Lawama zielekezwe kwa Mhe. Hakimu aliyemgongea muhuri na yeye kuweka saini yake. Kwanza angemuomba mgombea kwanza kuweka sahihi yake. sijui hapo atajitetea vipi.
Iko hivi mkuu, hawa jamaa wanapita kwa hakimu anasaini na kugonga mihuri kwanza!![emoji23][emoji23]