Sijaona sehemu amewataja wachaga, rudio kusoma, ameandika Kilimanjaro vijana wameharibika.Mnawivu sana na wachagga kila kitu wachagga
Huyu mtoto ni wakuchapa fimbo ,Ukishiba maharage hapo kwa shemeji yako ukishakaa kwenye kochi kuangalia TV ndio akili huwa zinakuruka unaandika upuuzi tu
Kilimanjaro hakuna hali mbaya ya umaskini angalau wanajiweza tatizo ni muingiliano ...Wachaga Wana sifa nzuri kama usomi na biashara la kwa vizazi vya nyuma ndo vimewabeba sana ila jamii zao za sasa ni ovyo sana .Sio wote japo umaskini umekuwa chanzo Cha matatizo makubwa sana hasa ya kiakili,,,zaidi umemchapa mmoja TU ukajiona kama umemchapa wengi.