
 
Sijui umeandika nini kuna mental case gani hapo?? Ambacho hujaelewa nini yani uende kutafuta unarudi mtu kajifungua how[emoji1784]shenzi zake

👇
Kwahiyo ukienda Machimbo ndiyo mtoto anakuwa siyo wako? What if kama alitungisha mimba na ndiyo akenda Machimbo? Wapi kwenye hayo maelezo wamesema kwamba jamaa alienda machimbo wakati mkewe alikuwa hana mimba? Kwahiyo mmeconclude kwamba jamaa alivyoenda machimbo mpaka anarudi alikuwa hajui kwamba mkewe mjamzito/amejifungua?
 
Back
Top Bottom