Kilimanjaro: Mume adaiwa kumuua mkewe na kumjeruhi mtoto mchanga

Kilimanjaro: Mume adaiwa kumuua mkewe na kumjeruhi mtoto mchanga

Jamaa wamezidi mauaji nadhani. Wapunguzeni ama wametafuta pesa zimetosha saivi Ni wanauana kimapenzi,kurithi Mali,na kutoana kafar. Mbona huko wamesoma mno ustaraabu umewaisha kabisa
 
Jamaa alitafakari yafhatayo.
1. Wakishaachana mkewe ataenda mahakamani kugawana mali
2. Hashindwi huyo manz kwenda ustawi kudai matumizi, hata akifkiria DNA anahisi kbsa ataambiwa yeye ndo mshua
3. Kuna kupigwa juju
4 Fedheha ya kutombewa hadi mimba juu
Kwakweli, atakuwa alipagawa, dawa ni kuoa bila kufunga ndoa, inaweza isisaidie sana ila inarahisisha kumpiga chini na kuvuta mwingine kiurahisi zaidi, maana kuna possibility kubwa tu ya kumkana mahakamani
 
Unambambikia mtu mtoto unategemea nini? Oeni lakini msifunge ndoa, ikitokea kakusaliti unaondoka zako unavuta chuma kipya..; kataa ndoa
Sasa hapo unachokwepa ni nini?Uoe halafu usifunge ndoa inasaidia nini?Kinachoumiza wala sio makaratasi hayo,ni "MOYO",hujasikia watu wakiua sababu ya Girlfriend/boyfriend,hao wanakuwa kwenye ndoa ipi?

Kitendo tu cha kuanza kuishi na mwanamke nyumba moja tayari huyo yupo moyoni wala haisubiri makaratasi,utajidanganya tu.

Kama unakataa ndoa kataa jumla,na ukikataa pia usizae kabisa,yanini kutesa watoto.
 
Jamaa alitafakari yafhatayo.
1. Wakishaachana mkewe ataenda mahakamani kugawana mali
2. Hashindwi huyo manz kwenda ustawi kudai matumizi, hata akifkiria DNA anahisi kbsa ataambiwa yeye ndo mshua
3. Kuna kupigwa juju
4 Fedheha ya kutombewa hadi mimba juu
Sasa bora kukaa gerezani sio ....
 
Kwahiyo ukienda Machimbo ndiyo mtoto anakuwa siyo wako? What if kama alitungisha mimba na ndiyo akenda Machimbo? Wapi kwenye hayo maelezo wamesema kwamba jamaa alienda machimbo wakati mkewe alikuwa hana mimba? Kwahiyo mmeconclude kwamba jamaa alivyoenda machimbo mpaka anarudi alikuwa hajui kwamba mkewe mjamzito/amejifungua?
Kwamba huyu mwamba hakujua kuhesabu miezi na tarehe aliyoondoka?
 
Jamaa aliona hicho ndo kilikuwa kinaenda tokea ndomana akamuua angetumia tu busara kumwacha sio kuuwa huo ni ujinga na udhaifu...
Yaani unasubiri hadi umejifungua ndio uondoke?! Huyo alipaswa apotee mwenyewe kabla hajazaa kabisaa, kusubiri hadi jamaa karudi ni kutafuta kifo cha mapema
 
Nampongeza huyu mwanaume kwa kuwa na roho ngumu na katili kama yangu, siwezi kuhudumia mwanamke nikiwa mbali natafuta pesa, aombe matumizi nimpatie na kisha nirudi nimkute na mtoto wa mtu mwingine au mimba ya mtu mwingine, namuachaje kwa mfano, ila kama amejisusa hajala vyangu na Mali zangu sawa.

Huyu mwamba nampongeza sana kwa hayo maamuzi
 
Hata kama hakuna ndoa officially. At least kuna presumption of marriage. Uko shallow sana
unaongea rahisi kweli hujui kuna mtu amekufa haya mapenz mkiyaendekeza wote mtaishia magereza eti dhana ya ndoa kwaiyo kila mahusiano tuweke dhana ni ndoa hiyo???
 
Sababu si mapenzi, sababu ni ndoa za kusaini mkataba wa kifungo
Ndoa ni upendo
Mapenzi ni utapeli

Ukishakuwa na upendo huwezi kumuua au kumdhuru mtu

Watu wengi wanalazimisha mapenzi kuwa ndoa hii ndio shida
 
Sasa hapo unachokwepa ni nini?Uoe halafu usifunge ndoa inasaidia nini?Kinachoumiza wala sio makaratasi hayo,ni "MOYO",hujasikia watu wakiua sababu ya Girlfriend/boyfriend,hao wanakuwa kwenye ndoa ipi?

Kitendo tu cha kuanza kuishi na mwanamke nyumba moja tayari huyo yupo moyoni wala haisubiri makaratasi,utajidanganya tu.

Kama unakataa ndoa kataa jumla,na ukikataa pia usizae kabisa,yanini kutesa watoto.
Shida ya kusaini makaratasi, inakufanya upotia mlolongo mrefu sana kuachana, yaani hadi uende mahakamani ukadaiwe mgao wa nyumba, inaleta maumivu zaidi...
 
Inasikitisha sana,Jamaa ni mental cases , mtoto ana wiki 2 unamchana tumbo? Binti ametoka kujifungua ndani ya week mbili unamuonea wivu wa kimapenzi?
Wale washenzi wa Kataa ndoa sometime wako sahuhi. Hata saa mbovu **** majiea inasoma kweli.

Yaani umekaa home unaona miyeyusho maisha hayaendi unaamua kujitosa huko porini kwenye machimbo( kazi za hatari sana)

Unamwacha wife. Sawa kama binadamu atakuwa na nyege. Sasa akapata mtu wa kumsugua Rungu. Amesuguliwa vya kutosha wewe ukipata miambili unatuma ili watoto na mke wapate chochote.

Anapata Mimba, anaitunza, hadi unarudi, anajifungua baada ya miezi 9.

Huo ujasiri wa huyo mwanamke ni wa chui. Usipomuwahi anakutoa roho.
 
Nampongeza huyu mwanaume kwa kuwa na roho ngumu na katili kama yangu, siwezi kuhudumia mwanamke nikiwa mbali natafuta pesa, aombe matumizi nimpatie na kisha nirudi nimkute na mtoto wa mtu mwingine au mimba ya mtu mwingine, namuachaje kwa mfano, ila kama amejisusa hajala vyangu na Mali zangu sawa.

Huyu mwamba nampongeza sana kwa hayo maamuzi
umpelekee sabuni magereza huko unaandika hapa unafikiri lockup kunakuingia na simu..
 
Back
Top Bottom