..jamani Joseph Tadayo amegombea nadhani mara 3 dhidi ya Prof.Jumanne Maghembe.
..sasa safari hii amepenya, then mnataka akatwe kwa makosa madogo-madogo kama hili?
..ndiyo maana nasisitiza wasimamizi na tume wawe WAWEZESHAJI wa wenye nia ya kugombea, kamwe wasiwe kikwazo kwa wenye nia za kugombea nafasi mbalimbali.
cc
Kilatha,
johnthebaptist ,
tindo