Kilimanjaro vijana wameharibika sana. Kina mama wanalia

Jinga kweli hili mara ushoga mara vijana wanaoa vibibi mara boda boda tukueleweje? Mimi ninachokuhakishia . Klm ubuisy upo wa kutosha na kuhusu pombe ni kweli madogo wanatupia sana, ila ishu yako ya . Uchoko haina point maana klm hatafukui mitaro na wala hatuhongi vipi ulikosa soko nini?
 
Aiseee.... Ukiendesha muda mrefu lile joto kwenye mapoumbou lina athari sana....si nzuri ni kama mtu anayependa kupakata laptop
Mkuu hebu nifungue akili kuendesha boda boda kuna uhusiano gani na kuishiwa nguvu za kiume!!!?
i
 
Ninawahurumia mabinti wa karne ijayo itakuwa mwendo wa kununua dudu za dukani
No. Sisi tutakuwepo.... Tutawachakata sana aiseee... Yaani najitunza sababu hiyo... Watoto wazuri watakuwa wanapanga folen room niwahudumie....
 
Pole chalii mlidhani siri sasa tunaweka wazi tu. Hata ukikasirika ndo muache uchoko nyie machalii...na kukimbilia kuoelewa na vibibi na vibabu....wavulana wa huko mnatia huzuni sana.
 
Mbona chizi maarifa unagegendwa pia?
 
PM hiyo video ndugu, wazazi tuna lakujifunza hapa
 
Hiyo ya vijana wa KLM kuchoka na kushindwa kuridhisha wanawake kwasababu ya Ulevi uliopindukia NI KWELI

Ila hayo mengine ya ushoga sina uhakika nayo
 
Pole chalii mlidhani siri sasa tunaweka wazi tu. Hata ukikasirika ndo muache uchoko nyie machalii...na kukimbilia kuoelewa na vibibi na vibabu....wavulana wa huko mnatia huzuni sana.
Si unaona ulivyokua mwezi mchanga? Sasa kama mtu anaoa kibibi ina maana huyo bado ni mwanaume hoja yako ni ipi hasa? Halafu nimekumbuka kumbe unajiita Chizi basi tufanye imeisha hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…